Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
VAIN words and bogus post. Post yako ni sawa na taka taka. Haifai hata kutupwa dampo. Hujui hata ulicho andika. Unakopi na kubwabwaja kama kasuku wa Makkah. Pathetic Muzzratagastan

Wewe ndio mjinga hujui nini mana ya jina la Yesu nimekuwekea jina lake original kwa jina la lugha ya kina Yesu ambayo Aramaic it's actually 'Eesho Msheekha.' I mean, if it is, that is pretty close to what Muslims call him (Al-Masih Issa). Ndio sababu nikakuwekea hata Prophet Ismail wao wanasema Prophet Ishamel, yani wewe sijui umepata wapi hio video, sidhani kama wao wanajua kiarabu kuliko mimi. Siku ukipata mwarabu anamuita Yesu zaidi ya Masih Issa ibin Maryam basi huyo atakuwa mwarabu ana asili ya kibantu:cool2:
 
Last edited by a moderator:
Hivi mkuu Issa ni jina la lugha gani?

Je kiswahili tunalitamkaje au tunaandikaje?

Halafu hiyo sijui Eesho ni lugha ghani?
Hata mimi nashangaa huyo Jesus jina lake wanavyo muita wenye asili yake Eesho yani Issa nyie mnambandika jina eti Jesus au Yesu, si ndio sababu hamna Mungu mmoja mana hata majina yake ni tofouti hahaha.
 
Hata mimi nashangaa huyo Jesus jina lake wanavyo muita wenye asili yake Eesho yani Issa nyie mnambandika jina eti Jesus au Yesu, si ndio sababu hamna Mungu mmoja mana hata majina yake ni tofouti hahaha.

Mkuu,inamaana hujaelewa kila ambacho nimeuliza?
 
Wewe ndio mjinga hujui nini mana ya jina la Yesu nimekuwekea jina lake original kwa jina la lugha ya kina Yesu ambayo Aramaic it's actually 'Eesho Msheekha.' I mean, if it is, that is pretty close to what Muslims call him (Al-Masih Issa). Ndio sababu nikakuwekea hata Prophet Ismail wao wanasema Prophet Ishamel, yani wewe sijui umepata wapi hio video, sidhani kama wao wanajua kiarabu kuliko mimi. Siku ukipata mwarabu anamuita Yesu zaidi ya Masih Issa ibin Maryam basi huyo atakuwa mwarabu ana asili ya kibantu:cool2:

Zaburi 14 1 Mpumbavu anasema moyoni mwake, '‘Hakuna Mungu.'' Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa, hakuna atendaye mema.

LA ILAHA ila Allah.

Pathetic muhammadan.

 

Zaburi 14 1 Mpumbavu anasema moyoni mwake, '‘Hakuna Mungu.'' Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa, hakuna atendaye mema.

LA ILAHA ila Allah.

Pathetic muhammadan.

Kama wakristo mnasema hakuna Mungu isipokuwa Jesus, wakati Jesus watu wote wanajua ni binadamu tena mtoto wa Maryam. Kweli mtu kichaa sio lazima usontewe kidole unamjua tu kwa akili zake mbovu. Yani kabla ya kuja Jesus kulikuwa hakuna Mungu sio:A S wink:
 
Kama wakristo mnasema hakuna Mungu isipokuwa Jesus, wakati Jesus watu wote wanajua ni binadamu tena mtoto wa Maryam. Kweli mtu kichaa sio lazima usontewe kidole unamjua tu kwa akili zake mbovu. Yani kabla ya kuja Jesus kulikuwa hakuna Mungu sio:A S wink:
Mkuu,kwa mujibu wa imani ya Kiislam,Dajjal ni nani?
 
Kama wakristo mnasema hakuna Mungu isipokuwa Jesus, wakati Jesus watu wote wanajua ni binadamu tena mtoto wa Maryam. Kweli mtu kichaa sio lazima usontewe kidole unamjua tu kwa akili zake mbovu. Yani kabla ya kuja Jesus kulikuwa hakuna Mungu sio:A S wink:
Hakuna Mkristo aliye sema maneno yako. It is Muslims and their deity who are saying "THERE IS NO GOD" That is been a Kafir.
 
Mkuu,kwa mujibu wa imani ya Kiislam,Dajjal ni nani?
Dijjal anaitwa
Al-Masih ad-Dajjal (Arabic: المسيح الدجّال‎ Al-Masīḥ ad-Dajjāl, "the false messiah"), yani yeye sio'the true messiah" kama Al Masih Issa ibn Mariam.
 
Hakuna Mkristo aliye sema maneno yako. It is Muslims and their deity who are saying "THERE IS NO GOD" That is been a Kafir.
Sa nyie Mungu wenu binadamu, asinge kuwepo Mariam angezaliwa Mungu wenu hahaha, hamjioni kama vichaa nyie.
 
Sa nyie Mungu wenu binadamu, asinge kuwepo Mariam angezaliwa Mungu wenu hahaha, hamjioni kama vichaa nyie.

Ati Mungu kazaliwa, kanyonyeshwa, kachezea vifuu na watoto wenzie, akakua, akaskia njaa, akalala, akakasirika, akalala na Mariam Magdalena, akakamatwa, akatandikwa mijeledi barabara akatungikiwa kwenyi mbao za waliolaaniwa akauliwa halafu wakristo wakakombolewa dhambi! Teh teh teh upuuzi!
 
Ati Mungu kazaliwa, kanyonyeshwa, kachezea vifuu na watoto wenzie, akakua, akaskia njaa, akalala, akakasirika, akalala na Mariam Magdalena, akakamatwa, akatandikwa mijeledi barabara akatungikiwa kwenyi mbao za waliolaaniwa akauliwa halafu wakristo wakakombolewa dhambi! Teh teh teh upuuzi!
Afu mama wa Mungu wa wakristo Mariyam kafa, sa vipi Mungu wa wakristo akubali mama yake kufa? Si angeweza kumzuia akabaki hai kama yeye ni Mungu hahaha.
 
Dijjal anaitwa
Al-Masih ad-Dajjal (Arabic: المسيح الدجّال‎ Al-Masīḥ ad-Dajjāl, "the false messiah"), yani yeye sio'the true messiah" kama Al Masih Issa ibn Mariam.
Huyu alishawahi kuwepo au atakuwepo?
 
Sa nyie Mungu wenu binadamu, asinge kuwepo Mariam angezaliwa Mungu wenu hahaha, hamjioni kama vichaa nyie.
Has nothing to do with your deity saying that "THERE IS NO GOD". It is more than pathetic to just even start thinking of Allah who denies the existence of God.
 
Well said MziziMkavu!
Kwa vile hapa tupo Jamii intelligence watuache tupumue!

Mimi napenda kufaham kuna nini nyuma ya pazia. Hasa apo kwenye kutiming tarehe ili kufanya tukio!
Kwanini hizo siku nyengine ziwe mzuri na hizo nyengine ziwe mbaya kwa kufanya tukio? Ni nini kinasababisha hilo?
Kuna Siri nzito sio kitu rahisi kukijuwa ila wanaotumia nyota kuwaongoza katika maisha yao ndio wanaojuwa Siri yenyewe. Nyota yako uliyozaliwa nayo ndio inakupa kila kitu katika maisha yako mpaka mwisho wa umri wako. Mpangaji wa Maisha yako ni Mwenyeezi Mungu ndie aliyeumbaViumbe wote na na hata hizo nyota Ni yeye aliyeziumba Mwenyeezi Mungu kwa manafaa ya Binadamu Mashaxizo
 
Last edited by a moderator:
Has nothing to do with your deity saying that "THERE IS NO GOD". It is more than pathetic to just even start thinking of Allah who denies the existence of God.
Hahaha Allah=God, Allah is the proper name applied to the true God who exists necessarily by Himself comprising all the excellent Divine names and attributes of perfection. Allah is One and Unique. He has no son, no partner, nor equal. He is the sole Creator and Sustainer of the universe.
 
Hahaha Allah=God, Allah is the proper name applied to the true God who exists necessarily by Himself comprising all the excellent Divine names and attributes of perfection. Allah is One and Unique. He has no son, no partner, nor equal. He is the sole Creator and Sustainer of the universe.
Since when Allah is God? Since when Allah who is committing despicable atrocities though you guys has become God? Show me one verse that says" I ALLAH AM GOD. I will submit to right now.

ALLAH SAID THERE IS NO GOD.

ALLAH SAID: LA ILAHA, tell us, what is the meaning of LA ILAHA?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom