Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Wewe ndio mjinga hujui nini mana ya jina la Yesu nimekuwekea jina lake original kwa jina la lugha ya kina Yesu ambayo Aramaic it's actually 'Eesho Msheekha.' I mean, if it is, that is pretty close to what Muslims call him (Al-Masih Issa). Ndio sababu nikakuwekea hata Prophet Ismail wao wanasema Prophet Ishamel, yani wewe sijui umepata wapi hio video, sidhani kama wao wanajua kiarabu kuliko mimi. Siku ukipata mwarabu anamuita Yesu zaidi ya Masih Issa ibin Maryam basi huyo atakuwa mwarabu ana asili ya kibantu:cool2:VAIN words and bogus post. Post yako ni sawa na taka taka. Haifai hata kutupwa dampo. Hujui hata ulicho andika. Unakopi na kubwabwaja kama kasuku wa Makkah. Pathetic Muzzratagastan
Last edited by a moderator: