Hapo kwenye red, galileo alikua hatabiri mtu anatakiwa kufanya kazi flani ili apate hela, utabiri wa kisayansi, vitu kama eclipses, acha uongo mtanzania...
Aya yako ya mwisho kuhusu wakristo sijui hilo umelitoa wapi, unaanza ushabiki wa kidini, tayari we ni mjinga hustahili kuongea na mimi, unawaita wakristo wajinga, ati elimu ya nyota ni elimu ya mbinguni binadamu hakutakiwa kujifunza, hilo ulijifunza wapi wewe? yani aya yako ya mwisho umeandika maujinga ujinga tu, hivi una maisha kweli we jamaa?
Na usinijazie maneno ambayo sijasema, we hayo ya nyota umeshayaprove? nshakaba wajinga wengi wananipa utabiri afu nafanya tofauti na walivosema, na mara zote nimewaprove kua wanachosema si sahihi, kama we nae umo sema unataka data gani nikupe unipe utabiri afu nifanye kinyume uone kama sitafanikiwa...
Sayansi hujui, bado umeandika mambo ya dini hujui, yani mjinga pande zote mbili, sijui utachomokea wapi we jamaa