Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Adam ni Mwanaume na Binadamu wa Kwanza kuumbwa akiwa na Eva kwa Udsongo: mpaka hapa hakuna shaka.
Tofautisha kuumbwa na Kuzaliwa. Hatuna haja ya kuhoji baba wa Adam kwakuwa tunajua aliumbwa lakini tunaweza kuhoji na baba wa Yesu kwakuwa amezaliwa.
NA kuhusu Yesu: haijasemwa ameumbwa bali imeandikwa amezaliwa na Bikira.. Kwa hiyo kitendo cha nyinyi kusema Mungu hana Mke wala mwana , ni kufuru kwasababu mnachukulia haya mambo kibinadamu kana kwamba MAria alijihusisha kimahusiano ndipo akampata Yesu. NA mnarudi kule ambapo Koran yenu inawakataza msikufuru katika hili.
Saa mtakayo acha kuyatazama haya maandiko kwa macho ya kibinadamu ndipo mtakapo elewa Umwana wa Yesu kwa Mungu ukoje. NA ndipo mtaacha kuwalaumu wakristo kwa Imani yao kuwa Yesu ni mwana wa Mungu.
KWani HAjafanyika kwa mikono ya wanadamu na kupelekea kurithi dhambi kama Binadamu wote tulivyo. Ndio maana Korani inakiri kwamba Shetani anamdhuru mtoto yoyote anayezaliwa duniani lakini hakuweza kumdhuru YEsu Kristo aliyehai. Kwakuwa Yule ni wa asili ya Mungu, sio wa kibinadamu. NA kilichozaliwa na Mungu sikuzote huushinda ulimwengu.
Points za incarnation(Embodying) zinaanzia hapa...


Mnachekesha sana nyie wakristo, kwanza nataka nikuliza swali kwenye Bibilia yenu iko sehemu inasema Mungu alimuoa mama yake Yesu? Kama hakuna unataka kusema Yesu ni mtoto wa haramu, sababu alizaliwa nje ya ndoa? Kama si mtoto wa haramu pia kuna swali lingine mama yake Yesu mpaa anamzaa Yesu anasema hajawahi kubikiriwa, yani hajawahi kusex na kiumbe chochote kile, wala hajawahi kusema kasex na Mungu, sa nani tumuamini wewe na wakristo wajinga wenzako, au mama yake Yesu?
 

yohana 16:33 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe;


Mimi nimeingia hapa kucheka tu kukuonyesheni ujinga wenu, hivi wewe unadhani Mungu anaishi kwenye mbingu? Tukiwambia nyie wakristo wajinga hamna elimu mnasema ohh sijui sisi tuna elimu, elimu gani hamjui hata Mungu anaishi wapi. Kama akili zenu mnadhani Mungu anaishi mbinguni, basi mmelala sana, tena sana. Eti Yesu alitazama mbinguni na kumuomba Mungu. Hayo mengine kamanda Bill Cosby , nadhani kaisha yajibu.
 
Last edited by a moderator:
Mtumishi, hawa ni kuenda nao, taratiib, maana huwa wanakimbia ukiwashika pabaya. Hawato gusa hilo jibu zaidi ya kuingiza na kuchomekea mavitu mengine ya ajabuajabu.
Ishmaeil, tokea nimeingia hapa sijawahi kuona umeleta point ukatushinda, nacho ona hapo ni tofouti kabisa. We ndio ukibanwa unarukia mengine. Na haswa yale ya ku Copy and Paste, huwa unatuwacha hoi kabisa, mana ndio unaonyesha ujinga wako wazi kabisa. Hivi wewe hata Secondary ulifika?
 
Allah's wife, her name is AL-LAT. She was worshipped at Mecca for 2000 years before Islam. The famous Muslim pilgrimage spot in Mecca was originally her shrine. Allat's name means simply "the Goddess," just as Allah means, "the God." The T ending is feminine.
Allah and Allat were depicted standing together with a star and crescent moon over them. Allah was a moon god and she was the "star", Venus.

Islamic nations still use that star and crescent in their flags.
Another obvious, but vehemently denied, symbol of the sacred marriage.

Allat is probably going to be the last wife of Allah to take off her veils.
Islam is not really open to Allah having a partner, even though history and archaeology prove that he does...
Ishmael; Have you lost yourself completely ? GOD is ONE and it looks as He assigned you to Deuteronomy 28:28. The LORD will strike you with madness, blindness, and panic. Back @ the silly point.

Is it possible or impossible for Allah to have a Son? Firstly, I'll quote the Qur'an which answers this question:
Say: "If (God) Most Gracious had a son, I would be the first to worship." 43:81​
Notice: "If God had a son then X would happen" presuppose God has the ability to have a Son but has so far chosen to refrain from this. To break this down: If A occurs then B results, cause and effect. In simple logic: If A then B. If John walked, then he moved his muscles. The structure of the sentence then presuppose John can walk if he takes that action, just like Allah can have a son if he takes that action.

Prophet Mohammed is then commanded to admit that God can have a son if he wanted to, and if God had a divine Son, Mohammed himself admits he would worship that Son of God. This means it's possible for Allah to have a son, but Allah chooses not to have a son.

However if Allah can have a son, why doesn't Allah choose to have a Son? The Quran gives us the answer itself:
Wonderful Originator of the heavens and the earth! How could He have a son when He has no consort, and He (Himself) created everything, and He is the Knower of all things. 6:101

'And Exalted is the Majesty of our Lord: He has taken neither a wife nor a son. 72:3​
 
Makafiri wa Kiislam walisha jaribu kinipiga risasi na haikufanya kazi. Teh teh teh teh, Yesu ni Mungu wa Allah na Muhammad. Ndio maana Wakristo wenye kujitambua hawawezi kuukubali Uislam bandia na dhaif.

HATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA MUHAMMAD ALIROGWA

Hadithi ya Aisha (r.a)amesema Mtume (s.a.w) alirogwa, mpaka akawa anaona kama anawaingiliawakeze na hali ya kuwa hawaingilii sufiyan mmoja wa wapokezi wahadhithi hii amesema ndiyo uchawi mbaya mno unapokuwa namna hivi…(Alu-lu-lu wal-marjan, uk 822, hadithi na. 1412)
We wacha firibi nyingi, we kama kweli ni mkristo haswa na una imani ya kikristo haswa kanywe sumu au kashike mijoko mbona unakimbia. Nataka usogee hapa nikupe sumu nione unaweza kuinywa au kelele zenu tu kama za kanisani. Hio ya kusema wametaka kukua, hatutaki kuona watu wanakuwa tunataka wewe mwenyewe ujiue ili tuone utaenda peponi au motoni. Ukifika kule we wa call wakristo wenzako kama uko peponi ili wakuige, na sisi waislam tujiunge kwenye dini yenu, kama kweli hio ni dini ya Mungu hautakufa. Tuonyeshe mfano dogo wacha kelele, usipo tuonyesha mfano ujuwe dini yako ni ya uwongo mtupu na ukabali umeshindwa hamna dini nyie. Na wafuasi wake wanaijua ni fake, ndio sababu hawaifati inavyo amrisha. Jitoleni mfano wakristo ili muigwe na wengine, mimi taleta Sumu nione Ishmael na 2013 , Mnaweza kuinywa?
 
Last edited by a moderator:
oh yes.. asante mkuu

Pokea zawadi ingine hio ya WANAKONDOO wanavyotolewa PEPO na Mchungaji!

Kama hii sio LAANA ni Kitu gani!?

Sasa lbd nikuulize! Hapo jamaa anachokifanya kwa hao KONDOO walilala km wamekufa Ndio Mafundisho mnayopewa kila siku humo kwenye hayo madanguro yenu?
 

Attachments

  • 1414317797942.jpg
    1414317797942.jpg
    44 KB · Views: 49
  • 1414317810825.jpg
    1414317810825.jpg
    36.1 KB · Views: 40
We wacha firibi nyingi, we kama kweli ni mkristo haswa na una imani ya kikristo haswa kanywe sumu au kashike mijoko mbona unakimbia. Nataka usogee hapa nikupe sumu nione unaweza kuinywa au kelele zenu tu kama za kanisani. Hio ya kusema wametaka kukua, hatutaki kuona watu wanakuwa tunataka wewe mwenyewe ujiue ili tuone utaenda peponi au motoni. Ukifika kule we wa call wakristo wenzako kama uko peponi ili wakuige, na sisi waislam tujiunge kwenye dini yenu, kama kweli hio ni dini ya Mungu hautakufa. Tuonyeshe mfano dogo wacha kelele, usipo tuonyesha mfano ujuwe dini yako ni ya uwongo mtupu na ukabali umeshindwa hamna dini nyie. Na wafuasi wake wanaijua ni fake, ndio sababu hawaifati inavyo amrisha. Jitoleni mfano wakristo ili muigwe na wengine, mimi taleta Sumu nione Ishmael na 2013 , Mnaweza kuinywa?
wakristo tunaamini Mungu hajaribiwi. Imeandikwa hata mkila kitu cha kificha hakita wazuru. nikinywa sumu angali na jua ni sumu itanidhuru kwakuwa sio ya kuficha ni ya wazi. Ishara na maajabu ya Mungu yapo kwa ajili ya wasio amini, na hayafanyiki kumpa utukufu mwanadamu bali Mungu peke yake. Sorry kwa lugha ya kiswahili.
 
Mimi nimeingia hapa kucheka tu kukuonyesheni ujinga wenu, hivi wewe unadhani Mungu anaishi kwenye mbingu? Tukiwambia nyie wakristo wajinga hamna elimu mnasema ohh sijui sisi tuna elimu, elimu gani hamjui hata Mungu anaishi wapi. Kama akili zenu mnadhani Mungu anaishi mbinguni, basi mmelala sana, tena sana. Eti Yesu alitazama mbinguni na kumuomba Mungu. Hayo mengine kamanda Bill Cosby , nadhani kaisha yajibu.
Mathayo 5: 33 Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie Bwana nyapo zako;34 lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maana ndicho kiti cha enzi cha Mungu;35 wala kwa nchi, kwa maana ndiyo pa kuwekea miguu yake; wala kwa Yerusalemu, kwa maana ndio mji wa Mfalme mkuu.36 Wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kufanya unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi 37 Bali maneno yenu yawe Ndiyo, ndiyo; Siyo, siyo; kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu.
 
Pokea zawadi ingine hio ya WANAKONDOO wanavyotolewa PEPO na Mchungaji!
Kama hii sio LAANA ni Kitu gani!?Sasa lbd nikuulize! Hapo jamaa anachokifanya kwa hao KONDOO walilala km wamekufa Ndio Mafundisho mnayopewa kila siku humo kwenye hayo madanguro yenu?
cha ajabu ni nini kama anatoa tiba ya kiroho. we ukienda kwa daktari tena akakuvua na nguo ili akupe tiba utasema si sawa? JAribu kufikiri tofauti. sio kama mtoto
 
cha ajabu ni nini kama anatoa tiba ya kiroho. we ukienda kwa daktari tena akakuvua na nguo ili akupe tiba utasema si sawa? JAribu kufikiri tofauti. sio kama mtoto

Kumbe mchungaji kukamata Papuchi na kumuita yesu ni tiba ya kiroho?
Dahh mi nilikiwa sijui..
Ta ha ha ha ha.
Ahsanta kwa kunishtua.

Tazama mwanakondoo jasho linavyomtoka kwenye nanihii.
Halafu tazama huo mkono wa Mchungaji unapima joto la wapi!

Hatari sana.
 
Mimi nimeingia hapa kucheka tu kukuonyesheni ujinga wenu, hivi wewe unadhani Mungu anaishi kwenye mbingu? Tukiwambia nyie wakristo wajinga hamna elimu mnasema ohh sijui sisi tuna elimu, elimu gani hamjui hata Mungu anaishi wapi. Kama akili zenu mnadhani Mungu anaishi mbinguni, basi mmelala sana, tena sana. Eti Yesu alitazama mbinguni na kumuomba Mungu. Hayo mengine kamanda Bill Cosby , nadhani kaisha yajibu.

Captain Adiosamigo hawa tunaojaribi kuwapa darasa ni km mizoga!
Haina faida Duniani wala Akhera.
Lkn Tusichoke.

Kuna kondoo wengine wanapata faida sana tu na darasa zako.
Tena usishangae wakawa wengi tu wameshasilimu.

Allah akilipe Kamanda kwa kupiga misasa makafiri.
 
Last edited by a moderator:
Captain Adiosamigo hawa tunaojaribi kuwapa darasa ni km mizoga!
Haina faida Duniani wala Akhera.
Lkn Tusichoke.

Kuna kondoo wengine wanapata faida sana tu na darasa zako.
Tena usishangae wakawa wengi tu wameshasilimu.

Allah akilipe Kamanda kwa kupiga misasa makafiri.
mmeamua kujipa na vyeo kabisa, we ni kamanda huyu mwingine captain, sijui Lieutenant Colonel ndio nani!? Brigadier General sijui atakuwa nani!?
 
Last edited by a moderator:
We wacha firibi nyingi, we kama kweli ni mkristo haswa na una imani ya kikristo haswa kanywe sumu au kashike mijoko mbona unakimbia. Nataka usogee hapa nikupe sumu nione unaweza kuinywa au kelele zenu tu kama za kanisani. Hio ya kusema wametaka kukua, hatutaki kuona watu wanakuwa tunataka wewe mwenyewe ujiue ili tuone utaenda peponi au motoni. Ukifika kule we wa call wakristo wenzako kama uko peponi ili wakuige, na sisi waislam tujiunge kwenye dini yenu, kama kweli hio ni dini ya Mungu hautakufa. Tuonyeshe mfano dogo wacha kelele, usipo tuonyesha mfano ujuwe dini yako ni ya uwongo mtupu na ukabali umeshindwa hamna dini nyie. Na wafuasi wake wanaijua ni fake, ndio sababu hawaifati inavyo amrisha. Jitoleni mfano wakristo ili muigwe na wengine, mimi taleta Sumu nione Ishmael na 2013 , Mnaweza kuinywa?
Let us see what a brave Jewish woman did to Muhammad before you test me and see if Allah was able to heal your prophet.

Narrated Anas bin Malik:
A Jewess brought a poisoned (cooked) sheep for the Prophet who ate from it. She was brought to the Prophet and he was asked, "Shall we kill her?" He said, "No." I continued to see the effect of the poison on the palate of the mouth of Allah's Apostle. (Sahih al-Bukhari, Volume 3, Book 47, Number 786)

'A'isha reported that when any of the members of the household fell ill Allah's Messenger (may peace be upon him) used to blow over him by reciting Mu'awwidhatan, and when he suffered from illness of which he died I used to blow over him and rubbed his body with his hand for his hand had greater healing power than my hand. (Sahih Muslim, Book 026, Number 5439)
The foregoing shows that the incantation of the Quran failed Muhammad since Allah didn't heal him of the sickness which caused his death.

Mark 16:18 They shall take up serpents; and if they drink any deadly thing, it shall not hurt them; they shall lay hands on the sick, and they shall recover.

The Bible is conspicuously that if Christians drink any deadly thing, it shall not hurt them. Furthermore, Christians shall pray for the sick and they shall recover something your Allah, Muhammad and Jibril FAILED BIG TIME.
 
cha ajabu ni nini kama anatoa tiba ya kiroho. we ukienda kwa daktari tena akakuvua na nguo ili akupe tiba utasema si sawa? JAribu kufikiri tofauti. sio kama mtoto
Do you know one funny thing from this religion??!!!:

Allah has no ability and or power to heal people. That is why the muzzrat is flabbergasted.
 
Ishmael; Have you lost yourself completely ? GOD is ONE and it looks as He assigned you to Deuteronomy 28:28. The LORD will strike you with madness, blindness, and panic. Back @ the silly point.

Is it possible or impossible for Allah to have a Son? Firstly, I'll quote the Qur'an which answers this question:
Say: "If (God) Most Gracious had a son, I would be the first to worship." 43:81​
Notice: "If God had a son then X would happen" presuppose God has the ability to have a Son but has so far chosen to refrain from this. To break this down: If A occurs then B results, cause and effect. In simple logic: If A then B. If John walked, then he moved his muscles. The structure of the sentence then presuppose John can walk if he takes that action, just like Allah can have a son if he takes that action.

Prophet Mohammed is then commanded to admit that God can have a son if he wanted to, and if God had a divine Son, Mohammed himself admits he would worship that Son of God. This means it's possible for Allah to have a son, but Allah chooses not to have a son.

However if Allah can have a son, why doesn't Allah choose to have a Son? The Quran gives us the answer itself:
Wonderful Originator of the heavens and the earth! How could He have a son when He has no consort, and He (Himself) created everything, and He is the Knower of all things. 6:101

'And Exalted is the Majesty of our Lord: He has taken neither a wife nor a son. 72:3​
Let me refresh your mind:
Hisham ibn al-Kalbi writes:
The Quraysh were wont to circumambulate the Ka'bah and say:

By Allat and al-'Uzza,
And Manah, the third idol besides.
Verily they are the most exalted females
Whose intercession is to be sought.


Source: In The Name Of Allah - Daughters of Allah
 
Ishmaeil, tokea nimeingia hapa sijawahi kuona umeleta point ukatushinda, nacho ona hapo ni tofouti kabisa. We ndio ukibanwa unarukia mengine. Na haswa yale ya ku Copy and Paste, huwa unatuwacha hoi kabisa, mana ndio unaonyesha ujinga wako wazi kabisa. Hivi wewe hata Secondary ulifika?

Come out of the box, you will see it.

This is free education for you and your relatives: http://www.journeytojesus.com/TheDaughtersOfAllah.pdf
 
Mathayo 5: 33 Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie Bwana nyapo zako;34 lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maana ndicho kiti cha enzi cha Mungu;35 wala kwa nchi, kwa maana ndiyo pa kuwekea miguu yake; wala kwa Yerusalemu, kwa maana ndio mji wa Mfalme mkuu.36 Wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kufanya unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi 37 Bali maneno yenu yawe Ndiyo, ndiyo; Siyo, siyo; kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu.

Mtumishi, msaidie huyu jamaa seanherms
 
Last edited by a moderator:
mmeamua kujipa na vyeo kabisa, we ni kamanda huyu mwingine captain, sijui Lieutenant Colonel ndio nani!? Brigadier General sijui atakuwa nani!?

Ha ha ha hha.
Haki ya mama nyie wagalatia kweli akili maji.
Si afadhali mimi na Captain Adiosamigo TUNAPEANA VYEO kutokana Na Nondo zetu humu Jukwaani.
Sasa wewe UMEJIPA MWENYEWE Cheo cha Mkuu wa chuo wakati elimu yako hata ya msingi hatuioni!

Hii si balaa hii?

Ama kweli ishi uone!
 
Last edited by a moderator:
wakristo tunaamini Mungu hajaribiwi. Imeandikwa hata mkila kitu cha kificha hakita wazuru. nikinywa sumu angali na jua ni sumu itanidhuru kwakuwa sio ya kuficha ni ya wazi. Ishara na maajabu ya Mungu yapo kwa ajili ya wasio amini, na hayafanyiki kumpa utukufu mwanadamu bali Mungu peke yake. Sorry kwa lugha ya kiswahili.
Wacha kukimbia swali langu, bibilia zenu zinasema hata mkinywa sumu na kushika majoka hamdhuriki we huoni unavyo ipiga chenga hapo. Wacha nikuwekee uone tena. Marko 16:18[SUP]18 [/SUP]wataweza hata kuwakamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona." Nakuwekea na kizungu kama hufahamu Kiswahili vizuri Mark 16:18 King James Version (KJV)
[SUP]18 [/SUP]They shall take up serpents; and if they drink any deadly thing, it shall not hurt them; they shall lay hands on the sick, and they shall recover.
 
Mathayo 5: 33 Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie Bwana nyapo zako;34 lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maana ndicho kiti cha enzi cha Mungu;35 wala kwa nchi, kwa maana ndiyo pa kuwekea miguu yake; wala kwa Yerusalemu, kwa maana ndio mji wa Mfalme mkuu.36 Wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kufanya unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi 37 Bali maneno yenu yawe Ndiyo, ndiyo; Siyo, siyo; kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu.
Sa kabla ya yote hapo inaonyesha bibilia yenu si kutoka kwa Mungu, sababu inasema kiti cha Mungu kipo kwenye mbingu, wakati si kweli. Lazima ujuwe akilini mwako na wakristo wote mbingu iliundwa na Mungu sa Mungu hayuko mbinguni dogo. Kasome utajua mbingu na ardhi aliziunda hivyo Mungu anasehemu yake spesho sio mbinguni.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom