Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Mbona swali la Yesu kuwepo kwenye moyo wa nchi hujajibu?

Eiyer nimesema hiyo iko clear. Nikimanisha nimeshamuelewa haimanishi nimeamini kwani kila issue inayotatuka nakubali, mwisho wa siku ni mimi ndie niliewaahidi nitaproof mchakachuo wa bible, nnachokiona hapa ni kwamba ukiristo unabwebwa na aya zilizochakachuliwa.

Sikuulizi swali kwani hauko njema kwenye vifungu. Ile research ulioniambia umeifanya sijui uliifanyia wapi wallah.

Ninapoamua kujadili hupenda kujadili na anaejua, thus why niko na mkuu wa chuo na nashukuru tunakwenda vizuri.

Unapojibu napata maswali ambayo huwezi kuyajibu na ukijibu hueki ushahidi, sana sana unarudisha swali! Difense hiyo naitambua kitambo. Sipendi nikuzonge, napenda ujifunze.

Habari ya Yona nilikuuliza wewe mwanzo na ulishindwa kuitetea kitu ambacho imekuwa rahisi kwa mkuu wa chuo.

Hujaliona hilo?
 
Swali no 2, clear.

Naomba unijibu swali no 1, kama nilivyokuuliza.

Nakujibu swali lako.

Mungu ni mmoja.
Hana mshirika.
Hana mtoto wala hana baba (hakuzaa wala hakuzaliwa)

Kuhusu nguvu Mungu ni muweza wa yote.
Naomba urudie post niliyokuuliza maswali na unijibu kama nilivyokuuliza kule.
Hapo nilipoweka red Hicho kitu sio ninachokitaka kwasababu hakuna aliyesema Mungu amezaa, wala hakuna aliyesema wapo watatu, nachotaka kujua kwako huyo Mungu unayemuelewa yupo namna gani, yaani yupo inform gani mpaka hana uwezo wa kufanya hivi, unaweza kukuta wewe unaamini mchawi anaweza akawepo sehemu mbili kwa dakika moja ila kwa Mungu unaona haiwezekani ndio maana nakuwa na wasiwasi kwanza , sasa hatuwezi kwenda kwa kuburuzana tu bora liende, wakati hauelewi kitu chochote kuhusiana na maswala ya Roho, kama una elewa hebu niambie Roho ni nini!? Hili fungu naona bado lina ukweli

Qurani 17:85 Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.

ndio maana Paulo anasema

1 Wakorintho 1:20 Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mlete hoja wa zamani hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?

1 Wakorintho 1:25 Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu

Hapo nilipoweka Blue, kuhusiana na swali lile la pili, wewe ndio umeleta lile andiko la Mathayo 12:40, sasa mimi nimekuuliza maswali kutokana na hilo andiko ulilolileta sasa unajibu clear, clear nini sasa!?
 
Hapo nilipoweka red Hicho kitu sio ninachokitaka kwasababu hakuna aliyesema Mungu amezaa, wala hakuna aliyesema wapo watatu, nachotaka kujua kwako huyo Mungu unayemuelewa yupo namna gani, yaani yupo inform gani mpaka hana uwezo wa kufanya hivi, unaweza kukuta wewe unaamini mchawi anaweza akawepo sehemu mbili kwa dakika moja ila kwa Mungu unaona haiwezekani ndio maana nakuwa na wasiwasi kwanza , sasa hatuwezi kwenda kwa kuburuzana tu bora liende, wakati hauelewi kitu chochote kuhusiana na maswala ya Roho, kama una elewa hebu niambie Roho ni nini!? Hili fungu naona bado lina ukweli

Qurani 17:85 Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.

ndio maana Paulo anasema

1 Wakorintho 1:20 Yu wapi mwenye hekima? Yu wapi mwandishi? Yu wapi mlete hoja wa zamani hizi? Je! Mungu hakuifanya hekima ya dunia kuwa ni upumbavu?

1 Wakorintho 1:25 Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu

Hapo nilipoweka Blue, kuhusiana na swali lile la pili, wewe ndio umeleta lile andiko la Mathayo 12:40, sasa mimi nimekuuliza maswali kutokana na hilo andiko ulilolileta sasa unajibu clear, clear nini sasa!?

Inamaana hukuona nilichomjibu Eiyer?

Inamaana hukuona nilivyojibu Mungu ni nani?

Nikikwamba lile tabu limechakachuliwa unapinga.

Haya niambie sasa. Mungu wenu anaupumbavu?

Jee nanyi mmekopi sifa ya Mungu wenu?
...
Usichopoe mkuu wa chuo. NAOMBA UNIJIBU LILE SWALI. Unapoeka porojo unaniengezea maswali kama ulivyosema kuhusu upumbavu wa Mungu wenu. Naomba unijibu lile swali.

Kama hunajibu si useme.

Naomba ucopy yale maswali na uyajibu.
Uyacopy na uyajibu.
Uyacopy na uyajibu.
Uyacopy na uyajibu...
 
Ooops kumbe Mungu/Allah anaye wa kufanana naye. Poleni sana Waislamu maana leo mmeshikwa pabaya sana. Allah has an image and Jesus is the Image. Sasa kumbe Allah anapo angalia kwenye kioo anaona sura ya Yesu.

Watakabahu,
dogo hio ni Bible ndio inasema vile mbona unabadilisha tune.
 
You need to start answering questions in its own context. I told you already, I need a verse from Allah, and Allah must be the one who is talking and not Jibril. Is Allah able to talk? Yes or No?

If Allah is saying: Say, He is God.... Who do you think is He, since Allah is the one referring the third party as God?

Prove to me that Allah is God?
The Arabic Bible beginning with the book of Genesis uses the word "Allah" to represent "The God" of Creation; Adam and Eve; Noah; Abraham; Ishmael and Isaac and Israel. Page one of Genesis has the word "Allah" 17 times.


Let's look at this point; An Angel appears to Mary, the first mention of Mary in the Gospels concerns the appearance of an angel: "In the sixth month God sent the angel Gabriel to Galilee to a virgin pledged to be married to a man named Joseph, a descendant of David" (Luke 1:26-27)
Did Jesus exist before he was conceived in Mary's womb? Ishmael;(Luke 11:2) Jesus did not even teach you to pray to himself; when he prayed he prayed to God:A S wink:
 
Mkuu, wakati mwingine huwa nahisi kuwa, hawa jamaa labda wana Makengeza na au hawafahamu kusoma. Aya ipo wazi laikini jamaa wana upofu wa akili.
Makengeza unayo wewe, hivi kama Yesu ni Mungu, wakati amekufa, nani alikuwa aaangalia dunia? Paulo na Shetani sio:A S wink:
 
Inamaana hukuona nilichomjibu Eiyer?

Inamaana hukuona nilivyojibu Mungu ni nani?

Nikikwamba lile tabu limechakachuliwa unapinga.

Haya niambie sasa. Mungu wenu anaupumbavu?

Jee nanyi mmekopi sifa ya Mungu wenu?
...
Usichopoe mkuu wa chuo. NAOMBA UNIJIBU LILE SWALI. Unapoeka porojo unaniengezea maswali kama ulivyosema kuhusu upumbavu wa Mungu wenu. Naomba unijibu lile swali.

Kama hunajibu si useme.

Naomba ucopy yale maswali na uyajibu.
Uyacopy na uyajibu.
Uyacopy na uyajibu.
Uyacopy na uyajibu...
Una tatizo la kuelewa maandiko sasa kutokuelewa kwako unakuja na hitimisho ya kwamba Imechakachuliwa na mimi nilichokuwa nakifanya nilikuwa najaribu ni namna gani ya kuelewa maandiko, mfano hapo nilipoweka blue

Hapo nilipoweka red ni kweli Mungu wangu na Mungu wako ni tofauti na hii inathibitishwa na hili

Qurani 33:56 Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu.

Ambapo mimi Mungu wangu hafanyi hivyo, hapo nilipoweka purple nilijua najadiliana na mtu angalau ni mwelewa na tupo kwa nia ya kujifunza kumbe sio ni wale wale wa sikuzote kama kule jukwaa la dini nilianza kujadiliana nae mmoja akaanza kunitukana tena ilikuwa ni issue ya unabii katika Quran baada ya kumbana maswali akaanza jazba kama hizi, sasa mimi niliona angalau wewe kidogo kumbe niliwaza sivyo

Nilitaka twende pole pole ili tuweze kufikia concept nzima lakini unaonekana mjuaji zaidi wakati hujui kitu, unalazimisha nianze kujibu tu bila hata ya kuanza kukuelewesha na tulikubaliana twende pole pole nikianza kushuka maelezo mengi unadai huelewi, mi nilikwambia nitajibu lakini twende pole pole kama unavyotaka, lakini kumbe umekwisha fikia hitimisho la Mungu wenu, na ni kweli kwasababu mimi simuabudu mungu wa Makkah

Qurani 27:91 Ama mimi nimeamrishwa nimuabudu Mola Mlezi wa mji huu aliye ufanya ni mtakatifu; na ni vyake Yeye tu vitu vyote. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waislamu, wenye kunyenyekea

Qurani 3:96
Hakika Nyumba ya kwanza walio wekewa watu kwa ibada ni ile iliyoko Bakka, iliyo barikiwa na yenye uwongofu kwa walimwengu wote.

na pia inabidi ufautae ushauri wa Mtume wako ambae si Wangu

Qurani 109:5 Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

Qurani 109:6
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.

Halafu najadilianana na mtu tayari aliyefika hitimisho, mimi nilijua unahitaji kuelewa kumbe ni kwa ajili ya ubishi

Quran 5:82 Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.

Umeonyesha hauna uvumilivu basi leta hizo aya za kwenye Qurani kama unavyosema halafu tuone, tuwaangalie na wakina Jibril na hao washikaji wengine

Wamakaroo wamakara Aillah. Wallah khaytol-maakiryna

Walifanya udanganyifu na Allah akafanya udanganyifu na Allah ni mbora wakufanya udanganyifu

Mimi Mungu wangu hayuko hivyo sio mdanganyifu, Haya tuendelee...
 
Eiyer nimesema hiyo iko clear. Nikimanisha nimeshamuelewa haimanishi nimeamini kwani kila issue inayotatuka nakubali, mwisho wa siku ni mimi ndie niliewaahidi nitaproof mchakachuo wa bible, nnachokiona hapa ni kwamba ukiristo unabwebwa na aya zilizochakachuliwa.

Sikuulizi swali kwani hauko njema kwenye vifungu. Ile research ulioniambia umeifanya sijui uliifanyia wapi wallah.

Ninapoamua kujadili hupenda kujadili na anaejua, thus why niko na mkuu wa chuo na nashukuru tunakwenda vizuri.

Unapojibu napata maswali ambayo huwezi kuyajibu na ukijibu hueki ushahidi, sana sana unarudisha swali! Difense hiyo naitambua kitambo. Sipendi nikuzonge, napenda ujifunze.

Habari ya Yona nilikuuliza wewe mwanzo na ulishindwa kuitetea kitu ambacho imekuwa rahisi kwa mkuu wa chuo.

Hujaliona hilo?

Tatizo lako hujui kile ambacho kinahitaji back up ya maandiko na kile ambacho hakihitaji back up ya maandiko

Mimi niliongelea context ya habari ya Yona na Yesu kufananisha kifo chake na ile habari ya Yona,wewe ukaja ukanidai andiko,sasa nikupeje andiko linalohusu context?

Hivi kweli kabisa na uko serious unadai andiko linalohusu context?
Utakuwa unakijua kile ambacho unakiuliza kweli wewe?

Halafu unadai siko njema kwenye maandiko,hii nayo ni ajabu kuu!
 
Inamaana hukuona nilichomjibu Eiyer?

Inamaana hukuona nilivyojibu Mungu ni nani?

Nikikwamba lile tabu limechakachuliwa unapinga.

Haya niambie sasa. Mungu wenu anaupumbavu?

Jee nanyi mmekopi sifa ya Mungu wenu?
...
Usichopoe mkuu wa chuo. NAOMBA UNIJIBU LILE SWALI. Unapoeka porojo unaniengezea maswali kama ulivyosema kuhusu upumbavu wa Mungu wenu. Naomba unijibu lile swali.

Kama hunajibu si useme.

Naomba ucopy yale maswali na uyajibu.
Uyacopy na uyajibu.
Uyacopy na uyajibu.
Uyacopy na uyajibu...

Aiseeeeeeeee ................!!
 
Since JF is the open forum, my response was for others including but not limited to you for informative purposes and for intellectual comprehension, to wit
Respect of others is a reflection of self-respect, I am always amazed by people who know something is wrong but still insist on ignoring it, sometimes even if join a conversation on a topic. Try to see what kind of conversation it is, before jumping in and you pretend you know everything, and actually you know absolutely nothing about.
 
Una tatizo la kuelewa maandiko sasa kutokuelewa kwako unakuja na hitimisho ya kwamba Imechakachuliwa na mimi nilichokuwa nakifanya nilikuwa najaribu ni namna gani ya kuelewa maandiko, mfano hapo nilipoweka blue

Hapo nilipoweka red ni kweli Mungu wangu na Mungu wako ni tofauti na hii inathibitishwa na hili

Qurani 33:56 Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu.

Ambapo mimi Mungu wangu hafanyi hivyo, hapo nilipoweka purple nilijua najadiliana na mtu angalau ni mwelewa na tupo kwa nia ya kujifunza kumbe sio ni wale wale wa sikuzote kama kule jukwaa la dini nilianza kujadiliana nae mmoja akaanza kunitukana tena ilikuwa ni issue ya unabii katika Quran baada ya kumbana maswali akaanza jazba kama hizi, sasa mimi niliona angalau wewe kidogo kumbe niliwaza sivyo

Nilitaka twende pole pole ili tuweze kufikia concept nzima lakini unaonekana mjuaji zaidi wakati hujui kitu, unalazimisha nianze kujibu tu bila hata ya kuanza kukuelewesha na tulikubaliana twende pole pole nikianza kushuka maelezo mengi unadai huelewi, mi nilikwambia nitajibu lakini twende pole pole kama unavyotaka, lakini kumbe umekwisha fikia hitimisho la Mungu wenu, na ni kweli kwasababu mimi simuabudu mungu wa Makkah

Qurani 27:91 Ama mimi nimeamrishwa nimuabudu Mola Mlezi wa mji huu aliye ufanya ni mtakatifu; na ni vyake Yeye tu vitu vyote. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waislamu, wenye kunyenyekea

Qurani 3:96
Hakika Nyumba ya kwanza walio wekewa watu kwa ibada ni ile iliyoko Bakka, iliyo barikiwa na yenye uwongofu kwa walimwengu wote.

na pia inabidi ufautae ushauri wa Mtume wako ambae si Wangu

Qurani 109:5 Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.

Qurani 109:6
Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.

Halafu najadilianana na mtu tayari aliyefika hitimisho, mimi nilijua unahitaji kuelewa kumbe ni kwa ajili ya ubishi

Quran 5:82 Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.

Umeonyesha hauna uvumilivu basi leta hizo aya za kwenye Qurani kama unavyosema halafu tuone, tuwaangalie na wakina Jibril na hao washikaji wengine

Wamakaroo wamakara Aillah. Wallah khaytol-maakiryna

Walifanya udanganyifu na Allah akafanya udanganyifu na Allah ni mbora wakufanya udanganyifu

Mimi Mungu wangu hayuko hivyo sio mdanganyifu, Haya tuendelee...

Ok. Hapa tunajifunza na wala hatutukanani.

Ok hivyo unavyotaka fanya. Nieleweshe halafu unijibu yale maswali.
 
Tatizo lako hujui kile ambacho kinahitaji back up ya maandiko na kile ambacho hakihitaji back up ya maandiko

Mimi niliongelea context ya habari ya Yona na Yesu kufananisha kifo chake na ile habari ya Yona,wewe ukaja ukanidai andiko,sasa nikupeje andiko linalohusu context?

Hivi kweli kabisa na uko serious unadai andiko linalohusu context?
Utakuwa unakijua kile ambacho unakiuliza kweli wewe?

Halafu unadai siko njema kwenye maandiko,hii nayo ni ajabu kuu!

Ok. Cool down.
Muamini mkuu wa chuo yuko pamoja nawe.
Hii issue sipendi ijenge chuki.

Sote kuamini Mungu na mitume iliyotangulia inaleta mfano flani wa imani.

Najua tatizo lipo kwa Yesu ambaye sisi twamita Issa. Wote twaamini alizaliwa na bikira Maria, wote twaamini, alikwenda mbinguni na atarudi, wote twaamini alikuwa na uwezo wa kufufua, nk nk.

Cool down, adui ni atheist.
Wacha niendelee na mkuu wa chuo, pindi ukifika muda wangu wa kuthibitisha, nitakutaja ili uje na maswali yako, maana mwasema aya nazifasiri vibaya.

Hope tupo pamoja.
 
Ok. Hapa tunajifunza na wala hatutukanani.

Ok hivyo unavyotaka fanya. Nieleweshe halafu unijibu yale maswali.

Nilikuwa nataka kuanza kuielezea concept ya Trinity yaani utatu mtakatifu lakini umeniambia huko nyuma ya kwamba unaifahamu kuhusiana na uungu, na uanielewa vizuri Biblia inatufundisha hivi

Matendo 17:29 Basi, kwa kuwa sisi tu wazao wa Mungu, haitupasi kudhani ya kuwa Uungu ni mfano wa dhahabu au fedha au jiwe, vitu vilivyochongwa kwa ustadi na akili za wanadamu.

Halafu bwana Yesu akatufundisha hivi

Mathayo 28:19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

Katika hilo fungu la Mathayo hali hizo tatu ndio utimilifu au ukamilifu wa Mungu mmoja,

Zaburi 89:26 Yeye ataniita, Wewe baba yangu, Mungu wangu na mwamba wa wokovu wangu.

Warumi 9:5 ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina.

Mungu mwana ndiye ambaye kwake yeye ulimwengu uliumbwa

Waebrania 1:2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.

kwa hiyo kwa maana nyingine Yesu ni neno la Mungu, hili ni kati ya somo gumu kwasababu najua nizalisha maswali mengi kwa mfano watu wataanza kuuliza Kwanini basi Yesu anaongea mwenyewe kuhusu yeye mwenyewe kwenda kwa baba yake na Mungu wake (Yohana 20:17)? kwanini anamwomba Baba kama Mungu wake(Yohana 17:1, Mathayo 27:46)? Kwanini anasema kwamba Baba ni Mkuu kuliko alivyo yeye(Yohana 14:28) kama Yesu mwenyewe ni Mungu(Yohana 1:1)?

Hayo maswali nimeyajibu huko kwenye concept ya Incarnation nikajaribu kukupa na vifungu vichache, japokuwa najua hadi kwasasa hivi unakataa, lakini aina mbaya kwasababu umeniambia Trinity unaielewa vizuri ngojea nijibu swali lako, lililobaki hapa chini
Ok hata mimi naamini Alichukuliwa mbinguni.

Swali la kwanza.

Kama alichukuliwa mbinguni, alichuliwa na nani na wakati huo yeye alikuwa nani?
Kwani mnakubali Mungu ni mmoja na kwa mujibu wa maelezo yako (toka huko nyuma) ni kwamba, Mungu ni roho, akaingia kwa Yesu, Yesu alipokufa siku tatu, roho yake ambayo ni roho ya Mungu ikarudi mbinguni, wakati anafufuka, ile roho ya Mungu ikamrudia tena.

Jee ni kweli maneno hayo?

Ikiwa ni kweli au sio kweli naomba ufafanue. Nnachota nielewe hapo ni kwamba, wakati Yesu amefufuka na Yeye ndie Mungu kwanini asiende mwenyewe huko mbinguni instead umesema akachukuliwa.
Hapo nilipoweka red alichukuliwa na Mungu Baba

1 Wathesalonike 1:10 na kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye alimfufua katika wafu, naye ni Yesu, mwenye kutuokoa na ghadhabu itakayokuja.

Hapo nilipoweka blue nimekwisha lielezea, ila angalia hii Timotheo

1 Timotheo 3:16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.

Hapo nilipoweka purple nimekwisha elezea, labda na mimi nikuulize swali, naweka hapa chini aya ya Qurani halafu nakuuliza swali

Qurani 19:17 Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.

Sasa Mashaxizo kulingana na hiyo aya Jibril aliweza kuwa na sura ya mwanaadamu kamili na wewe unapinga concept ya God Incarnate

Swali: Ikiwa Malaika aliweza kujifananisha na kuwa mtu je Mungu hawezi? Malaika na Mungu nani ana uwezo zaidi!?
 
Last edited by a moderator:
Ok. Cool down.
Muamini mkuu wa chuo yuko pamoja nawe.
Hii issue sipendi ijenge chuki.

Sote kuamini Mungu na mitume iliyotangulia inaleta mfano flani wa imani.

Najua tatizo lipo kwa Yesu ambaye sisi twamita Issa. Wote twaamini alizaliwa na bikira Maria, wote twaamini, alikwenda mbinguni na atarudi, wote twaamini alikuwa na uwezo wa kufufua, nk nk.

Cool down, adui ni atheist.
Wacha niendelee na mkuu wa chuo, pindi ukifika muda wangu wa kuthibitisha, nitakutaja ili uje na maswali yako, maana mwasema aya nazifasiri vibaya.

Hope tupo pamoja.
Sawa lakini kuweka kumbukumbu sawa Yesu sio Issa.....!!
 
Respect of others is a reflection of self-respect, I am always amazed by people who know something is wrong but still insist on ignoring it, sometimes even if join a conversation on a topic. Try to see what kind of conversation it is, before jumping in and you pretend you know everything, and actually you know absolutely nothing about.
Whether you're a theist, deist or non theist, pointless is pointless. Use it as an addendum, but at least edit your OP to give us something to debate.
 
The Arabic Bible beginning with the book of Genesis uses the word "Allah" to represent "The God" of Creation; Adam and Eve; Noah; Abraham; Ishmael and Isaac and Israel. Page one of Genesis has the word "Allah" 17 times.


Let's look at this point; An Angel appears to Mary, the first mention of Mary in the Gospels concerns the appearance of an angel: "In the sixth month God sent the angel Gabriel to Galilee to a virgin pledged to be married to a man named Joseph, a descendant of David" (Luke 1:26-27)
Did Jesus exist before he was conceived in Mary's womb? Ishmael;(Luke 11:2) Jesus did not even teach you to pray to himself; when he prayed he prayed to God:A S wink:
You did not prove anything. I can debate on the existence of this "fairytale Allah of diabolical Islam" 1stly :| its not real. Allah is fictitious and bogus. Allah never say in the Quran that he is God, inter-alia, Muhammad never say he is a prophet of God. What a fiendish cult of Jibril.
 
You did not prove anything. I can debate on the existence of this "fairytale Allah of diabolical Islam" 1stly :| its not real. Allah is fictitious and bogus. Allah never say in the

Hahaha naona umekosea ku paste ... maana sentensi yako haijamaliza ati. .. We boya kweli. ...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom