Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
@Adiosamigo, ningeomba utoe kauli hapa, ila ningeomba ufafanuzi kwenye hizi hayati. i..pia naskia alikuwa rijali si kitoto mwenye uwezo wa kulala na wanawake hadi 40 kwa mpigo.. aliwezaje haya yote...
Naomba povu lisiwepo... asante...

cc Adiosamigo, @Xout, MaxShimba, kahtaan, MZIMU
Wewe ukiona Ishmael kaweka quote hapa ujuwe hajazifahamu bado hahaha. Si unaona yeye anafahamu vingine na waislam wote wanafahamu vingine. Sa Yesu alipokuwa akiafanya maujiza yeye na Prophet Mussa, mbona kuna wengine waliwaita wachawi. Au Yesu alikuwa na yeye mchawi. Sa ajabu vipi Mtume Muhammad akijitibu kwa msada wa Mungu?

Hio ya kusema alikuwa Rijal naam alikuwa Rijal, hio pia ni miujiza ya Mungu wewe unaweza kuoa zaidi ya wanawake wanne? Jaribu uone kama utawaweza.
 
Ntuzu. mnajizonga tu!

Mimi sijasema sinqgogi ni msikiti, na kama nimesema weka ushahidi.

nilichokisema ni kwamba mila na desturi ya Yesu ni kuabudu kwenye sinagogi. na maana ya sinagogi inapatikana nyuma ya biblia.

Labda nikuulize.

Kuhusu maana ya sinagogi, nikuamini wewe au niiamini biblia?
Ndugu yangu hakuna hata sehemu Yesu kasema yeye ni mkristo, Yesu alisema Yeye ni Muislam. Tumeisha wawekea kule tena kwa lugha yake ya ki Hebrew anasema yeye ni Muislam. We tega sikio watatoa tolea jipya la bibilia, wao kuota tolea jipya la bibilia utadhani magazeti ya udaku watesema; Yesu kaisha kuwa Mkristo.
Jesus said the word "Muslim" in Luke 6:40, and told others to be a Muslim:

Aramaic translated into Hebrew: "Ein talmeed na'leh 'al rabbo; shekken kal adam she'MUSHLAM yihyeh k'rabbo."

hebrew2.gif


Translation in English: "No student can be above his teacher, but everyone that is a MUSLIM, can be as his teacher."

This was translated by Jews who know Hebrew bible.
 
Nikuamini wewe au niamini biblia?
Angalia tu asije kuwa mtungaji wa bibilia huyo ya kikwake kama ya Paulo. Akasema na Paulo kisha kuwa Mungu wake wanne. Huyu atasema alikutana na Paulo kariakoo kaisha mpa utume hahaha.
 
Si Ndio hapo mkuu..?! Hawa jamaa ni vichekesho sn...!

Km issue aingiae ktk masinagogi ni muislamu basi na mtume Paulo au kiboko ya waislamu na yeye ni muislamu Maana aliingia sn Huyu mtume ktk masinagogi na kufundisha...!

Hapa mkuu tumewabana hawana hoja tena Hawa ndugu zetu ktk hili ata Huyu ajiitae kiboko ya wakristo kwa Jf Adiosamigo ktk hili hatii neno!

Mkuu wa chuo Pamoja mkuu, mi ntakua msomaji Tu hamna kitu kwa Huyu mwenzetu!
Yesu ni mkristo au Muislam?
Dalili hizi hapa; Kwanini yeye kajiita Muislam;
Jesus said the word "Muslim" in Luke 6:40, and told others to be a Muslim:

Aramaic translated into Hebrew: "Ein talmeed na'leh 'al rabbo; shekken kal adam she'MUSHLAM yihyeh k'rabbo."

hebrew2.gif


Translation in English: "No student can be above his teacher, but everyone that is a MUSLIM, can be as his teacher."

This was translated by Jews who know Hebrew bible.
Jesus called God "Alayho"/Alah/Alaha in Aramaic.

Jesus taught to rinse before Praying as Muslims do {John 13:10}

Jesus bowed down in Submission on the Ground to God as Muslims do {Matthew 26:39}

Jesus said, all of You who Submit your will to God, are my true Brothers and Sisters (Mark 3:31-35) as Muslims do.

Jesus taught Salvation comes from Submitting our will to God and Faith as Muslims do.

Jesus did not eat pork and alcohol nor Muslims

Jesus fasted a Muslim fast Ramadhan also.
 
Katika watu ambao hawajui chochote katika uislam ni wewe, Ishmael, maana unakopikopi vi aya hata hujui ufafanuzi wake, nadhani wewe ni mmoja wa wale wanafunzi waliodanganywadanganywa na akina Marehem Simbaulanga na kakikundi kake ka biblia ni jibu. Kwa taarifa yako, uislam huwezi kuutambua kwa vihadithi vya kuungaunga bila kuzama ndani ya uislam na kujifunza kwa nia ya kuelewa. Wewe ni katuni tu, unakopi na ku paste vitu bila ufahamu, acha utoto.
Aisee, sasa umeamua kumdharau Allah na kitabu chake kiasi hiki? Hivi lini utaanza kuwa na adabu wewe?

Astaghfirullah
 
Jesus performed miracles too, did he practice witchcraft? No not at all, they were miracles which were performed through the will of God, to convince those around him that he brought the truth.
For some weird and unexplained reasons, Muhammad and his deity never performed miracles. Jesus Himself is a Miracle, that is why Miracles happens to date through the name of Jesus and not Allah's name or Muhammad's name. There is no Miracles in Islam, I wonder how akbar is your deity who never perform miracles but chaos.

Why is Allah not healing people? Is he able to heal?
Why is Allah not talking to his people? Is he having some speech impairments or what?
FYI: Jesus is the truth but Allah is not the truth nor never claim to be one. John 14:6 Jesus answered, "I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me.

You see, it is Jesus who is the truth. It is Jesus who is the way to eternal life. It is Jesus who hold life. Allah and his sole prophet never claimed these. So, why settle to an inferior deity?

 
Yesu ni mkristo au Muislam?
Dalili hizi hapa; Kwanini yeye kajiita Muislam;
Jesus said the word "Muslim" in Luke 6:40, and told others to be a Muslim:
[h=3]YESU HAKUWA MUISLAM[/h]



USHAIDI WA KIBIBLIA NA KORAN


Waumini wa dini ya Kiislam wamekuwa na tabia ya kuseka kuwa, eti, Yesu alikuwa ni Muislam. Madai haya ya Waislam yamekuwa yakisemwa katika mihadhara yao ya kidini bila ya kuwa na ushaidi yakinifu kusaidia madai yao.
Leo nitajibu madai haya kwa kutumia Biblia na Koran kama ifuatavyo:


YESU HAKUWAI SEMA SHAHADA
Kufuatana na sharia za Kiislam, ili mtu awe Muislam lazima aseme na au afanya shahada. Yesu hakusema SHAHADA (La ilaha illallah) na hakuna ushaidi wa Kibiblia au Koran unao sema kuwa Yesu alisema SHAHADA. Hivyo basi, Yesu hakuwa Muislam.


YESU HAKUWAI KUMWABUDU ALLAH
Yesu hakuwai kuomba na au kumwabudu "Allah", lakini kutokana na Biblia, Yesu aliomba kwa Baba yake, Yohana 17:1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe. Koran na Uislam unakiri kuwa Allah si Baba na hakuna hata aya moja inayo mwita Allah Baba. Yesu hakuwa Muislam.


YESU HAKUWAI KUOMBA HUKU AKIANGALIA MAKKAH
Yesu hakuwai kusujudu huku akiangalia Makkah, jambo ambalo ni moja ya masharti katika kumwomba na au abudu "ALLAH". Quran 2:149. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na hiyo ndiyo Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda. 150. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na popote mlipo elekezeni nyuso zenu upande huo ili watu wasiwe na hoja juu yenu, isipokuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Basi msiwaogope wao, lakini niogopeni Mimi - na ili nikutimizieni neema yangu, na ili mpate kuongoka.


Sasa tumsome Yesu katika Biblia, wapi aliangalia wakati akiomba.
Yesu aliomba huku akiangalia Mbinguni soma: Marko 6: 41 Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akashukuru, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi wake wawaandikie; na wale samaki wawili akawagawia wote.
Katika aya tuliyo isoma hapo juu, imetupa ushaidi kuwa Yesu aliangalia Juu Mbinguni ambapo Baba yake alipo na si Makkah.


YESU HAKUFUNDISHA KUHUSU KAABA
Yesu hakuwai sema na au fundisha wanafunzi wake kuhusu "KAABA". Jambo ambalo tunaona linafanywa na Waislam na lilifundishwa na Muhammad mtume wa Allah.


YESU HAKUFUNGA SWAUMU KILA MWAKA
Yesu hakuwa anafunga Ramadhani/Saumu kila mwaka, jambo ambalo ni sehemu ya Uislam kufunga ramadhani kila Mwaka. Quran 2:183, Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.


Hakuna hata sehemu moja katika Biblia ambayo tunasoma kuwa Yesu alitoa amri kwa wafuasi wake kuwa ni lazima wafunge swaumu kila mwaka, lakini tunasoma kuwa Mathayo 6:16-18: Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao. 17 Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;
18 ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.



YESU HAKUFANYA JIHAD
Yesu hakufanya Jihad kama ilivyo amri ya kila Muislam kufanya Jihad. Quran 2:216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui. Lakini Yesu alisema yafuatayo kuhusu kupigana: Yohana 18: 36 Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa.


Katika aya hapo juu, Yesu anatufundisha kuwa Ufalme wake si wa hapa Duniani bali Mbinguni, hivyo basi hawezi kufanya Jihad kama Allah alivyo waamrisha Waislam. Yesu hakuwa Muislam na hakufanya Jihad.


YESU ALISEMA PENDENI ADUI ZENU, WAKATI ALLAH ANASEMA WACHUKIENI WAKRISTO NA WAYAHUDI
Yesu hakuwachukia watu ambao walikuwa wanampinga, lakini aliwapenda na kuwaombea, kinyume na maamrisho ya Allah kwa Waislam wote. Soma Mathayo 5:44. lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi.


Sasa Msome Allah anavyo panda chuki kwa wafuasi wake. Quran 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.


YESU HAKUFUNDISHA KUPIGA WAZINZI MAWE
Yesu hakupiga watu Mawe na wala hakufundisha kuwa Wazinzi wapigwe Mawe kama ambayo inafundishwa kwenye dini ya Uislam. Msome Yesu hapa: Yohana 8: 6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi. 7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Lakini katika Uislam tunamsoma Muhammad akitoa amri ya kupigwa mawe mdhinifu: Volume 2, Kitabu 23, Namba 413:
Alisimulia 'Abdullah bin' Umar:
Myahudi kuleta kwa Mtume Muhammad watu wawili Mwanaume na mwanamke ambao walikamatwa wakifanya uzinzi kinyume cha sheria za ngono. Mtume Muhammad aliamrisha wote wawili wapigwe mawe mpaka kifo, karibu na mahali pa sadaka ya sala ya mazishi iliyopo kando ya msikiti.


Hivyo basi Yesu hakuwa Muislam na hakupiga wazinzi mawe lakini tunamsoma Muhammad akipiga watu mawe na akifundisha kupigwa mawe kwa Wazinzi katika Uislam.


YESU HAKUFUNDISHA WATU WATAWADHE KABLA YA KUOMBA
Yesu hakufanya na au fuata sharia za kuosha na au kutawadha kama ambavyo Waislam wanafanya kila siku. Msome Yesu katika Mathayo 15:2-11. Lakini Allah anafanya mila za kuosha na au kutawadha mwili kabla ya kumwabudu. Quran 5:6. Enyi mlio amini! Mnapo simama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni. Na mkiwa na janaba basi ogeni. Na mkiwa wagonjwa au mmo safarini, au mmoja wenu ametoka chooni au mmewagusa wanawake, na hamkupata maji, basi tayamamuni vumbi lilio safi, na mpake nyuso zenu na mikono yenu. Hapendi Mwenyezi Mungu kukutieni katika taabu; bali anataka kukutakaseni na kutimiza neema yake juu yenu ili mpate kushukuru.


Yesu hakuwa anatawadha kabla ya kumwomba Baba yake kama ilivyo katika Uislam. Yesu hakuwa Muislam.


YESU HAKUWAI TUMIA MANENO "SAW" AU "PBUH"
Yesu hakuwai waambia watu waandike vifupisho "SAW" na "PBUH" baada ya kutaja majina yao, kinyume chake Allah na Mtume wake wanafundisha kusema hivyo katika Uislam baada ya kutaja majina ya Mitume na Manabii.
Ndugu wasomaji, leo tumemsoma Yesu na tumesoma tabia yake na mafundisho yake machahe ambayo yote yanapinga sheria na mila za kiislam.
Ni mategemeo yangu kuwa, kijarida hiki kitakusaidia kuelewa kuwa Yesu hakufuata mila za Kiislam na wala hakumwabudu Allah.


Mungu awabairiki sana

 
For some weird and unexplained reasons, Muhammad and his deity never performed miracles. Jesus Himself is a Miracle, that is why Miracles happens to date through the name of Jesus and not Allah's name or Muhammad's name. There is no Miracles in Islam, I wonder how akbar is your deity who never perform miracles but chaos.

Why is Allah not healing people? Is he able to heal?
Why is Allah not talking to his people? Is he having some speech impairments or what?
FYI: Jesus is the truth but Allah is not the truth nor never claim to be one. John 14:6 Jesus answered, "I am the way and the truth and the life. No one comes to the Father except through me.

You see, it is Jesus who is the truth. It is Jesus who is the way to eternal life. It is Jesus who hold life. Allah and his sole prophet never claimed these. So, why settle to an inferior deity?

where does it say that prophet need to have miracles, John the Baptist he did not perform any miraculous signs.
 
Ntuzu. mnajizonga tu!

Mimi sijasema sinqgogi ni msikiti, na kama nimesema weka ushahidi.

nilichokisema ni kwamba mila na desturi ya Yesu ni kuabudu kwenye sinagogi. na maana ya sinagogi inapatikana nyuma ya biblia.

Labda nikuulize.

Kuhusu maana ya sinagogi, nikuamini wewe au niiamini biblia?
Kijana, usifikiri kila mtu hapa amejaa elimu dhaifu na isiyo na mwelekeo ya Madrassa.

Jifunze kujibu kwa ushahidi ambao ni verifiable na sio mabishano ya Msikiti wa Mtoro. Hayana tija kwenye dini yako dhaifu.

• A Jewish "church" is called a synagogue, shul or temple
• A synagogue is a place of worship and study, and a "town hall"
• Non-Jews may visit a synagogue, but dress and should behave appropriately
• The Temple is the ancient center of Jewish worship where sacrifices were performed

In the Synagogue they wear shoes :israel:

Synagogue in "English" is Temple.

Synagogue in "Swahili" is Hekalu.

Kijana Mashaxizo jifunze kutumia akili.

 
where does it say that prophet need to have miracles, John the Baptist he did not perform any miraculous signs.

All along, the unbelievers asked Muhammad to perform a miracle so that they could believe. All they got in response was,
Q. 17: 90
They say: "We shall not believe in thee, until thou cause a spring to gush forth for us from the earth,

And he would reply:
Q. 17: 93
Say: "Glory to my Lord! Am I aught but a man,- a messenger?"

People doubted Muhammad because they saw nothing extraordinary or miraculous in him.
Q. 17: 94
And naught prevented mankind from believing when the guidance came unto them save that they said: Hath Allah sent a mortal as (His) messenger?
Q. 25: 7
And they say: "What sort of a messenger is this, who eats food, and walks through the streets? Why has not an angel been sent down to him to give admonition with him?
Q. 25: 8
"Or (Why) has not a treasure been bestowed on him, or why has he (not) a garden for enjoyment?" The wicked say: "Ye follow none other than a man bewitched."

But Muhammad kept telling them that he is just an ordinary man not an angel, meaning people should not expect miracles from him!
Q. 17: 95
Say: Had there been in the earth angels walking about as settlers, We would certainly have sent down to them from the heaven an angel as a messenger.

The common sense dictates that no one would deny and call a man who performs such mighty miracles like splitting the moon, as believed by all the Muslims a mad man or possessed. But the people who knew him actually called him by these names.
Q. 15: 06
They say: "O thou to whom the Message is being revealed! truly thou art mad (or possessed)!.

No one would demand him miracles if he had already performed one
Q. 15: 07
Why do you not bring to us the angels if you are of the truthful ones?
But Muhammad responded
Q. 15: 08
We send not the angels down except for just cause: if they came (to the ungodly), behold! no respite would they have!


The Quraishites kept asking for a sign or a miracle to believe and Muhammad kept saying that he is only a warner.
Q. 13: 07
"And the Unbelievers say: "Why is not a sign sent down to him from his Lord?" But thou art truly a warner, and to every people a guide."

There are many more ayat that tell the same story. People asking miracles and him saying I am just a man, just like you, only a warner. A clear proof that Muhammad never performed any miracles is in this verse where it says that people rejected even other messengers who came with miracles and clear signs, meaning miracles are not helpful.
Q. 3: 184

Then if they reject thee, so were rejected messengers before thee, who came with Clear Signs, Books of dark prophecies, and the Book of Enlightenment.

In the above verses Muhammad is denying any supernatural power. Muhammad was a FALSE prophet and I slam is bogus religion.
 
YESU HAKUWA MUISLAM





USHAIDI WA KIBIBLIA NA KORAN


Waumini wa dini ya Kiislam wamekuwa na tabia ya kuseka kuwa, eti, Yesu alikuwa ni Muislam. Madai haya ya Waislam yamekuwa yakisemwa katika mihadhara yao ya kidini bila ya kuwa na ushaidi yakinifu kusaidia madai yao.
Leo nitajibu madai haya kwa kutumia Biblia na Koran kama ifuatavyo:


YESU HAKUWAI SEMA SHAHADA
Kufuatana na sharia za Kiislam, ili mtu awe Muislam lazima aseme na au afanya shahada. Yesu hakusema SHAHADA (La ilaha illallah) na hakuna ushaidi wa Kibiblia au Koran unao sema kuwa Yesu alisema SHAHADA. Hivyo basi, Yesu hakuwa Muislam.


YESU HAKUWAI KUMWABUDU ALLAH
Yesu hakuwai kuomba na au kumwabudu "Allah", lakini kutokana na Biblia, Yesu aliomba kwa Baba yake, Yohana 17:1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe. Koran na Uislam unakiri kuwa Allah si Baba na hakuna hata aya moja inayo mwita Allah Baba. Yesu hakuwa Muislam.


YESU HAKUWAI KUOMBA HUKU AKIANGALIA MAKKAH
Yesu hakuwai kusujudu huku akiangalia Makkah, jambo ambalo ni moja ya masharti katika kumwomba na au abudu "ALLAH". Quran 2:149. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na hiyo ndiyo Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda. 150. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na popote mlipo elekezeni nyuso zenu upande huo ili watu wasiwe na hoja juu yenu, isipokuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Basi msiwaogope wao, lakini niogopeni Mimi - na ili nikutimizieni neema yangu, na ili mpate kuongoka.


Sasa tumsome Yesu katika Biblia, wapi aliangalia wakati akiomba.
Yesu aliomba huku akiangalia Mbinguni soma: Marko 6: 41 Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akashukuru, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi wake wawaandikie; na wale samaki wawili akawagawia wote.
Katika aya tuliyo isoma hapo juu, imetupa ushaidi kuwa Yesu aliangalia Juu Mbinguni ambapo Baba yake alipo na si Makkah.


YESU HAKUFUNDISHA KUHUSU KAABA
Yesu hakuwai sema na au fundisha wanafunzi wake kuhusu "KAABA". Jambo ambalo tunaona linafanywa na Waislam na lilifundishwa na Muhammad mtume wa Allah.


YESU HAKUFUNGA SWAUMU KILA MWAKA
Yesu hakuwa anafunga Ramadhani/Saumu kila mwaka, jambo ambalo ni sehemu ya Uislam kufunga ramadhani kila Mwaka. Quran 2:183, Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu.


Hakuna hata sehemu moja katika Biblia ambayo tunasoma kuwa Yesu alitoa amri kwa wafuasi wake kuwa ni lazima wafunge swaumu kila mwaka, lakini tunasoma kuwa Mathayo 6:16-18: Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao. 17 Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;
18 ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.



YESU HAKUFANYA JIHAD
Yesu hakufanya Jihad kama ilivyo amri ya kila Muislam kufanya Jihad. Quran 2:216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui. Lakini Yesu alisema yafuatayo kuhusu kupigana: Yohana 18: 36 Yesu akajibu, Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Lakini ufalme wangu sio wa hapa.


Katika aya hapo juu, Yesu anatufundisha kuwa Ufalme wake si wa hapa Duniani bali Mbinguni, hivyo basi hawezi kufanya Jihad kama Allah alivyo waamrisha Waislam. Yesu hakuwa Muislam na hakufanya Jihad.


YESU ALISEMA PENDENI ADUI ZENU, WAKATI ALLAH ANASEMA WACHUKIENI WAKRISTO NA WAYAHUDI
Yesu hakuwachukia watu ambao walikuwa wanampinga, lakini aliwapenda na kuwaombea, kinyume na maamrisho ya Allah kwa Waislam wote. Soma Mathayo 5:44. lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi.


Sasa Msome Allah anavyo panda chuki kwa wafuasi wake. Quran 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.


YESU HAKUFUNDISHA KUPIGA WAZINZI MAWE
Yesu hakupiga watu Mawe na wala hakufundisha kuwa Wazinzi wapigwe Mawe kama ambayo inafundishwa kwenye dini ya Uislam. Msome Yesu hapa: Yohana 8: 6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi. 7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Lakini katika Uislam tunamsoma Muhammad akitoa amri ya kupigwa mawe mdhinifu: Volume 2, Kitabu 23, Namba 413:
Alisimulia 'Abdullah bin' Umar:
Myahudi kuleta kwa Mtume Muhammad watu wawili Mwanaume na mwanamke ambao walikamatwa wakifanya uzinzi kinyume cha sheria za ngono. Mtume Muhammad aliamrisha wote wawili wapigwe mawe mpaka kifo, karibu na mahali pa sadaka ya sala ya mazishi iliyopo kando ya msikiti.


Hivyo basi Yesu hakuwa Muislam na hakupiga wazinzi mawe lakini tunamsoma Muhammad akipiga watu mawe na akifundisha kupigwa mawe kwa Wazinzi katika Uislam.


YESU HAKUFUNDISHA WATU WATAWADHE KABLA YA KUOMBA
Yesu hakufanya na au fuata sharia za kuosha na au kutawadha kama ambavyo Waislam wanafanya kila siku. Msome Yesu katika Mathayo 15:2-11. Lakini Allah anafanya mila za kuosha na au kutawadha mwili kabla ya kumwabudu. Quran 5:6. Enyi mlio amini! Mnapo simama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni. Na mkiwa na janaba basi ogeni. Na mkiwa wagonjwa au mmo safarini, au mmoja wenu ametoka chooni au mmewagusa wanawake, na hamkupata maji, basi tayamamuni vumbi lilio safi, na mpake nyuso zenu na mikono yenu. Hapendi Mwenyezi Mungu kukutieni katika taabu; bali anataka kukutakaseni na kutimiza neema yake juu yenu ili mpate kushukuru.


Yesu hakuwa anatawadha kabla ya kumwomba Baba yake kama ilivyo katika Uislam. Yesu hakuwa Muislam.


YESU HAKUWAI TUMIA MANENO "SAW" AU "PBUH"
Yesu hakuwai waambia watu waandike vifupisho "SAW" na "PBUH" baada ya kutaja majina yao, kinyume chake Allah na Mtume wake wanafundisha kusema hivyo katika Uislam baada ya kutaja majina ya Mitume na Manabii.
Ndugu wasomaji, leo tumemsoma Yesu na tumesoma tabia yake na mafundisho yake machahe ambayo yote yanapinga sheria na mila za kiislam.
Ni mategemeo yangu kuwa, kijarida hiki kitakusaidia kuelewa kuwa Yesu hakufuata mila za Kiislam na wala hakumwabudu Allah.


Mungu awabairiki sana
Umeicopy wapi tena hii mbona inajiichanganya? Mara inasema hivi mara vile. Sa kama Yesu ni mkristo wapi alisemaYeye ni mkristo au dini yake mkristo? Tatizo lako Ishamel una copy maneno mengi kutusumbua tu kusoma, na yote ni yale yale unarudia pale pale. Wewe na wakristo mnasema Yesu ni Mungu sa kama Yeye ni Mungu mbona anasema hivi;Yohana 5:37: "Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona"?
Wakristo wanadai eti Yesu alidai kuwa yeye ni Mungu wakati walipomnukuu katika Yohana 14:9: "…Aliyeniona mimi amemwona Baba. Sa hapo Bibilia hio hio inajikanyaga tuifahamu vipi? Yohana 17:21-23, Yesu alinena kwamba wafuasi wake, yeye mwenyewe na Mungu ni kitu kimoja katika sehemu tano. Sasa kwa nini walipe neno "Kitu kimoja" la kwanza maana nyingine tofauti na yale maneno "kitu kimoja" katika sehemu tano nyinginezo? Ikiwa Mungu ni mmoja na watatu kwa wakati mmoja, kwa hiyo hakuna hata mmoja kati ya hao watatu ambae ni Mungu kamili?Wakristo wanasema kwamba "MUNGU AMEMTOA" mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi". Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye anamiliki vyote vya ulimwengu wote?

Any way kukuonyesha wazi Yesu hakuwa mkristo soma hapa; Na mti wa Krismasi, unapambwa kwa makini,
Unavutia kiasi, ukitazama machoni, Lakini ndio maasi. (Jeremiah: 10-3,4) Ikiwa Wakristo wote wameokoka kwa kupitia Yesu na wanakwenda Peponi kwenye uzima wa milele, bila kujali matendo yao. Kwa hiyo mafundisho ya Yesu hayana umuhimu wowote hasa haya maneno "uovu" au "wema" au sio? Ikiwa sio vile, kwa hiyo wale Wakristo ambao wanamwamini Yesu lakini hawafuati mafundisho yake, wala hawajatubu watakwenda motoni? Qur'an 3:84 Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

Poleni sana wakristo Paulo kavuruga vichwa vyenu.
 

All along, the unbelievers asked Muhammad to perform a miracle so that they could believe. All they got in response was,
Q. 17: 90
They say: "We shall not believe in thee, until thou cause a spring to gush forth for us from the earth,

And he would reply:
Q. 17: 93
Say: "Glory to my Lord! Am I aught but a man,- a messenger?"

People doubted Muhammad because they saw nothing extraordinary or miraculous in him.
Q. 17: 94
And naught prevented mankind from believing when the guidance came unto them save that they said: Hath Allah sent a mortal as (His) messenger?
Q. 25: 7
And they say: "What sort of a messenger is this, who eats food, and walks through the streets? Why has not an angel been sent down to him to give admonition with him?
Q. 25: 8
"Or (Why) has not a treasure been bestowed on him, or why has he (not) a garden for enjoyment?" The wicked say: "Ye follow none other than a man bewitched."

But Muhammad kept telling them that he is just an ordinary man not an angel, meaning people should not expect miracles from him!
Q. 17: 95
Say: Had there been in the earth angels walking about as settlers, We would certainly have sent down to them from the heaven an angel as a messenger.

The common sense dictates that no one would deny and call a man who performs such mighty miracles like splitting the moon, as believed by all the Muslims a mad man or possessed. But the people who knew him actually called him by these names.
Q. 15: 06
They say: "O thou to whom the Message is being revealed! truly thou art mad (or possessed)!.

No one would demand him miracles if he had already performed one
Q. 15: 07
Why do you not bring to us the angels if you are of the truthful ones?
But Muhammad responded
Q. 15: 08
We send not the angels down except for just cause: if they came (to the ungodly), behold! no respite would they have!


The Quraishites kept asking for a sign or a miracle to believe and Muhammad kept saying that he is only a warner.
Q. 13: 07
"And the Unbelievers say: "Why is not a sign sent down to him from his Lord?" But thou art truly a warner, and to every people a guide."

There are many more ayat that tell the same story. People asking miracles and him saying I am just a man, just like you, only a warner. A clear proof that Muhammad never performed any miracles is in this verse where it says that people rejected even other messengers who came with miracles and clear signs, meaning miracles are not helpful.
Q. 3: 184

Then if they reject thee, so were rejected messengers before thee, who came with Clear Signs, Books of dark prophecies, and the Book of Enlightenment.

In the above verses Muhammad is denying any supernatural power. Muhammad was a FALSE prophet and I slam is bogus religion.
One of the times when God performed miracles at the hand of the Prophet was when the Meccans demanded to see a miracle from Muhammad to show his truthfulness. God split the moon in two separate halves and then re-joined them. The Quran recorded the event:"The Last Hour draws near, and the moon is split asunder!" (Quran 54:1)
"The Last Hour draws near, and the moon is split asunder! And if they see a sign (miracle), they turn away and say, ‘Passing magic!'- for they are bent on giving it the lie, being always wont to follow their own desires." (Quran 54:1-3)
The splitting of the moon is confirmed through eye-witness testimony transmitted through an unbroken chain of reliable scholars so many that it is impossible that it could be false (hadith mutawatir).[2]
A skeptic might ask, do we have any independent historical evidence to suggest the moon was ever split? After all, people around the world should have seen this marvelous event and recorded it.
The answer to this question is twofold.
First, people around the world could not have seen it as it would have been daytime, late night, or early morning in many parts of the world. The following table will give the reader some idea of corresponding world times to 9:00 pm Mecca time:
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]
Country
[/TD]
[TD="width: 156"]
Time
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"]
Mecca​
[/TD]
[TD="width: 156"]
9:00 pm​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"]
India​
[/TD]
[TD="width: 156"]
11:30 pm​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"]
Perth​
[/TD]
[TD="width: 156"]
2:00 am​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"]
Reykjavik​
[/TD]
[TD="width: 156"]
6:00 pm​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"]
Washington D.C.​
[/TD]
[TD="width: 156"]
2:00 pm​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"]
Rio de Janeiro​
[/TD]
[TD="width: 156"]
3:00 pm​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"]
Tokyo​
[/TD]
[TD="width: 156"]
3:00 am​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 213"]
Beijing​
[/TD]
[TD="width: 156"]
2:00 am​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Also, it is not likely that a large number of people in lands close by would be observing the moon at the exact same time. They had no reason to. Even if some one did, it does not necessarily mean people believed him and kept a written record of it, especially when many civilizations at that time did not preserve their own history in writing.

WEBSITEE.PNG


THE ORIGINAL QEDAR-RITE OF QARAIMS


THE ISRAELITE MOSQUE OF JESUS CHRIST
(BANU ISRAIL MASJID ISA AL-MASEEH)
ISRAELITES PRAY IN THE MOSQUE


Prostration Prayer is one of the greatest outward signs in demonstrating devotion to the Lord. This most sacred form of worship was observed by all of the Prophets including the Messiah Jesus Christ:

MATTHEW 26:39(NEW TESTAMENT)
' He(Jesus) went a little further and fell on his face and prayed.'


As an Israelite Jesus was only continuing that which was acknowledged by the Prophets Moses and Joshua:

EXODUS 34:8(OLD TESTAMENT)
' And Moses made haste and bowed his head toward the earth and worshiped'

Joshua 5:14 (O.T)
'And Joshua fell on his face to the earth and did worship.....'...

The word Masjid or Mosque refers to the sacred place where prostration prayers take place.In terms of etymology the Semitic root of Misgad or Masjid(Mosque) can be traced back to the Aramaic Sejud meaning prostration. Since the Ancient Israelites were known to pray in the manner of prostration they logically prayed in a Mosque the place intended for Prostration Prayers.


Prostration Prayers were such a meaningful and important part of Israelite Prayer ritual that the Holy Qaran preserves a reference from the Original Torah which describes the true believers as being those who are continuously engaged in Prostration Prayers. These true and dedicated servants of the Lord would receive prostration marks upon their foreheads known as a Sedj mark .


The Holy Qaran verifies a description from the Original Torah in which the righteous of Israel are described in terms of Prostration Prayer.

SURAH 48:29 HOLY QARAN(H.Q.)
' ....You will see them bowing down,prostrating themselves,seeking grace from Allah and pleasure; their marks are in their faces because of the effect of prostration;that is their description in the(original) Torah....'


The Ethiopian Jews known as Beta Israel or Falashas practice one of the oldest forms of Judaism in the world. However they do not pray in a Synagogue or Beit Knesset but rather pray in a Misgad which is the Hebrew equivalent of Masjid or Mosque. misgad (מסג&#1491😉
In terms of etymology the Semitic root of
Misgad or Masjid(Mosque) can be traced back to the Aramaic Sejud meaning prostration.


In this regard one of the most important and distinct celebrations among the Ethiopian Jews is a festival known as SIGD which literally means prostration. SIGD or SEJD is an annual 7 week festival of counting up to the 50th day which parallels with the manner in which Shavout is observed. In its original form SIGD/SEJD is that which makes up for all Prostration Prayers that were missed
throughout the year.


In this dispensation in which the true believers are continually Guarding Against Evil, Prostration Prayers which symbolize a state of peace, comfort and security are no longer incumbent as we have been mercifully pardoned from meeting the requirements of this obligation. However we should always maintain the highest respect for Prostration Prayers, perform them if reasonably possible and look forward to the day when all will Prostrate before the Lord: In this regard the Sigd/Sejd Festival and observances are now of the utmost importance in compensating for missed Prostration Prayers.


SURAH 2:239
But if you are in danger, then (say your prayers) on foot or on horseback; and when you are secure, then remember Allah, as. He has taught you what you did not know.



Knowing that the true believers would be persecuted the Prophet Muhammad declared the entire world a Mosque. This act in itself now meant that Prostration Prayers could be performed outside the realm of the traditional Mosque.

SAHIH MUSLIM VOLUME 2 BOOK 5{522}
"..... AND THE WHOLE EARTH HAS BEEN MADE A MOSQUE BEFORE US; AND ITS DUST HAS BEEN MADE A PURIFIER FOR US IN CASE WATER IS NOT AVAILABLE."


With the obligation of Prostration Prayers being pardoned in this dispensation prayers are now able to be performed in any manner or place meaning outside the physical boundaries of the Mosque and outside the realm of prostration and still be received with acceptance.


The following hadith demonstrates the fact that the Israelites were commonly known to worship in a Mosque and not a Synagogue.

Sahih Bukhari Book of Characteristics of Prayer
Hadith no: 828
Narrated: Aisha

Had Allah's Apostle known what the women were doing, he would have forbidden them from going to the Mosque as the women of Bani Israel had been forbidden.(to go to the Mosque)Yahya bin Said (a sub-narrator) asked 'Amra (another sub-narrator), "Were the women of Bani Israel forbidden?" She replied "Yes."


THE SIDNA OMAR MOSQUE

IN THE JEWISH QUARTER BETWEEN THE TWO OLDEST SYNAGOGOUES IN JERUSALEM THERE STANDS AN ABANDONED JEWISH MOSQUE:

"The Sidna Omar mosque is located right next to the Ramban and Hurva synagogues, two of the oldest synagogues in Jerusalem.The surprising answer, as it turns out, is that it was built by Jews."

1235474_10151779363072510_1619032470_n.jpg


REVELATION 7:11(N.T.)
' And all the angels stood round about the throne,and about the elders and the four beasts fell before the throne on their faces and worshiped God.'

 
One of the times when God performed miracles at the hand of the Prophet was when the Meccans demanded to see a miracle from Muhammad to show his truthfulness. God split the moon in two separate halves and then re-joined them. The Quran recorded the event:"The Last Hour draws near, and the moon is split asunder!" (
Adiosamigo , splitting moon in half is a big scientific blunder, its not a miracle but also an intervention in universe and its system. Jesus' miracles were healings , Moses' miracle of splitting sea is proven by science, is there any proof of splitting of moon?

Wherefore, your links are useless since no science history give any such evidence that at any time in history moon was split in two, its a lie.
 
Umeicopy wapi tena hii mbona inajiichanganya? Mara inasema hivi mara vile. Sa kama Yesu ni mkristo wapi alisemaYeye ni mkristo au dini yake mkristo? Tatizo lako Ishamel una copy maneno mengi kutusumbua tu kusoma, na yote ni yale yale unarudia pale pale. Wewe na wakristo mnasema Yesu ni Mungu sa kama Yeye ni Mungu mbona anasema hivi;Yohana 5:37: "Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona"?
Wakristo wanadai eti Yesu alidai kuwa yeye ni Mungu wakati walipomnukuu katika Yohana 14:9: "…Aliyeniona mimi amemwona Baba. Sa hapo Bibilia hio hio inajikanyaga tuifahamu vipi? Yohana 17:21-23, Yesu alinena kwamba wafuasi wake, yeye mwenyewe na Mungu ni kitu kimoja katika sehemu tano. Sasa kwa nini walipe neno "Kitu kimoja" la kwanza maana nyingine tofauti na yale maneno "kitu kimoja" katika sehemu tano nyinginezo? Ikiwa Mungu ni mmoja na watatu kwa wakati mmoja, kwa hiyo hakuna hata mmoja kati ya hao watatu ambae ni Mungu kamili?Wakristo wanasema kwamba "MUNGU AMEMTOA" mwanawe wa pekee ili kutuokoa sisi". Je, Mungu alimtoa Yesu kumpa nani wakati yeye Mungu ndiye anamiliki vyote vya ulimwengu wote?

Any way kukuonyesha wazi Yesu hakuwa mkristo soma hapa; Na mti wa Krismasi, unapambwa kwa makini,
Unavutia kiasi, ukitazama machoni, Lakini ndio maasi. (Jeremiah: 10-3,4) Ikiwa Wakristo wote wameokoka kwa kupitia Yesu na wanakwenda Peponi kwenye uzima wa milele, bila kujali matendo yao. Kwa hiyo mafundisho ya Yesu hayana umuhimu wowote hasa haya maneno "uovu" au "wema" au sio? Ikiwa sio vile, kwa hiyo wale Wakristo ambao wanamwamini Yesu lakini hawafuati mafundisho yake, wala hawajatubu watakwenda motoni? Qur'an 3:84 Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.

Poleni sana wakristo Paulo kavuruga vichwa vyenu.
I know, it is birth pangs to you and your diabolical religion. Now, dispute my arguments if you can.
 
where does it say that prophet need to have miracles, John the Baptist he did not perform any miraculous signs.

John was known familiarly as "the Baptist" which simply means "an immerser, one who administers the rite of immersion" (see Mt. 3:1; 11:11; etc.). John preached about the coming kingdom and the need to repent.

If John the Baptist was a prophet of Allah, why are Muslims not baptised? That is why I say everyday that ALLAH is NOT GOD of the Bible.
 
Adiosamigo , splitting moon in half is a big scientific blunder, its not a miracle but also an intervention in universe and its system. Jesus' miracles were healings , Moses' miracle of splitting sea is proven by science, is there any proof of splitting of moon?

Wherefore, your links are useless since no science history give any such evidence that at any time in history moon was split in two, its a lie.
I would like to show you that this fake Hadith Bukhari was not even written by Bukhari, the reason I posted that fake hadith. Ishmael; What should we do when we hear a new Hadith? Should we immediately accept it as true one or until someone proves that it was fake, or should we be doubtful from the beginning? Waswahili wanasema ukitaka kumshika ndege mjanja. Mtegee mtege mbovu tu atanaswa. Ishmael siku zote unatuletea hadith za uwongo za Bukhar sijui unazitolea wapi haha. Tukikuambia hizo hadith ni fake, unazililia tu. Nimekuambia tokea mwanzo mtume Muhammad hana miujiza kama Nabii Yahya, ukalilia tu. Nikajua hapa takushika tu kwa rafiki zako, wanao kupa siku zote hadith za uwongo. Bukhari himself admits that there is no hadith to explain 28 complete surahs or chapters of the Qur'an. That is 25 percent of the 114 surahs in the Qur'an. And the remaining hadith are sketchy, ridiculous and do not explain any of the verses of the Qur'an at all. BTW; I TOLD YOU BEFORE, where does it say that prophet need to have miracles?
Prophet Muhammad did not split the moon, the Qur'an gives us clear evidence that Prophet Muhammad did not have any personal miracles.
Qur'an 17:90-93 God tells us how the disbelievers went to Muhammad and asked him to produce any miracle to prove to them that he is a genuine messenger, but God commanded Muhammad to just say that he is no more than a human being who was given a message from God, or in other words he does not have any personal miracles to show them:


Qur'an 7:90
They said, "We will not believe you unless you cause a spring to gush out of the ground.

Qur'an 17:91
Or unless you own a garden of date palms and grapes, with rivers running through it.

Qur'an 17:92
Or unless you cause masses from the sky, as you claimed, to fall on us. Or unless you bring God and the angels before our eyes.

Qur'an 17:93
Or unless you own a luxurious mansion, or unless you climb into the sky. Even if you do climb, we will not believe unless you bring a book that we can read." Say, "Glory be to my Lord. Am I any more than an ordinary human and a messenger?"


The same assurance, that Muhammad did not have any miracles, is given in the following verses:



Qur'an 10:20 "They say, "How come no miracle came down to him (Muhammad) from his Lord?" Say, "The future belongs to God; so wait, and I am waiting along with you.""
Qur'an 6:37 They said, "If only a miracle could come down to him (Muhammad) from his Lord!" Say, "God is able to send down a sign, but most of them do not know.""

God told us in the Quran about the miracles of many previous messengers like those of Moses (9 miracles), Jesus (e.g. raising the dead), Abraham (the birds which he split and placed on hill tops) and others. It would make no sense whatsoever for God to give personal miracles to Muhammad then keep them a secret from us, and instead tell us that Muhammad had no personal miracles
 

John was known familiarly as "the Baptist" which simply means "an immerser, one who administers the rite of immersion" (see Mt. 3:1; 11:11; etc.). John preached about the coming kingdom and the need to repent.

If John the Baptist was a prophet of Allah, why are Muslims not baptised? That is why I say everyday that ALLAH is NOT GOD of the Bible.
The only certainty we have about this Prophet of Allah is what we read in the Qur'an, and from the commentaries on these Qur'anic verses by Islamic scholars, and there is no mention of any baptizing. From his birth he was kind to his parents: And he was not overbearing or rebellious.(Qur'an-Maryam 19:14)

Even as a youth, he was given wisdom (Maryam 19:12). His role as a Prophet was to call people to Allah and to call them away from the legalism that had corrupted the faith of the Jewish people.
 
Ndugu yangu hakuna hata sehemu Yesu kasema yeye ni mkristo, Yesu alisema Yeye ni Muislam. Tumeisha wawekea kule tena kwa lugha yake ya ki Hebrew anasema yeye ni Muislam. We tega sikio watatoa tolea jipya la bibilia, wao kuota tolea jipya la bibilia utadhani magazeti ya udaku watesema; Yesu kaisha kuwa Mkristo.
Jesus said the word "Muslim" in Luke 6:40, and told others to be a Muslim:

Aramaic translated into Hebrew: "Ein talmeed na'leh 'al rabbo; shekken kal adam she'MUSHLAM yihyeh k'rabbo."

hebrew2.gif


Translation in English: "No student can be above his teacher, but everyone that is a MUSLIM, can be as his teacher."

This was translated by Jews who know Hebrew bible.
Mkuu, tuseme uislamu ulianza kipindi gani?
NA ikiwa Abraham alikuwa Mwislamu, Je Musa alikuwa dini gani na Torati alipewa na nani, Ni Nani aliyemwezesha kuwatoa waisrael kutoka utumwani Misri???????
WaIsrael chini ya Musa waliabudu Mungu gani ama walikuwa dini gani ?
Na JE Yesu aliswali Msikiti gani??????????????
KWanini Yesu hakuoa kama Muhammadi?
Korani inasemaje iweje Yesu azaliwe pasi na baba alikuwa na lengo gani?
Ikiwa Yesu ni Mwislamu..Kwanini basi Waislamu hawabatizwi kama yesu na Manabii waliokuwepo baada yake walivyobatizwa na kwanini basi korani haina Injili ya yesu ndani yake ?--Je UIslamu umebadilika(Kutoka wa abrahamu mpka wa yesu hadi wa muhammadi)???
KWanini Yesu hakumpiga kwa mawe mwanamke mzinzi aliyepelekewa na kwanini waislamu wa Leo wanawaua kwa mawe? Mbona yesu hakuwa na dhambi lakini hakuua mtu kwa mawe? Uislamu wake ukoje?

Mbona Kwenye bibilia Mbingu aliyoitaja Yesu haifanani na Ya Muhamadi ingali wote ni waislamu???
KWanini Kama uislamu ulikuwepo miaka hiyo haukuweza kuenea duniani kote?
Mji wa Jerusalem walipewa taifa gani kati ya waarabu na waisrael?
Walitumia Korani gani????Ka'aba yao walikuwa wakielekea wapi?
 
Mkuu, tuseme uislamu ulianza kipindi gani?
NA ikiwa Abraham alikuwa Mwislamu, Je Musa alikuwa dini gani na Torati alipewa na nani, Ni Nani aliyemwezesha kuwatoa waisrael kutoka utumwani Misri???????
WaIsrael chini ya Musa waliabudu Mungu gani ama walikuwa dini gani ?
Na JE Yesu aliswali Msikiti gani??????????????
KWanini Yesu hakuoa kama Muhammadi?
Korani inasemaje iweje Yesu azaliwe pasi na baba alikuwa na lengo gani?
Ikiwa Yesu ni Mwislamu..Kwanini basi Waislamu hawabatizwi kama yesu na Manabii waliokuwepo baada yake walivyobatizwa na kwanini basi korani haina Injili ya yesu ndani yake ?--Je UIslamu umebadilika(Kutoka wa abrahamu mpka wa yesu hadi wa muhammadi)???
KWanini Yesu hakumpiga kwa mawe mwanamke mzinzi aliyepelekewa na kwanini waislamu wa Leo wanawaua kwa mawe? Mbona yesu hakuwa na dhambi lakini hakuua mtu kwa mawe? Uislamu wake ukoje?

Mbona Kwenye bibilia Mbingu aliyoitaja Yesu haifanani na Ya Muhamadi ingali wote ni waislamu???
KWanini Kama uislamu ulikuwepo miaka hiyo haukuweza kuenea duniani kote?
Mji wa Jerusalem walipewa taifa gani kati ya waarabu na waisrael?
Walitumia Korani gani????Ka'aba yao walikuwa wakielekea wapi?
Kabla ya kukujibu hayo naomba kwanza ukaisome Bibilia yako vizuri ujuwe imetoka kwa Mungu au kwa binadamu kama wewe. Biblia hizo mashuhuri zimetengenezwa na binadamu, hili ni jambo la ajabu sana.
Kisha ujiulize je kuna Qur'an tofauti zilizo tungwa na binadamu? Ukapata jibu ambalo si la kukatalika hakija tungwa na mtu. Kwani vitabu hivi na baadhi ya makala zingine ni chanzo cha mafundisho ya dini ya kikristo wanayo yategemea. Ukiwa una soma biblia zote hizo nne unajuwa takuta nini? Biblia ya Matthew inasema nini kuhusu Yesu inasema yafuatayo; Nabii Issa (Yesu) anatokana na kizazi cha Ibrahiim na Daud. kwa hiyo ni nani huyu Yesu? Si katika binadamu? Kweli yeye ni binadamu. Biblia ya Luka inasema; Anamiliki nyumba ya Yaqub milele, na hakuna mwisho wa milki yake. Biblia ya Mark inasema; Hii ni sababu ya family ya Jesus wanauko wa ki Mungu (Yesu)mtoto wa Mungu. Biblia ya Yohana inasema; Mwanzo ilikuwa ni neno,na ilikuwa ni neno kwa Mungu, lilikuwa neno la Mungu, na maana yake ni kwamba; Mwanzo alikuwa Yesu,na Yesu wa Mungu na Yesu ndie Mungu. Aisay hapo ukijiuliza katika nafsi yako, kuna tofauti kubwa katika biblia hizi nne kuhusu Yesu. Je yeye ni binadamu au mtoto wa Mungu au Mfalme au yeye ni Mungu. Na uhakika utakuwa una shaka kuhusu suala hili,wala usipate jibu lake. Sabubu ni uwongo mtupu:A S wink:


Kuhusu swali lako nadhani tumeisha kuelezeni sana humu Mitume wote wa Mungu wao walikuwa waislam, na walisali wapi kila mmoja alikuwa akisali kwa kufata Mungu wapi wanatakiwa waelekeze uso wake. Lazima watu wafahamu ya kuwa uislamu si dini iliyopewa jina na muasisi fulani na kusema kuwa wafuasi wake waitwe waislamu, isipokuwa Uislamu jina hili ukilitafsiri kwa lugha y kiswahili ni amani, kujisalimisha, kunyenyekea ndiyo maana yake. Mtume Muhammad si muanzishaji wa dini hii, na amelezea wazi kuwa uislamu mana yake (kujisalimisha kwa Mungu) toka kuumbwa kwa ulimwengu. Allah aliumba ulimwengu ili vitu vyote vimtii na kujisalimisha kwake, lakini viumbe hawa wawili (majini na watu) walipewa khiari na matamanio, na huo ndiyo mtihani wenyewe tulioumbiwa nao, ambao watu tunaelekezana, kuelimishana, kujadiliana, kuzozana mpaka tunafikia hata kugombana na kutoana roho katika mambo hayo. Watu walioishi mwanzo walikuwa na mfumo wao wa maisha, walipewa muongozo wa kuishi na Mungu, kwa kuwapelekea mjumbe kutoka kwake. Vitabu vya dini havipingani kabisa kuwa Adam na Hawa(Eva) walipewa muongozo na Allah na kuambiwa wasiukaribie mti huo walioukatazwa, kwa kuwa walikuwa na khiari na matamanio ndiyo yaliyowafanya wapinge sheriai hiyo na kutokea yaliyotokea. Kwa kuwa walikuwa wanyenyekevu, wakaomba msamaha na mwisho wakasamehewa, siyo kama Ibilisi(Shetani) ambaye hakuwa mnyenyekevu na kuangamia. Watu wasifikirie Uislamu ni dini ya Mtume Muhammad na kwa ajili ya warabu tu. Ukisoma historia ya kiislamu utumkuta Bilal (R.A) muadhini wa mtume ambaye alikuwa Mhabesh(Mu Ethopia), tunamsoma Salman Farsi (R.A) ambaye ni Mfarsi(Muiran), kuna wakina Bukhari watu kutoka sehemu za Urusi na Mayahudi wengi tu waliosilimu. Mtume aliifikisha dini hii kwa wafalme wengi tu wa pande za ulimwengu. Kwa hiyo Uislamu ulikuwepo kutoka kumbwa kwa dunia na mpaka mwisho wake. Dini nyingine huenda zilikuwa ni za usahihi kutoka kwa Allah ila baada ya kupita muda baadhi ya watu waliharibu dini hizo ikiwa kwa ujinga au maslahi yao binafsi haswa huyo Paulo mtume wawakristo. Ikiwa Allah kaumba ulimwengu na vilivyomo ndani yake hivyo hahitaji chochote kutoka kwetu, isipokuwa unyenyekevu wetu tu, na huo ndiyo Uislamu wenyewe. Na kitu kikubwa usamfananishe Mungu na kitu chochote hapa utakuwa umeingia kwenye madhambi makubwa mno hayana toba. Na huo ndiyo ulikuwa ujumbe wa Mitume wa Mungu. Uislamu si jina la mtu au sehmu au kitu, sipokuwa ni kitendo cha mtu kujisalimisha, kumnyenyekea Mungu na kufata mfano wa Mitume wote wa Mungu ambao walikuwa wakimtii Mungu, sijawahi kuona Paulo kamtii Mungu zaidi ya kuwapoteza binadamu wasimtii Mungu. Hasa hio ya kumfananisha Mungu kawa Binadamu. Paulo alimpa sifa hii Yesu kwa sababu moja kubwa; Alitaka kupata wafuasi wengi miongoni mwa Warumi na Wagiriki (watu wa mataifa). Wajentaili (Wagiriki na Warumi) walikuwa ni wapagani waliokuwa wakiabudu miungu wengi wenye historia ndefu iliyojaa imani za ajabu ajabu zisizokuwa na hoja wala dalili za kiakili. Miungu wengi wa kipagani wa wakati ule - Mithrus, Adonis, Attis na Osiris ndio kawaingiza kwenye dini yake mpya ya kikristo. Ya Mungu baba, Mungu mwana, na Mungu roho mtakatifu Poleni sana wakristo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom