Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Ishmael , nimechunguza sana wewe kazi yako kufanya fujo, we kama unaijua dini yako ongea fact si utuletee ma picture na una copy huku na huku, hata sisi tunaweza kufanya vile lakini tunaongea mambo ya ukweli kuhusu dini mbili tujuwe nani yuko sawa na nani yuko wrong. Nadhani umenifahamu. Una elimu sisi tutaipokea kwa mikono miwili huna kaaa kimya wacha wenye kufahamu dini waongee, na wewe soma ujifunze. BTW wenye akili nadhani watajua dini ipi ni ya ukweli na ipi ya uwongo. Siku njema.
 
Last edited by a moderator:
Sa hapo ndio mnaniwacha hoi yani kila aliye andika hadith za Mtume Muhammad, akiwa ana jina la kislam basi yuko sawa hawezi kuwa kakosea. Hivi elimu watu wanasoma mara moja basi, hawachunguzi wanacho soma kiko sawa au fake? Yani mwalimu wako shule akisema 1+1+1=1 we ukubali tu, sababu ni mwalimu sio. Hivi kijana uliwahi kusoma kwenye bibilia yenu inasema hivi kwa kizungu; The Prophet who will come from the lands and "tents of Kedar" and "lands of Teman". Kedar and Teman (also called "Tema" in the Bible) are two of Ishmael's sons: Genesis 25:13-15. Hebu kasome ujuwe huyo Mtume ambaye kila Mmoja alikuwa anamgojea kama si Mtume Muhammad. Afu ukienda kusoam kitabu cha Matthew utaona hivi kwenye New Testament, Yesus anasema hivi kuambia Mayahudi: "So [For this reason; Therefore] I tell you that the kingdom of God will be taken away from you and given to people [a nation] who do the things God wants in his kingdom [will produce its fruit]." (Matthew 21:43). Jesus Christ here spoke about foreign people; non-Jews. Jesus was a Jew and was speaking with Jews. Siku njema wahi dogo kabla hujakata roho utajuta kuendelea kuabudu binadamu badala ya Mungu.

Check sasa unavyotema pumba, hiyo quote usidhani mchekeshaji Bill Cosby hajaiona ameiona ila ametulia tu, yaani unaanza kumbeza na kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy, kwa ilm gani uliyonayo zaidi yake!?

Haya niambie Waraqa bin Naufal ni nani!?
 
Last edited by a moderator:
Sa hapo ndio mnaniwacha hoi yani kila aliye andika hadith za Mtume Muhammad, akiwa ana jina la kislam basi yuko sawa hawezi kuwa kakosea. Hivi elimu watu wanasoma mara moja basi, hawachunguzi wanacho soma kiko sawa au fake? Yani mwalimu wako shule akisema 1+1+1=1 we ukubali tu, sababu ni mwalimu sio. Hivi kijana uliwahi kusoma kwenye bibilia yenu inasema hivi kwa kizungu; The Prophet who will come from the lands and "tents of Kedar" and "lands of Teman". Kedar and Teman (also called "Tema" in the Bible) are two of Ishmael's sons: Genesis 25:13-15. Hebu kasome ujuwe huyo Mtume ambaye kila Mmoja alikuwa anamgojea kama si Mtume Muhammad. Afu ukienda kusoam kitabu cha Matthew utaona hivi kwenye New Testament, Yesus anasema hivi kuambia Mayahudi: "So [For this reason; Therefore] I tell you that the kingdom of God will be taken away from you and given to people [a nation] who do the things God wants in his kingdom [will produce its fruit]." (Matthew 21:43). Jesus Christ here spoke about foreign people; non-Jews. Jesus was a Jew and was speaking with Jews. Siku njema wahi dogo kabla hujakata roho utajuta kuendelea kuabudu binadamu badala ya Mungu.

Captain Adiosamigo maneno yako km RADI! Mashallah!!!

Yanapasua mioyo ya makafiri.
Endelea kutoa Darasa Maalim wangu, mi niko pembeni hapa napata Kahawa na Kashata huku napata Faida ya Bayana zako hizi.
Jazakallahu kheiran fii daaraiyin.

Aljumaatul mubarakah.
 
Last edited by a moderator:
Hayo unayoongelea umejibiwa na Eiyer hapa chini, lakini unajifanya hujaona unarudia kitu kile kile, tena unajitoa akili kabisa, hebu angalia tena hujibu
O-K, kwanza lazima ufahamu sijaiona hio point yake, sababu kuna wakati na fatilia mengi nayo jibiwa, na yeye kama kanijibu sijaona hio point. Tazama navyo mgaragarza chini hapo .
By Eiyer Hujui hata unazungumza nini

Hivi kama Mungu anaweza kuongea na wewe na anafanya hivyo kila siku kuna haja gani Mungu kumtumia mtu mwingine kukufikishia ujumbe wakati yeye mwenyewe anaweza kuongea na wewe na anaongea nawe kila siku?

Ni wapi panaonesha hayo waliyoyafanya Kaini na Abeli walifundishwa na Adam?
Halafu nani kakuambia zaka ni sawa na sadaka?

Sijui nguzo za Uislam ni kitu gani,unaniulizaje hili swali?

Wengi sana na hata mimi natoa ....

Waliwasiliana na Mungu kama wewe unavyowasiliana na dada yako au mama yako,hapo Mungu aliwasiliana nao kwa kuzungumza,Abeli na Kaini walijifunza kuongea kama watoto wengine,unataka kuniambia kuwa utume wa Adam ni wa kuwafundisha akina Abeli kuongea?

Soma hapo juu ....

Kwenye Biblia Adama anatambuliwa kama mzazi wetu wa kwanza na sio zaidi ya hapo,utume mnauleta nyie

Mara nabii Adama mara mtume,yaani hamueleweki ......!
Dogo we hujui kama mtu akisali anaongea na Mungu? Au wewe unadhani kwenye akili yako mtu akisali anaongea na rafiki zake, au anajisemea mwenyewe kama mwehu? Sa kama tunaweza kuongea na Mungu directly, kwanini atutumie Mitume, IKIWA TUTAFATA POINT ZAKO HAPO. Je watoto wa Adam wote walikuwa Mitume? Sababu waliongea na Mungu? Nvyo fahami mimi ni Seth ndio alikuwa mtume na huyo alikuwa mtoto wa Adam watano, alizaliwa baada ya wale watoto wa Adam, wawili wa kiume mmoja kumua mwenzake. Na nilisahau kidogo kuna history inasem kabla ya Adam kufa alikuwa ameona wajukuu wa wajukuu zake 400,000. Sa vipi asiwe Mtume dogo. We akili yako Adam HAKUONA WAJUKUU ZAKE?
 
Captain Adiosamigo maneno yako km RADI! Mashallah!!!

Yanapasua mioyo ya makafiri.
Endelea kutoa Darasa Maalim wangu, mi niko pembeni hapa napata Kahawa na Kashata huku napata Faida ya Bayana zako hizi.
Jazakallahu kheiran fii daaraiyin.

Aljumaatul mubarakah.
General Bill Cosby , Barakah Lah Fiq Wa Min Amthalakum InshaAllah , mimi na wewe na Jamiii Muslimin tutaingia peponi biidhnLah. Na tuwaombee ndugu zetu wakristo wapate kufata njia ya haki, ni bora tukiwa nao kule peponi, kuliko waende motoni. Hasara kubwa sana wakibaki na ukaidi wao.
General, hizo kashata na kahawa ndio ugonjwa wangu, na haswa ukipiga na visheti huwa unajikuta una maliza dalla la kahawa. Jumaa Al Mubarakah. Jazakallahu kheiran Akhui.
 
Check sasa unavyotema pumba, hiyo quote usidhani mchekeshaji Bill Cosby hajaiona ameiona ila ametulia tu, yaani unaanza kumbeza na kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy, kwa ilm gani uliyonayo zaidi yake!?

Haya niambie Waraqa bin Naufal ni nani!?
Mkuu wa chuo, uzuri wangu mimi nilifundishwa hivi na wazazi wangu. Hata mwalimu awe ana elimu gani kuna siku anaweza kukosea asiye kosea ni Mungu tu. Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy, ni mtu mwenye elimu na sita mfikia hata chembe, lakini kuna sehemu anaweza kukosolewa sababu yeye si Mungu. Kuhusu swali lako la Wraqa Ibn Nawfal huyu alikuwa ni shemeji yake Mtume na alikuwa ni cousin wa mke wake, kwani alifanya ni zaidi ya kumuliza Mtume yule malika ndio kama yule alimuona Mussa? Akamuambia Mtume ningekuwa kijana ningekusapoti sana, kwa sababu ya uzee wangu siwezi kukusaidia kitu. Hapo Warqa alikuwa najua wazi Mitume wote huwa wananadamwa vibaya sana na makafiri, sababu hawataki kuona haki ya Mungu. Kuna lingine kijana leta tuko hapa kwa ajili yako ili uwe mtu wetu wa peponi kama unataka, kama hutaki we ukifika motoni ni call sawa. Takuwa pale peoni na nitakuwa nakuliza hivi, kwa njia ya simu; Umekipata tulicho kuwa tunakusia dunia usikifate.
 
Ishmael , nimechunguza sana wewe kazi yako kufanya fujo, we kama unaijua dini yako ongea fact si utuletee ma picture na una copy huku na huku, hata sisi tunaweza kufanya vile lakini tunaongea mambo ya ukweli kuhusu dini mbili tujuwe nani yuko sawa na nani yuko wrong. Nadhani umenifahamu. Una elimu sisi tutaipokea kwa mikono miwili huna kaaa kimya wacha wenye kufahamu dini waongee, na wewe soma ujifunze. BTW wenye akili nadhani watajua dini ipi ni ya ukweli na ipi ya uwongo. Siku njema.
[h=3]KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAH[/h]

Je, ungependa kuwafahamu waandishi wa Koran?


Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu waandishi wa Koran. Je, ni kweli Koran ilishushwa? Je, kuna ushaidi wa kutosha wa kusaidia madai ya kuteremshwa kwa Koran?


Unaposema kuwa Allah ndie mwandishi wa Qur'ani, ni uongo mkubwa sana na wengi wameukubali huu uongo na udanganyifu kwamba eti Koran ilishushwa wakatia inafahamika kuwa iliandikwa miaka 1400AD.


Mtu mwenye fikra anaweza kusema bila ya wasiwasi kuwa Qur'ani iliandikwa na watu kadhaa ambao wanajulikana kimajina. Waandishi Mashuhuri zaidi miongoni mwao ni hawa hapa:


Imrul Qays-mshairi: wa kale wa Arabia ambaye alifariki miaka michache kabla ya kuzaliwa Muhammad


Zayd b. Amr b. Naufal:-'lililopotoka' wa wakati wake ambaye alihubiri na kupandwa Hanifism


Labid:-mshairi mwingine


Hasan b. Thabit:-mshairi rasmi wa Muhammad


Salman: – Mshauri wa Kiajemi wa Muhammad


Bahira:-Nestoraian Mkristo mtawa wa Kanisa huko Syria


Jabr:-Jirani wa Kikristo wa Muhammad


Ibn Qumta:-Mtumwa wa Kikristo


Khadija:-Mke wa kwanza wa Muhammad


Binamu Waraqa:- Ndugu ya Khadija


Ubay b. Katibu Ka'ab;-Muhammad na Mwandishi wake


Muhammad: – Mwenyewe


Hapa chini, nitaandika historia fupi ya baadhi ya waandishi wa Koran. Nitaanza na Bahira ambaye alikuwa ni Mtawa wa Kikrito.


Bahira
Bahira alikuwa Mtawa wa Kikristo wa Nestorian aliyeishi katika Sham (Syria). Jina lake la Kikristo lilikuwa Sergio Georgius. Inaaminika kwamba alifukuzwa kutoka utawa baada ya makosa.


Katika mji wa Makkah, alikutana na Muhammad, akawa karibu sana na yeye na kukaa pamoja naye. Yeye alikuwa na mazungumzo ya siri na Muhammad, ambayo yeye hakika alimwambia Muhammad mambo mengi ya Ukristo. Aya kadhaa katika Qur'an zinazozungumzia Ukristo zilitoka kwa huyu Mtawa Bahira.


Mfano, aya zote za ndani ya Kuran zinazozungumzia kitabu cha Zaburi zilihaririwa na huyu Mtawa Bahira:


4.163 Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.


17: 55. Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.


21:105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.




2:113. Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana.



2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu.




3: 23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.


*** Quran haina chochote cha zaidi au bora kuliko vitabu vingine. Qur'an, imeandikwa kwa kuibia, kugezea, kupora, kudanganya na / au kupotosha kutoka BIBLIA, kuhalalisha kwamba Watu wa Kitabu wamwamini au kutumia kama mwongozo. ***


Jabr:
Kamusi ya Uislamu (Hughes Kamusi ya Uislamu, p.223) inasema kwamba Jabir alikuwa mmoja wa Ahlu-l-Kitab (Watu wa Kitabu) na alikuwa amesoma vizuri vitabu vya Taurati na Injil (Injili), na hivyo, Muhammad akamtumia sana Jabr katika uandishi wa Quran. Jabr ndiye aliye kuwa anamsomea Taurat na Injil Muhammad kila alipo pita nyumbani kwake. Muhammad alijifunza kutoka kwa Jabr na kuweka Sura katika Quran yenye mahusiano na Wakristo na Wayahudi. Mistari yote inayo mhusu Daudi na Sulemani ilitengenezwa na huyu Jabr. Baadhi ya aya hizo:


Daudi akamuuwa Jaluti ... 2:251


Zaburi alipewa Daudi ... 4:163


Allah ni mbaguzi ; anapendelea baadhi ya Mitume kwa wengine; aliwapa Zaburi Daudi ... 17:55


Allah alishuhudia hukumu ya Daudi na Sulemani ... 21:78


Allah kampa Sulemani uelewo sahihi ; Yeye alifanya milima na ndege kumtumikia Daudi ... 21:79


Allah kamfundisha Daudi ujuzi wa kufanya vita ... 21:80


Kabla ya Qur'an , Mwenyezi ujumbe katika Zaburi ya Daudi ... 21:105


Allahu kampa maarifa ya Daudi na Sulemani ... 27:15


Baba wa Sulemani alikuwa ni Daudi. Sulemani alikuwa mrithi wa Daudi; Suleiman kueleweka hotuba ya ndege wanyama, na mimea ... 27:16


Sulemani alikuwa na mamlaka juu ya majini ; majini na ndege kupigana katika jeshi la Sulemani ... 27:17


Allah kaweka milima chini ya amri ya Daudi; akamfundisha jinsi ya kufanya silaha kutoka chuma ... 34:10-11


Allah alikuwa na kaweka milima , ndege kwa ajili ya huduma ya Daudi na majaliwa yake kwa hekima na mantiki ... 38:18-20


Allah kusamehe dhambi ya Daudi ... 38:25


Allah alimteua Daudi kuwa mtawala juu ya nchi na akampa mamlaka ya kutoa hukumu ya haki na sheria za Mungu na kwa maoni yake binafsi ... 38:26




*** Bila shaka, hadithi/aya zote hapo juu si kutoka BIBLIA lakini walikuwa wamekopia/wamigizia/wameangalizia na kupotosha mafundisho ya baadaye ya Wayahudi na Wakristo ***


Ibn Qumta
Ibn Qumta alikuwa mtumwa wa Kikristo ambaye aliishi katika mji wa Makkah . Muhammad alijifunza kuhusu injili apocryphal ya Ukristo (kama vile : Injili ya Utoto na Injili ya Barnabas ) kutoka kwake. Sura nzima juu ya Maria na kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Sura 19) kiliandikwa na mtumwa huyu wa Kikristo.


Vyanzo kutoka Wakidi , Alphonso Mingana , katika insha yake , Maambukizi ya Koran, Chimbuko la Koran, p.103 , anaandika:
' Mwanahistoria wa kale zaidi, Wakidi , ina sentensi zifuatazo ambazo zilipendekeza na ' Abdallah b. Sad b. Abi Sarh , na mtumwa Mkristo, bin Qumta , walikuwa na kitu cha kufanya katika Koran.


Na bin Abi Sarh akarudi na kusema kwa Makureshi : "Ilikuwa tu Mtumwa wa Kikristo ambaye alikuwa akimfundisha yeye ( Muhammad ); Nilikuwa na kazi ya kuandika na kubadili chochote alichoa taka Mtume Muhammad. " '


Tafadhali kumbuka kwamba Abdallah b. Sad b Abi Sarh alikuwa mwandishi mwaminifu wa Muhammad. Wakati Muhammad anahamia Madina Abdallah na yeye alimfuata. Kila Muhammad alipo kuwa katika maono Abdallah ndiye aliye kuwa mwandishi wa hayo maono. Wakati Abdallah alipendekeza baadhi ya mabadiliko ya Muhammad lisping, Muhammad alikubali kirahisi. Mfano ni wakati Muhammad alikuwa anasema hii aya 23:12-14 .
23.12 Na sisi tulimuumba Mtu kutoka Udongo;


23.13 Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti


23. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.!


Hii hapa ni orodha fupi ya baadhi ya aya katika Qur'an ambazo Muhammad alinakili/ ilibia kutoka vitabu au nakala za Wakristo, Wayahudi, Waarmenia, Wahindu na Majusi (Wazoroastro):


Tayammum ( 04:43 ): Kunakiliwa kutoka kwenye maandiko ya Kiyahudi Talmud.


Kinga ya maisha ndani ya ndege (2:260 , 3:49 , 5:110): Kunakiliwa kutoka vitabu Coptic .


Houris , Azazil (44:54 ): kujifunza kutoka kwa wageni katika Makkah.


Harut amd Marut (2:102 ): Kutoka Muarmeni -vitabu Harut na Marut ni katika udhibiti wa upepo na mvua.


Kiti cha enzi ya Mwenyezi Mungu juu ya maji (11:07 ): Kutoka mapokeo ya Wayahudi


Malik, mtawala wa Jahannamu (43:77): Kutoka Wayahudi. [ Moleki - Mambo ya Walawi 18.21 ; 20.2/3/4/5 , nk]


7 Mbinguni (2:29, 41:12) : Iliyopitishwa kutoka katika maandiko Sanskrit ya Wahindu.


Mariamu kujifungua chini ya shina la mti ( 19:23 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto , apocryphal Mkristo Injili


Mtoto Yesu kuzungumza ( 3:46 , 19:30-31 , 19:33 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto .


Maelezo ya peponi na Kuzimu (kuna aya nyingi - tazama sehemu ya Salman, Kiajemi: Kunakiliwa kutoka Majusi ( Wazoroastro ) na Wahindu.


Yesu si kuuawa , Mwenyezi Mungu akainua Yesu ( 3:55 , 4:157-158 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Barnabas


Hadithi ya Yusufu (Sura 12): Kunakiliwa kutoka Midrash, maandiko ya Kiyahudi.


Hadithi ya Sulemani na Sheba ( 21:78-82 , 27:17-19 , 27:22-23 ): Kunakiliwa kutoka Haggada , Maandiko Wayahudi. [ Wafalme mimi 10.1 ]


Qur'ani ya awali ni agizo katika Mbinguni ( 43:4 , 85:21-22 ): Talmud anasema kuwa Torati ni kibao katika ulinzi wa Mbinguni.


Malaika wa kifo - Azrail au Azazil , Malaku'l Maut ( 6:61 , 7:37, 32:11 ): Iliyopitishwa kutoka Wayahudi na mchawi maandiko ( Zoroastrian ).


WAPAGANI WANASEMA QURAN NI SAWA NA HADITHI ZA KALE


Hapa ni ushahidi wa baadhi ya mistari ya kuchaguliwa kutoka Quran kutuambia kwamba wapagani walikuwa na ufahamu kwamba Muhammad alikuwa anawaambia hadithi ya kale walizokuwa wamesikia kabla ya-Muhammad:


Wasioamini walisema kuwa Quran ni kama hadithi za watu wa kale wa Kipagani ... 08:31


Wasioamini walisema kwamba Aya za Muhammad zilinakiliwa kutoka hadithi za kale ... 16:24


Wapagani wengi walishasiikia hadithi za ufufuo kutoka katika hadithi zamani za Kipagani... 23:83


Makafiri walisema kuwa 'Qur'ani ni hadithi za kale ambazo walisikia kabla ya Muhammad' ... 25:5


Wasioamini walisisitiza kwamba Qur'ani ni hadithi kutoka vitabu vya kale ... 27:68


Wakasema makafiri Quran imejaa visa vya watu wa kale ... 46:17


Wasioamini wanaliziita na kuzifananisha aya za Muhammad na hadithi za kale ... 68:15




HITIMISHO
'Quran' si maandishi ya Mwenyezi Mungu. Mungu mwenye Hekima hawezi kuandika Kitabu chenye Makosa, Utata, kujirudiarudia , makosa ya kimaandiko kama yalivyo jaa kwenye Qur'an yenye muongozo potofu kwa Mwanadamu.


Anomalies zote, utata , MAKOSA YA KIMAANDIKO, upayukaji , KUJIRUDIARUDIA , makosa ya kisarufi na kilugha, Makosa ya Kihistoria, TABIA YA KUPENDEKEZA MAUAJI, HATEMONGERING , WARMONGERING , UBAGUZI , ubaguzi wa rangi na sifa nyingine za mapepo ya Quran kutakufanya kwa urahisi uelewe kuwa Koran si Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtakatifu aliye jaa huruma na rehema angeweza kuandika kitabu cha kishetani kama Qur'an kwa Muhammad .


Inafahamika na wenye Hekima kuwa Muhammad ambaye anadai eti kapewa Koran ni uongo wa wazi kabisa na ndio maana Muhammad akasema alipewa maono na Allah ili kuwafunga Mdomo wale wote ambao wanatia shaka katika Kitabu chake.


Qur'an Nzima ni Maandishi ya Muhammad na imejaa matakwa na fikra zake.


Alter ego


Katika hali halisi, Muhammad, Jibril na Allah ni Mtu mmoja.




Muhammad


Ilikuwa ni Muhammad ndiye aliye anzisha Uislam na baadaye baadhi ya wafuasi wake ambao, 'Kwa jina la Allah' walitengeneza Qur'ani kwa kurekebisha , kurekebisha na kuibia kutoka maandiko mbalimbali na mila ya watu wengine wa wakati huo.


Wafuasi wake waliendelea kutangaza huu udanganyifu wa Muhammad na kuusambaza katika fahamu za binadamu, ili kupata matakwa yao ya kisiasa yenye nia ya kutawala peninsula ya Arabia na baadaye, nchi nyingine za amani.


Koran si Kitabu cha Mungu bali ni maandishi ya Muhammad na marafiki zake.


Katika huduma yake.
 
O-K, kwanza lazima ufahamu sijaiona hio point yake, sababu kuna wakati na fatilia mengi nayo jibiwa, na yeye kama kanijibu sijaona hio point. Tazama navyo mgaragarza chini hapo .
Dogo we hujui kama mtu akisali anaongea na Mungu? Au wewe unadhani kwenye akili yako mtu akisali anaongea na rafiki zake, au anajisemea mwenyewe kama mwehu? Sa kama tunaweza kuongea na Mungu directly, kwanini atutumie Mitume, IKIWA TUTAFATA POINT ZAKO HAPO.
MUHAMMAD SI MTUME WA AMANI - SI MTUME WA MUNGU YOYOTE


Baada ya kufanya utafiti wa makini wa Quran na maisha ya Muham-mad nimegundua kutwa Marehemu Muham-mad ahakuwai ongea na Allah wala Mjumbe yeyote yule kutoka kwa Allah na hakuwa na Ufuno wowote ule kutoka kwa Mungu, kama alivyo dai kwenye Koran ya Jibril.

(Sahih al-Bukhari, Volume 9, Book 93, Number 477)
Amehadithia Masruq:
Mimi nilimuuliza 'Aisha, "O Mama! Je Mtume Muhammad aliwai kumuona Bwana wake?" Aisha akasema, "Kile umesema hufanya nywele yangu kusimama juu ya mwisho kujua kwamba kama mtu atakwambia moja ya mambo matatu yafuataho, HUYO NI MUONGO!. Yeyote atakayekwambia kwamba Muhammad alimwona Bwana wake, NI MWONGO"

Quran 2:191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.

Quran 2:193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Allah tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.

Quran 2:216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui.

Muham-mad alimzulia Allah na akamgeuza kuwa mungu wa makosa ya jinai na kujipa nguvu ya kisiasa kwa ajili yake mwenyewe na kutumia mafundisho yake alifanya ya kutungwa, inadaiwa alipokea ujumbe huu kutoka kwa Mungu Bandia, kama ambavyo wanazuoni walivyo halalisha ujangiri huu wa kidini na kisheria kwa ajili ya uhalifu wake. Allah aliishi ndani ya mawazo ya Muham-mad, lakini hakukuwa na kitu kama Mungu aitwaye Allah. Muhammad na Allah ni mtu mmoja na au kitu kilekile.

Quran 9:14. Piganeni nao, Allah awaadhibu kwa mikono yenu, na awahizi na akunusuruni muwashinde, na avipoze vifua vya kaumu ya Waumini

Quran 47:35. Basi msiregee na kutaka suluhu, maana nyinyi ndio mtakao shinda. Na Mwenyezi Mungu yu pamoja nanyi, wala hatakunyimeni malipo ya vitendo vyenu.

Kama alivyo dai kwenye Koran yake Bandia, Muhammad alifanya udanganyifu, alitesa watu, alifanya mauaji kwa watu wasio na hatia, mauaji ya watoto, mauaji ya akina mama, uporaji, wizi, utumwa na ubakaji na kuvifanya kuwa ni hala na (kisheria), kustahili ya peponi, kama muda wao walikuwa unaofanywa juu ya makafiri. Mafundisho haya mabaya na ya kishetani yakaingizwa kwenye Koran yake na kuwa sheria ya milele ya Allah mpinga Mungu. Muhammad hakuwa Mtume wa Mungu bali alikuwa mtenda dhambi na mwenye makosa ya Jinai.
 
KORAN HAIKUTEREMSHWA KUTOKA KWA ALLAH



Je, ungependa kuwafahamu waandishi wa Koran?


Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu waandishi wa Koran. Je, ni kweli Koran ilishushwa? Je, kuna ushaidi wa kutosha wa kusaidia madai ya kuteremshwa kwa Koran?


Unaposema kuwa Allah ndie mwandishi wa Qur'ani, ni uongo mkubwa sana na wengi wameukubali huu uongo na udanganyifu kwamba eti Koran ilishushwa wakatia inafahamika kuwa iliandikwa miaka 1400AD.


Mtu mwenye fikra anaweza kusema bila ya wasiwasi kuwa Qur'ani iliandikwa na watu kadhaa ambao wanajulikana kimajina. Waandishi Mashuhuri zaidi miongoni mwao ni hawa hapa:


Imrul Qays-mshairi: wa kale wa Arabia ambaye alifariki miaka michache kabla ya kuzaliwa Muhammad


Zayd b. Amr b. Naufal:-'lililopotoka' wa wakati wake ambaye alihubiri na kupandwa Hanifism


Labid:-mshairi mwingine


Hasan b. Thabit:-mshairi rasmi wa Muhammad


Salman: – Mshauri wa Kiajemi wa Muhammad


Bahira:-Nestoraian Mkristo mtawa wa Kanisa huko Syria


Jabr:-Jirani wa Kikristo wa Muhammad


Ibn Qumta:-Mtumwa wa Kikristo


Khadija:-Mke wa kwanza wa Muhammad


Binamu Waraqa:- Ndugu ya Khadija


Ubay b. Katibu Ka'ab;-Muhammad na Mwandishi wake


Muhammad: – Mwenyewe


Hapa chini, nitaandika historia fupi ya baadhi ya waandishi wa Koran. Nitaanza na Bahira ambaye alikuwa ni Mtawa wa Kikrito.


Bahira
Bahira alikuwa Mtawa wa Kikristo wa Nestorian aliyeishi katika Sham (Syria). Jina lake la Kikristo lilikuwa Sergio Georgius. Inaaminika kwamba alifukuzwa kutoka utawa baada ya makosa.


Katika mji wa Makkah, alikutana na Muhammad, akawa karibu sana na yeye na kukaa pamoja naye. Yeye alikuwa na mazungumzo ya siri na Muhammad, ambayo yeye hakika alimwambia Muhammad mambo mengi ya Ukristo. Aya kadhaa katika Qur'an zinazozungumzia Ukristo zilitoka kwa huyu Mtawa Bahira.


Mfano, aya zote za ndani ya Kuran zinazozungumzia kitabu cha Zaburi zilihaririwa na huyu Mtawa Bahira:


4.163 Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.


17: 55. Na Mola wako Mlezi anawajua vilivyo waliomo mbinguni na katika ardhi. Na hakika tumewafadhilisha baadhi ya Manabii kuliko wengine; na Daudi tulimpa Zaburi.


21:105. Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema.




2:113. Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana.



2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu.




3: 23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.


*** Quran haina chochote cha zaidi au bora kuliko vitabu vingine. Qur'an, imeandikwa kwa kuibia, kugezea, kupora, kudanganya na / au kupotosha kutoka BIBLIA, kuhalalisha kwamba Watu wa Kitabu wamwamini au kutumia kama mwongozo. ***


Jabr:
Kamusi ya Uislamu (Hughes Kamusi ya Uislamu, p.223) inasema kwamba Jabir alikuwa mmoja wa Ahlu-l-Kitab (Watu wa Kitabu) na alikuwa amesoma vizuri vitabu vya Taurati na Injil (Injili), na hivyo, Muhammad akamtumia sana Jabr katika uandishi wa Quran. Jabr ndiye aliye kuwa anamsomea Taurat na Injil Muhammad kila alipo pita nyumbani kwake. Muhammad alijifunza kutoka kwa Jabr na kuweka Sura katika Quran yenye mahusiano na Wakristo na Wayahudi. Mistari yote inayo mhusu Daudi na Sulemani ilitengenezwa na huyu Jabr. Baadhi ya aya hizo:


Daudi akamuuwa Jaluti ... 2:251


Zaburi alipewa Daudi ... 4:163


Allah ni mbaguzi ; anapendelea baadhi ya Mitume kwa wengine; aliwapa Zaburi Daudi ... 17:55


Allah alishuhudia hukumu ya Daudi na Sulemani ... 21:78


Allah kampa Sulemani uelewo sahihi ; Yeye alifanya milima na ndege kumtumikia Daudi ... 21:79


Allah kamfundisha Daudi ujuzi wa kufanya vita ... 21:80


Kabla ya Qur'an , Mwenyezi ujumbe katika Zaburi ya Daudi ... 21:105


Allahu kampa maarifa ya Daudi na Sulemani ... 27:15


Baba wa Sulemani alikuwa ni Daudi. Sulemani alikuwa mrithi wa Daudi; Suleiman kueleweka hotuba ya ndege wanyama, na mimea ... 27:16


Sulemani alikuwa na mamlaka juu ya majini ; majini na ndege kupigana katika jeshi la Sulemani ... 27:17


Allah kaweka milima chini ya amri ya Daudi; akamfundisha jinsi ya kufanya silaha kutoka chuma ... 34:10-11


Allah alikuwa na kaweka milima , ndege kwa ajili ya huduma ya Daudi na majaliwa yake kwa hekima na mantiki ... 38:18-20


Allah kusamehe dhambi ya Daudi ... 38:25


Allah alimteua Daudi kuwa mtawala juu ya nchi na akampa mamlaka ya kutoa hukumu ya haki na sheria za Mungu na kwa maoni yake binafsi ... 38:26




*** Bila shaka, hadithi/aya zote hapo juu si kutoka BIBLIA lakini walikuwa wamekopia/wamigizia/wameangalizia na kupotosha mafundisho ya baadaye ya Wayahudi na Wakristo ***


Ibn Qumta
Ibn Qumta alikuwa mtumwa wa Kikristo ambaye aliishi katika mji wa Makkah . Muhammad alijifunza kuhusu injili apocryphal ya Ukristo (kama vile : Injili ya Utoto na Injili ya Barnabas ) kutoka kwake. Sura nzima juu ya Maria na kuzaliwa kwa Yesu Kristo (Sura 19) kiliandikwa na mtumwa huyu wa Kikristo.


Vyanzo kutoka Wakidi , Alphonso Mingana , katika insha yake , Maambukizi ya Koran, Chimbuko la Koran, p.103 , anaandika:
' Mwanahistoria wa kale zaidi, Wakidi , ina sentensi zifuatazo ambazo zilipendekeza na ' Abdallah b. Sad b. Abi Sarh , na mtumwa Mkristo, bin Qumta , walikuwa na kitu cha kufanya katika Koran.


Na bin Abi Sarh akarudi na kusema kwa Makureshi : "Ilikuwa tu Mtumwa wa Kikristo ambaye alikuwa akimfundisha yeye ( Muhammad ); Nilikuwa na kazi ya kuandika na kubadili chochote alichoa taka Mtume Muhammad. " '


Tafadhali kumbuka kwamba Abdallah b. Sad b Abi Sarh alikuwa mwandishi mwaminifu wa Muhammad. Wakati Muhammad anahamia Madina Abdallah na yeye alimfuata. Kila Muhammad alipo kuwa katika maono Abdallah ndiye aliye kuwa mwandishi wa hayo maono. Wakati Abdallah alipendekeza baadhi ya mabadiliko ya Muhammad lisping, Muhammad alikubali kirahisi. Mfano ni wakati Muhammad alikuwa anasema hii aya 23:12-14 .
23.12 Na sisi tulimuumba Mtu kutoka Udongo;


23.13 Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti


23. Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.!


Hii hapa ni orodha fupi ya baadhi ya aya katika Qur'an ambazo Muhammad alinakili/ ilibia kutoka vitabu au nakala za Wakristo, Wayahudi, Waarmenia, Wahindu na Majusi (Wazoroastro):


Tayammum ( 04:43 ): Kunakiliwa kutoka kwenye maandiko ya Kiyahudi Talmud.


Kinga ya maisha ndani ya ndege (2:260 , 3:49 , 5:110): Kunakiliwa kutoka vitabu Coptic .


Houris , Azazil (44:54 ): kujifunza kutoka kwa wageni katika Makkah.


Harut amd Marut (2:102 ): Kutoka Muarmeni -vitabu Harut na Marut ni katika udhibiti wa upepo na mvua.


Kiti cha enzi ya Mwenyezi Mungu juu ya maji (11:07 ): Kutoka mapokeo ya Wayahudi


Malik, mtawala wa Jahannamu (43:77): Kutoka Wayahudi. [ Moleki - Mambo ya Walawi 18.21 ; 20.2/3/4/5 , nk]


7 Mbinguni (2:29, 41:12) : Iliyopitishwa kutoka katika maandiko Sanskrit ya Wahindu.


Mariamu kujifungua chini ya shina la mti ( 19:23 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto , apocryphal Mkristo Injili


Mtoto Yesu kuzungumza ( 3:46 , 19:30-31 , 19:33 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Utoto .


Maelezo ya peponi na Kuzimu (kuna aya nyingi - tazama sehemu ya Salman, Kiajemi: Kunakiliwa kutoka Majusi ( Wazoroastro ) na Wahindu.


Yesu si kuuawa , Mwenyezi Mungu akainua Yesu ( 3:55 , 4:157-158 ): Kunakiliwa kutoka Injili ya Barnabas


Hadithi ya Yusufu (Sura 12): Kunakiliwa kutoka Midrash, maandiko ya Kiyahudi.


Hadithi ya Sulemani na Sheba ( 21:78-82 , 27:17-19 , 27:22-23 ): Kunakiliwa kutoka Haggada , Maandiko Wayahudi. [ Wafalme mimi 10.1 ]


Qur'ani ya awali ni agizo katika Mbinguni ( 43:4 , 85:21-22 ): Talmud anasema kuwa Torati ni kibao katika ulinzi wa Mbinguni.


Malaika wa kifo - Azrail au Azazil , Malaku'l Maut ( 6:61 , 7:37, 32:11 ): Iliyopitishwa kutoka Wayahudi na mchawi maandiko ( Zoroastrian ).


WAPAGANI WANASEMA QURAN NI SAWA NA HADITHI ZA KALE


Hapa ni ushahidi wa baadhi ya mistari ya kuchaguliwa kutoka Quran kutuambia kwamba wapagani walikuwa na ufahamu kwamba Muhammad alikuwa anawaambia hadithi ya kale walizokuwa wamesikia kabla ya-Muhammad:


Wasioamini walisema kuwa Quran ni kama hadithi za watu wa kale wa Kipagani ... 08:31


Wasioamini walisema kwamba Aya za Muhammad zilinakiliwa kutoka hadithi za kale ... 16:24


Wapagani wengi walishasiikia hadithi za ufufuo kutoka katika hadithi zamani za Kipagani... 23:83


Makafiri walisema kuwa 'Qur'ani ni hadithi za kale ambazo walisikia kabla ya Muhammad' ... 25:5


Wasioamini walisisitiza kwamba Qur'ani ni hadithi kutoka vitabu vya kale ... 27:68


Wakasema makafiri Quran imejaa visa vya watu wa kale ... 46:17


Wasioamini wanaliziita na kuzifananisha aya za Muhammad na hadithi za kale ... 68:15




HITIMISHO
'Quran' si maandishi ya Mwenyezi Mungu. Mungu mwenye Hekima hawezi kuandika Kitabu chenye Makosa, Utata, kujirudiarudia , makosa ya kimaandiko kama yalivyo jaa kwenye Qur'an yenye muongozo potofu kwa Mwanadamu.


Anomalies zote, utata , MAKOSA YA KIMAANDIKO, upayukaji , KUJIRUDIARUDIA , makosa ya kisarufi na kilugha, Makosa ya Kihistoria, TABIA YA KUPENDEKEZA MAUAJI, HATEMONGERING , WARMONGERING , UBAGUZI , ubaguzi wa rangi na sifa nyingine za mapepo ya Quran kutakufanya kwa urahisi uelewe kuwa Koran si Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtakatifu aliye jaa huruma na rehema angeweza kuandika kitabu cha kishetani kama Qur'an kwa Muhammad .


Inafahamika na wenye Hekima kuwa Muhammad ambaye anadai eti kapewa Koran ni uongo wa wazi kabisa na ndio maana Muhammad akasema alipewa maono na Allah ili kuwafunga Mdomo wale wote ambao wanatia shaka katika Kitabu chake.


Qur'an Nzima ni Maandishi ya Muhammad na imejaa matakwa na fikra zake.


Alter ego


Katika hali halisi, Muhammad, Jibril na Allah ni Mtu mmoja.




Muhammad


Ilikuwa ni Muhammad ndiye aliye anzisha Uislam na baadaye baadhi ya wafuasi wake ambao, 'Kwa jina la Allah' walitengeneza Qur'ani kwa kurekebisha , kurekebisha na kuibia kutoka maandiko mbalimbali na mila ya watu wengine wa wakati huo.


Wafuasi wake waliendelea kutangaza huu udanganyifu wa Muhammad na kuusambaza katika fahamu za binadamu, ili kupata matakwa yao ya kisiasa yenye nia ya kutawala peninsula ya Arabia na baadaye, nchi nyingine za amani.


Koran si Kitabu cha Mungu bali ni maandishi ya Muhammad na marafiki zake.


Katika huduma yake.
Hapo naona unajisumbua tu, watu wote wanajua Mtume Muhammad alikuwa si Msomi hajasoma, kama vile Yesu alishushiwa kitabu kwa njia ya malaika Gabriel. Hivi we akilini kwako Yesu alishushiwa kitabu au maneno aliyo kuwa akisikia ndio alikuwa akiyazungumza hicho ndio kitabu. Wale wengine walikuwa wakiandika sio Yesu kakiandika. Hebu nipe shule gani Yesu alisoma? Au Wapi Mungu alimshushia Injili directly. Vitabu vya Mungu ni malaika ndio wanazungumza, na Mitume wao wanakwenda kuwambia wafuasi zao na wao ndo wanaandika.
 
MUHAMMAD SI MTUME WA AMANI - SI MTUME WA MUNGU YOYOTE


Baada ya kufanya utafiti wa makini wa Quran na maisha ya Muham-mad nimegundua kutwa Marehemu Muham-mad ahakuwai ongea na Allah wala Mjumbe yeyote yule kutoka kwa Allah na hakuwa na Ufuno wowote ule kutoka kwa Mungu, kama alivyo dai kwenye Koran ya Jibril.

(Sahih al-Bukhari, Volume 9, Book 93, Number 477)
Amehadithia Masruq:
Mimi nilimuuliza 'Aisha, "O Mama! Je Mtume Muhammad aliwai kumuona Bwana wake?" Aisha akasema, "Kile umesema hufanya nywele yangu kusimama juu ya mwisho kujua kwamba kama mtu atakwambia moja ya mambo matatu yafuataho, HUYO NI MUONGO!. Yeyote atakayekwambia kwamba Muhammad alimwona Bwana wake, NI MWONGO"

Quran 2:191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.

Quran 2:193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Allah tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.

Quran 2:216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui.

Muham-mad alimzulia Allah na akamgeuza kuwa mungu wa makosa ya jinai na kujipa nguvu ya kisiasa kwa ajili yake mwenyewe na kutumia mafundisho yake alifanya ya kutungwa, inadaiwa alipokea ujumbe huu kutoka kwa Mungu Bandia, kama ambavyo wanazuoni walivyo halalisha ujangiri huu wa kidini na kisheria kwa ajili ya uhalifu wake. Allah aliishi ndani ya mawazo ya Muham-mad, lakini hakukuwa na kitu kama Mungu aitwaye Allah. Muhammad na Allah ni mtu mmoja na au kitu kilekile.

Quran 9:14. Piganeni nao, Allah awaadhibu kwa mikono yenu, na awahizi na akunusuruni muwashinde, na avipoze vifua vya kaumu ya Waumini

Quran 47:35. Basi msiregee na kutaka suluhu, maana nyinyi ndio mtakao shinda. Na Mwenyezi Mungu yu pamoja nanyi, wala hatakunyimeni malipo ya vitendo vyenu.

Kama alivyo dai kwenye Koran yake Bandia, Muhammad alifanya udanganyifu, alitesa watu, alifanya mauaji kwa watu wasio na hatia, mauaji ya watoto, mauaji ya akina mama, uporaji, wizi, utumwa na ubakaji na kuvifanya kuwa ni hala na (kisheria), kustahili ya peponi, kama muda wao walikuwa unaofanywa juu ya makafiri. Mafundisho haya mabaya na ya kishetani yakaingizwa kwenye Koran yake na kuwa sheria ya milele ya Allah mpinga Mungu. Muhammad hakuwa Mtume wa Mungu bali alikuwa mtenda dhambi na mwenye makosa ya Jinai.
Mtume Muhammad hana shida na wewe dogo, yani we umkubali au umktae hauta mpunguzia kitu au kumzidishia kitu. Hizi fujo unazo fanya hapa ni utoto unakusumbua bada ya kuona huna point za kuonyesha ukweli wa dini yako. Tumeisha kuwambia unapo jaribu kuukosoa Uislam huwezi kupata point, sababu hakuna point inayo weza wewe kufanya kuushinda uislam. Aya za Qur'an unazo Quote ni kuruka sura bada ya sura huleti kimpangilio, kuonyesha unaongelea nini, au kukosoa wapi kwenye Qur'an. Leta point ziwe zinafahamika sio una Quote hujui una Quote nini au Qur'an inaongelea nini.
 
[/FONT][/COLOR]


Huyu mchungaji mwingine anadai Roho mtakatifu aliingia kwenye dushelele lake ikabidi atafune mwana kondoo ili amridhishe roho mtakatifu!
Na yale majimaji yanayotoka kwenye nanihii yake anayaita MAZIWA MATAKATIFU!

Pastor Claims ‘Holy Spirit’ Came Through His Penis[/h]




A brazilian man claiming to be an evengelical pastor is said to have claimed that the ‘Holy Spirit’ came through his penis. Valdeci Sobrino Picanto claimed that his penis contained holy milk which he needed to secrete. SMH.

This one has to be one of the most shocking yet…an Evangelical Pastor managed to abuse victims after convincing them that his penis contains HOLY MILK.
The criminal: Valdeci Sobreni Picano of Brazil.


Valdeci Sobrino Picanto is a Brazilian Evangelical Pastor. He has been arrested after deceiving the faithful using the name of the “Holy Spirit”, by using these foolish lies. This criminal pastor claimed that the Holy Spirit would secrete from his penis in the form of “sacred milk”. This pastor said that his penis was blessed and that “the Lord had consecrated him with divine milk of the Holy Spirit” and, of course, he had to release it in order to “evangelize”.
- VaticanCrimes.us.


for more on this story, click HERE
 
Mtume Muhammad hana shida na wewe dogo, yani we umkubali au umktae hauta mpunguzia kitu au kumzidishia kitu. Hizi fujo unazo fanya hapa ni utoto unakusumbua bada ya kuona huna point za kuonyesha ukweli wa dini yako. Tumeisha kuwambia unapo jaribu kuukosoa Uislam huwezi kupata point, sababu hakuna point inayo weza wewe kufanya kuushinda uislam. Aya za Qur'an unazo Quote ni kuruka sura bada ya sura huleti kimpangilio, kuonyesha unaongelea nini, au kukosoa wapi kwenye Qur'an. Leta point ziwe zinafahamika sio una Quote hujui una Quote nini au Qur'an inaongelea nini.
Mtu ambaye amesha kufa atakuwaje na shida na mtu ambaye yupo hai? Jamaa yenu yupo hapa:

Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.

Pole sana maana Jehannam inamsubiri kwa hamu sana.
 
Hapo naona unajisumbua tu, watu wote wanajua Mtume Muhammad alikuwa si Msomi hajasoma, kama vile Yesu alishushiwa kitabu kwa njia ya malaika Gabriel. Hivi we akilini kwako Yesu alishushiwa kitabu au maneno aliyo kuwa akisikia ndio alikuwa akiyazungumza hicho ndio kitabu. Wale wengine walikuwa wakiandika sio Yesu kakiandika. Hebu nipe shule gani Yesu alisoma? Au Wapi Mungu alimshushia Injili directly. Vitabu vya Mungu ni malaika ndio wanazungumza, na Mitume wao wanakwenda kuwambia wafuasi zao na wao ndo wanaandika.
Teyari umesha salimu amri. Nilikwambia, nyie hamana chenu duniani na after life. Hata Quran mnakopia halafu mnadai eti imeteremshwa. Hili iliteremshwa katika umbo gani na Muhammad aliipokeaje?
 
[h=3]KUMBE MALAIKA WANA AKILI KULIKO ALLAH WA ISLAM![/h]

Malaika Watabiri Mwenendo wa Binadamu kabla ya kuumbwa. Allah atumia hila kuficha udhaifu wake.


Katika somo letu la leo, tutajifunza kuwa Malaika wa Allah wana Akili na ufahamu wa mambo ya baadae kuliko Allah wa Islam.


Quran Surah 2:
30. Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi), wakasema: Utaweka humo atakaye fanya uharibifu humo na kumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwa sifa zako na tunakutaja kwa utakatifu wako? Akasema: Hakika Mimi nayajua msiyo yajua. ***


KATIKA AYA YA 30. Tunasoma kuwa Malaika wanampa darsah Allah, jinsi gani Mtu atakuwa kabla ya uumbaji wake. Malaika wameonyesha upeo mkubwa kwa kufahamu maisha ya baada ya Adam/binadamu kabla ya hata kuumbwa.


31. Na akamfundisha Adam majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi ikiwa mnasema kweli. ***


Kwenye aya 31 hapo juu, tunasoma kuwa Allah anamfundisha kwa siri Adam ili aweze kuwazima mdomo Malaika. Kitendo cha Allah kumfudisha Adam ili kushindana na Malaika haikuwa haki kwani Malaika walimpa changamoto Allah, Je, Allah ni mwenye ufahamu wa yote?


32. Wakasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hatuna ujuzi isipokuwa kwa uliyo tufunza Wewe. Hakika Wewe ndiye Mjuzi Mwenye hikima. ***


Je, Allah alipo tumia udanganyifu na uongo ili kujitetea mwenyewe dhidi ya mashtaka kwa Adamu kama yalivyo letwa na Malaika (mashtaka ambayo aligeuka kuwa ni sahihi) ni sahihi?


33. Akasema: Ewe Adam! Waambie majina yake. Basi alipo waambia majina yake alisema: Sikukwambieni kwamba Mimi ninajua siri za mbinguni na za duniani, na ninayajua mnayo yadhihirisha na mliyo kuwa mnayaficha? ***




34. Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri. ***




35. Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu. ***




36. Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na starehe kwa muda. ***




37. Kisha Adam akapokea maneno kwa Mola wake Mlezi, na Mola wake Mlezi alimkubalia toba yake; hakika Yeye ndiye Mwingi wa kukubali toba na Mwenye kurehemu. ***




38. Tukasema: Shukeni nyote; na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika. ***


Katika vifungu hapo juu, tumesoma kuwa Malaika wanaufahamu kama Mungu (Omniscient) na ua wa Kimungu. Malaika waliweza kufahamu maisha ya Mwandamu kabla ya hata kuumbwa. Jambo ambalo Allah wa Islam hakulifahamu na hakuwa na ufahamu huo.


Kwanza, jinsi gani Malaika walijua hali ya mtu itakuwa kabla ya uumbaji wake? Malaika walifahamuje kabla ya uumbaji kuwa, binadamu watakuwa na vurugu? Nani aliwaambia? Nakala haisemi chochote juu ya Allah kuwapa kipande hiki cha habari. Je, Malaika anayajua yote kama Mungu (Omniscient)?


Pili, Mwenyezi Mungu kwa siri anafundisha Adam majina yasiyojulikana ili kuwanyamazisha Malaika kwa kulalamika dhidi ya mtu. Je, hii ni haki? Kwa nini Allah anatumia hila na hujmah, ili kuwafanya Malaika waonekane hawana ufahamu?


Je, Allah alipo tumia udanganyifu na uongo ili kujitetea mwenyewe dhidi ya mashtaka kwa Adamu kama yalivyo letwa na Malaika (mashtaka ambayo aligeuka kuwa ni sahihi) ni sahihi?


Je, si dhahiri kwamba Adamu angekuwa na ufahamu wakawaida kama Malaika kwasababu Allah alikuwa bado hajawafundisha kuhusu uumbaji wake?


Kwanini Allah wa Islam anatumia udanganyifu ili kuficha udhaifu wake katika uumbaji?


Ndugu zanguni, leo tumejifunza kuwa Allah si msema ukweli na Allah hana ufahamu wa mambo yote kama alivyo Yehova ambaye ni Mungu aliye semwa ndani ya Biblia.


Kama unataka kufahamu kweli, basi nakusihi umpokee Yesu aliye hai, yeye ndie Njia, Kweli na Uzima. Katika Yesu, hakuna udanganyifu wa Allah. Mpokee leo ili upate uzima wa milele.


Katika huduma yake.
 
[h=3]ALLAH ANAAPA KWA ALIYE UMBA KIUME NA KIKE[/h]

JE, NANI KAUMBA KIUME NA KIKE?
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..


Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.


Je, ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake? Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….


Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo.


Sasa tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo, Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza mwenyewe nani ni Mungu?


Je, Mungu anaweza kuapa kwa Mwengine? Endelea kupata elimu …


Waebrania 6:13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.


Jehova anasema hakuna Mkubwa wangu wa kuapa kwake, lakini Allah katika Kuran anasema kuwa yeye anaapa kwa aliye umba kiume na kike.


Hivyo basi leo tunafahamu kuwa aliye umba ni Jehona na Allah anaapa kwa Jehovah Mungu wa Biblia na Wakristo.


Mungu awabairiki sana
 
Huyu mchungaji mwingine anadai Roho mtakatifu aliingia kwenye dushelele lake ikabidi atafune mwana kondoo ili amridhishe roho mtakatifu!
Na yale majimaji yanayotoka kwenye nanihii yake anayaita MAZIWA MATAKATIFU!

Pastor Claims ‘Holy Spirit' Came Through His Penis[/h]




for more on this story, click HERE
ALLAH NA MUHAMMAD WARUHUSU UMALAYA KWA KUPITIA NDOA YA MUT'AH





Je, umalaya umeruhusiwa katika Uislam?


Somo la leo ni la Umalaya kama lilivyo pewa kipaumbele na mungu wa Uislam ajulikanaye kwa jina la Allah. Uislam unaruhusu Umalaya kwa kutumia sheria ya Mut'ah.


Mut'ah ni ndoa AMBAYO inaweza kudumu kwa muda mfupi sana. Ndoa Hii haihitaji mashahidi, na haina kipindi cha 'iddah. Fidia ya kima cha chini ambayo inaweza kulipwa kwa mwanamke kwa ajili ya mahusiano ya kingono ni dirham moja (yaani, chini ya dola senti 25) ". 29 (Dr Ahmad 'Abdullah Salamah, Mashia Dhana ya Ndoa Muda (Mut'ah)


Katika Mut'ah, HAKUNA TALAKA ; Pale utakapo mlipa huyo hawara kiasi cha fedha na utakapo maliza shida zako za kingono, unakuwa huru na hakuna wajibu, hakuna sheria ya urithi, au mchakato wa talaka. Sheria inayo bakia ni moja tu ambayo inambana mwanamke kwa siku 45 kabla ya kuingia kwenye ndoa nyingine ya Mut'ah, wakati huohuo Mwanaume yeye anaweza kuingia Ndoa nyingine ya Mutah mara moja, hata ikiwa bado ameoa katika Mut'a nyingine. Cha kushangaza, Waislam wanashabikia hii Ndoa ya kimalaya huku Allah akiwaambia kuwa, kabla ya kuingia Ndoa nyingine ya Mut'ah lazima watoe talaka, wao wamejipa haki ya kuendelea kutekeleza matakwa yao ya kingono. Katika Surah 2 aya 228 Allah anasema, Wanawake wangoje peke yao kwa vipindi vitatu kila mwezi na si halali kwao kuficha kile ambacho Allah aliviumba katika matumbo yao . Katika Mut'a, mwanamke anaweza kuwa mjamzito na mtoto wa mume wake wa kwanza wa Mut'a na kuolewa na mume wake wa pili wa Mut'a au kuingia ndoa ya kudumu.


Ndugu wasomaji, leo tumejifunza kuhusu umalaya ndani ya dini ya Kiislam. Uislam umeruhusu Ndoa hii ili kukidhi matakwa ya Wanaume wa Kiislam na kuendelea kuwashusha hadhi Wanawake wa kiislam ambao katika Uislam wao ni nusu ya Mtu.


Quran 4:11. Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya watoto wenu: Fungu la mwanamume ni kama fungu la wanawake wawili. Na ikiwa wanawake zaidi ya wawili, basi watapata thuluthi mbili za alicho kiacha maiti. Lakini akiwa mtoto mwanamke ni mmoja, basi fungu lake ni nusu. Na wazazi wake wawili, kila mmoja wao apate sudusi ya alicho kiacha, ikiwa anaye mtoto. Akiwa hana mtoto, na wazazi wake wawili wamekuwa ndio warithi wake, basi mama yake atapata thuluthi moja. Na akiwa anao ndugu, basi mama yake atapata sudusi. Haya ni baada ya kutolewa alicho usia au kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu, nyinyi hamjui ni nani baina yao aliye karibia zaidi kwenu kwa manufaa. Hiyo ni Sharia iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu. Bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye hikima.


Katika Uislam, Mwanamke hana thamani yeyote ile, ndio maana Allah alitoa ahadi ya Wake 72 kwa Wanaume wa Kiislam na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam.


Quran 2:228. Na wanaume wana daraja zaidi kuliko wao. Na Allah ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima


Allah anaendelea kusema kuwa Mwanaume wa Kiislam ni wathamani zaidi ya Mwanamke wa Kiislam. Hapo ndipo tunaelewa kuwa, hata hii Sheria ya ndoa ya MUT'AH iliwekwa ili kuwakidhi Wanaume ambao wapo juu ya Wanawake.


Ndugu wasomaji.


Mungu wa Biblia anakataza umalaya wa aina yeyote ile.


Katika Injili kutokana na Mathayo Sura ya 5 aya ya 28 inasema kuwa: lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.


Neno la Mungu linatuonya kwamba, hata kumwangalia Mwanamke kwa matamanio ni kutenda dhambi, lakini katika Uislam, unayo ruhusa ya kumtamani Mwanamke na kuingia kwenye ndoa ya Mut'ah ili kukidhi shida zako za kimwili. Hii ni tofauti ya Yehovah wa Biblia na Allah wa Koran ambaye anaruhusu umalaya kupitia Mut'ah wakati Yehovah anasema kufanya hivyo ni kutenda dhambi.


Mungu atusaidia ili tuifahamu kweli iliyo katika Kristo Yesu.


Katika Huduma yake
 
Mkuu wa chuo, uzuri wangu mimi nilifundishwa hivi na wazazi wangu. Hata mwalimu awe ana elimu gani kuna siku anaweza kukosea asiye kosea ni Mungu tu. Sheikh Abdullah Saleh Al Farsy, ni mtu mwenye elimu na sita mfikia hata chembe, lakini kuna sehemu anaweza kukosolewa sababu yeye si Mungu. Kuhusu swali lako la Wraqa Ibn Nawfal huyu alikuwa ni shemeji yake Mtume na alikuwa ni cousin wa mke wake, kwani alifanya ni zaidi ya kumuliza Mtume yule malika ndio kama yule alimuona Mussa? Akamuambia Mtume ningekuwa kijana ningekusapoti sana, kwa sababu ya uzee wangu siwezi kukusaidia kitu. Hapo Warqa alikuwa najua wazi Mitume wote huwa wananadamwa vibaya sana na makafiri, sababu hawataki kuona haki ya Mungu. Kuna lingine kijana leta tuko hapa kwa ajili yako ili uwe mtu wetu wa peponi kama unataka, kama hutaki we ukifika motoni ni call sawa. Takuwa pale peoni na nitakuwa nakuliza hivi, kwa njia ya simu; Umekipata tulicho kuwa tunakusia dunia usikifate.

Kuna uhusiano gani kati ya utume wa Muhammad na huyo mpiga falaq Waraqa!? kwasababu kule pangoni Muhammad alikuwa mwenyewe... Huyu Jibril Waraqa kamjua vipi!?
 
ALLAH NA MUHAMMAD WARUHUSU UMALAYA KWA KUPITIA 82fNDOA YA MUT’AH

Hio ni biashara ya MASHIA ambao ni MAKAFIRI KAMA WEWE!

Haya pokea food for thoughts hapa.
:
Pastor Orders Female Members To Remove Underwear So Jesus Can Enter Their Bodies.

Kenyan pastor Rev. Njohi has raised not only a few eyebrows but red flags with his unorthodox suggestion of having his female congregants remove their bras and underwear before coming to church, so that Christ can freely enter their bodies with his spirit, according to The Kenyan Daily Post.


Njohi, who is the pastor of the Lord’s Propeller Redemption Church in Kenya, reportedly refers to undergarments as “ungodly.” The bible-toting minister called together a meeting with church officials and allegedly discussed banning the under garments because people “need to be free in body and spirit in order to receive Christ.”

After warning his female congregants about the evils of skivvies, the God-fearing pastor spoke of the damnation they will suffer if they dare not to go bare underneath.

In true fashion, the church’s female population reportedly did come to church sans their undies, the Post reports, in order to prepare for their spiritual taking.

This SICK Pastor probably wanted to lay hands on these unsuspecting women Lamb!

SOURCE

http://newsone.com/2939386/rev-njohi-female-undergarments/
 
Hio ni biashara ya MASHIA ambao ni MAKAFIRI KAMA WEWE!

Haya pokea food for thoughts hapa.
:
/
[h=3]NANI ANAPOTOSHA WATU ILI WAENDE JEHANNAM, ALLAH AU SHETANI?[/h]

Ndugu wasomaji.

Kwa mara nyingine tena, tunaziona sifa za Shetani ndani ya Allah wa dini ya Kiislamu. Adhama ya kuwaongoza watu ili waende Jehannamu ni ya Shetani kama ilivyo semwa kwenye Biblia Takatifu. Lakini nilipo soma Koran kwa makini, nikagundua kuwa kumbe na Allah anayo hii adhama ya kupeleka watu Jehannam.

Hebu tumsome Allah kwenye kitabu chake alicho kiteremsha kupitia Jibril kwa Wafuasi wake waitwao "WAISLAMU".

Kwanza: Tumsome Shetani anavyo jisifia kuwa yeye ndie anaye poteza watu. Soma:

Quran 4:119-120
119. Na hakika nitawapoteza na nitawatia matamanio, na nitawaamrisha, basi watakata masikio ya wanyama, na nitawaamrisha, basi watabadili aliyo umba Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumfanya Shet'ani kuwa ni mlinzi wake badala ya Allah, basi huyo amekhasiri khasara ya dhaahiri. ***

Katika aya ya 119 hapo juu tumesoma kuwa Shetani amesema kiuwazi kabisa kuwa yeye ndie awapotezao watu ili wafuate njia iendayo Motoni.

120. Anawaahidi na anawatia tamaa. Na Shet'ani hawaahidi ila udanganyifu. ***

121. Hao makao yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo.

Shetani anaendelea kusema kuwa yeye ndie anaye tia watu tamaa mbaya na atawapeleka wote ambao watamfuata katika makao yake makuu ambayo ni Jehannam. Koran inasema kuwa Shetan ndie anaye wapoteza watu, au sio? Sasa tumsome Allah, anasema nini katika Koran hiyo hiyo?

Quran 16:93. Na Allah angeli taka, kwa yakini angeli kufanyeni umma mmoja. Lakini anamwachia kupotea anaye mtaka, na anamwongoa amtakaye. Na hakika mtaulizwa kwa yale mliyo kuwa mkiyafanya. ***

Allah nayeye anasema yaleyale aliyosema Shetani. Allah anasema kuwa yeye anamwachia binadamu apotee kwa matakwa yake. Ikimaanisha kuwa Allah na yeye anapeleka watu Jehannam kama afanyavyo Shetani. Hii sifa ya kupeleka watu Jehannam ni ya Shetani, lakini sasa tunaiona hii sifa kwa Allah ambaye ni mungu wa Waislam.

Hebu tuendelee kusoma Allah kwa ushaidi zaidi.

Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.

Allah katika aya hapo juu ameamua kuwa muwazi zaidi kwa kusema kuwa, kumbe wale ambao ameamua kuwapeleka Jehannam ni Waislam ambao wanamuabudu na kujisifia kuwa wanafuata dini ya haki.

Ndugu zanguni, huu ni Msiba, tena msiba mkubwa sana katika dini na taifa la Kiislam. Allah kwa mara nyingine tena anasema kuwa Waislam wote wataingia Jehannam. Hayo ni matakwa ya Allah kutokana na Surah 16 aya 93.

Swali la kujiuliza ni hili: Ni Mungu gani huyu mwenye upendo awaingize watu wote wanao muabudu Jehannam? Je, Jehannamu ilitengenezwa kwa wanao mwabudu Mungu au wanao mwabudu Shetani? Je, kuna uwiano wowote ule kati ya mapenzi ya Allah na Shetani? Jibu umesha lipata kuwa Jehannam ilitengenezwa kwa ajili ya Shetani na Wafuasi wake, na si kwa wale wanao mfuata Mungu aliye hai, Mungu wa Biblia ajulikanaye kwa jina la Yehova. Allah kasema kuwa wale wote wanao mwambudu wataingia Jehannam. Je, Allah na Shetani ni yuleyule mmoja?

Ni mategemeo yangu kuwa, utachukua hatua na kuachana na Allah aliye sema kuwa ni matakwa yake kuwaingiza watu Jehannam.

Katika hudumua yake,
 
[h=3]UTATA KATIKA KUUMBA DUNIA: Je, Allah aliumba Dunia kwa siku 6 au 8?[/h]

UTATA KATIKA KUUMBA DUNIA
Je, Allah aliumba Dunia kwa siku 6 au 8?


Katika somo letu la leo, tutajifunza kuhusu uumbaji wa Dunia. Allah wa Uislam, anasema kuwa yeye ni Mungu na aliumba Dunia na vitu vyote vilivyo ndani yake. Hebu tuanze somo letu kwa kusoma aya za Quran.


Allah anasema katika Sura 7:54, 10:3, 11:7, na 25:59 kuwa, aliumba dunia kwa siku 6. Soma aya hizi hapa chini kwa ushaidi zaidi.


Quran 7:54. Hakika Mola Mlezi wenu ni Mwenyezi Mungu aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita. Kisha akatawala juu ya Kiti cha Enzi. Huufunika usiku kwa mchana, ufuatao upesi upesi. Na jua, na mwezi, na nyota zinazo tumika kwa amri yake. Fahamuni! Kuumba na amri ni zake. Ametukuka kabisa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.


Surah 10: 3. Hakika Mola wenu Mlezi ni Mwenyezi Mungu, ambaye ameziumba mbingu na ardhi kwa siku sita, na ametawala kwenye ufalme wake, anaendesha mambo yote. Hapana mwombezi ila baada ya idhini yake. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu, Mola wenu Mlezi. Basi muabuduni Yeye. Je! Hamkumbuki?


Lakini Ndugu zanguni, nilipo endelea kuchunguza Quran nikagundua kuwa, kumbe Allah alidanganya pale alipo sema kuwa aliumba Dunia kwa siku sita. Sasa ungana nami katika uchunguzi wa uumbaji wa dunia kama ulivyo wekwa kiuwazi zaidi kupitia Quran iliyo shushwa na Jibril.


Sasa tutasoma Surah ya 41: 9-12. Katika hizi aya tutakazo zisoma, utangudua kuwa Allah hakuumba Dunia kwa Siku 6 kama alivyo dai hapo mwanzoni.


HII AYA INASEMA ALLAH KAUMBA KWA SIKU MBILI (2)
Quran 41:9. Sema: Hivyo nyinyi mnamkataa aliye umba ardhi katika siku mbili, na mnamfanyia washirika? Huyu ndiye Mola Mlezi wa walimwengu wote.
+
HAPA ALLAH ANAUNGANISHA MAWINGU NA ARDHI KWA SIKU NNE(4)
Quran 41:10. Na akaweka humo milima juu yake, na akabarikia humo na akakadiria humo chakula chake katika siku nne. Haya ni sawa kabisa kwa wanao uliza 11. Kisha akazielekea mbingu, na zilikuwa moshi, akaziambia hizo na ardhi: Njooni, kwa khiari au kwa nguvu! Vyote viwili vikasema: Tumekuja nasi ni wat'iifu.
+
HAPA ALLAH ANAZITENGENEZA MBINGU KWA SIKU MBILI (2)
Quran 41:12. Basi akazifanya mbingu saba kwa siku mbili, na akazipangia kila mbingu mambo yake. Na tukaipamba mbingu ya chini kwa mataa na kwa ulinzi. Hichi ndicho kipimo cha Mwenyezi Mungu Mwenye Kujua.


HIZI ZOTE KWA PAMOJA NI SIKU NANE (8)


Siku mbili kwa ajili ya viumbe wa dunia, basi siku nne kujaza ardhi na milima baraka, na chakula kwa ajili ya wakazi wake wote, na mwisho kwa siku mbili zaidi ili kujenga mbingu saba na kujenga nyota yao. Hii inaongeza hadi 2 + 4 + 2 = siku 8 kinyume na siku 6 zilizotajwa katika aya nyingine.


NGOJA NIWEKE KWA UFUPI
Muundo ni wazi sana: Haya ni Matabaka Matatu ambayo ni umbaji chini hadi juu:


Quran 41:9*** Mbingu [angani, "dari" juu ya dunia] katika siku 2


----------


Quran 41:10*** BARAKA [kujaza dunia na kila kitu zinahitajika kwa ajili ya maisha] katika siku 4


---------


Quran 41:12***EARTH [msingi] kukamilika katika siku 2


Ndugu zanguni, hivi Allah alishindwa mahesabu au ndio kutuhakikishia kuwa yeye hakuwa Muumbaji? Kwanini Allah afanye makosa makumbwa namna hii? Leo Allah kwa mara nyingine tena ametuhakikishia kuwa yeye si Muumbaji. Uchaguzi ni wako, kufuata Allah asiye fahamu aliumba Dunia kwa Siku Ngapi au Jehova ambaye alisema aliumba Dunia kwa siku 6.




Katika huduma yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom