KAFA.cOm
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 1,301
- 739
Mkuu hili swala la nyota ni kweli kabisa tunalo kama binadamu kila mmoja wetu amezaliwa na nyota mfano mm ni mkristo na biblia inaniambia wakti krito(yesu)anazaliwa ishara kumbwa ilitokea ambayoni nyota iliyong'aa sana na waganga na watabiri(mama jusi) waliona nyota ile na kutmbua kabixa kwamba aliyezaliwa si mtu wakawaida hivyo waliifuatilia nyota ili wajue maali alipo pengine walitaka kumuibia yesu nyota lkn walipomuona wakajikuta wao wenyewe ndo wanatoa dhahabu na manemane kumtunza mtoto yesu..(ni maajabu haya) kwa kisa hiki kindhihirsha kabisa kila mtu ananyota na wachawi na waganga uiba nyota za watu ambazo zinang'aa coz hatufanani na wakishaiba uzifanyia biasha ndo unakuta mtu anautajiri wa kupuliza hiyo anakuwa ameingia na mganga kutumia nyota za watu ambazo mganga aliziiba kwa ajiri hiyo ndugu ndio namna sheteni anavyofanya
Kazi hiyo kuiba nyota za watu na kuwapa wale wenye tamaa ya utajir,tamaa ya kuwa mwasiasa maharuf na mengine..!! NInakushauri wewe muombe bwana yesu tu akulinde na adui shetani basi utakuwa salama kabixa wewe na nyota yako..!!
Kwa uelewa wangu ile nyota ilikuwa inaongozwa na shetani coz iliwaelekeza mojs kwa moja kwa adui wa yesu yaani herode...... .ndo baadae ikawapeleka yesu alipo. ..pia wale wanajimu ni waabudu shetani mungu hupinga ulozi na uajimu