Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
KIJANA UNANZA KUKIMBIA MAPEMA HII:
[/COLOR]
[/COLOR]

Hivi wewe kafiri hujajiuliza mpaka leo ilikuwaje Yesu wa msalaba alishindwa kuja hapa duniani kwa nidhamu mpaka ampige mimba MAMA YAKE MZAZI?

We ukiambiwa umpige mimba mama yako utakubali?
Halafu eti mama huyo huyo aliyemzaa na kumtawaza mavi yake Amuabudu na kumuita mungu mtoto aliyekuwa anamtawaza UHARO.

Halafu eti mungu wenu anajihukumu Na kujipa Adhabu yeye mwenyewe na KUJIUA! ili apate kusamehe dhambi ambazo yeye mwenyewe KAZIANZISHA!

Hivi kweli nyie wasela mna Akili Timamu??
 
Bado unahsindwa kuthibitisha maneno yako kwa kutumia aya. Nilikuonya mapemaa kuwa, huto weza msaidia Allah au Muhammad ambao wameshindwa kusema na kutetea madai yenu.

YOU HAVE FAILED
Hahaha ubaya wako ukipewa Aya unakimbia afu unajificha afu baada ya page kupita, unarudi kuliza hilo hilo swali kama vile kichaa. Hayo tutakuwekea tu Aya mana Qur'an si bibilia dogo. “Muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na Mwisho wa Manabii, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu” (Qur'an 33: 40). Umeona au bado acha nikuongezee dawa; “Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote” (Qur'an 21: 107).
 
adiosamigo maneno haya usemayo unaambiwa wewe.. mwenye macho hutaki kutazama, masikio hutaki kuona...

ningeomba kukuuliza swali hili. Muhammad amekuwa mtume akiwa mzee wa miaka 51(Karibia Umri wa kUstaafu).Bila mafunuo yoyote kuthibitisha ujio wake ama elementi zozote za unabii kaika maisha yake. Mfano hakulelewa kwenye familia, baba yake alidedi yeye akiwa bado charlii. n.k.
Mke aliyempata alikuwa mzee sana kuliko yeye, hakuwa na elimu yoyote, hakutahiriwa kwani jamii yao ilikuwa haitahiri,

ameonekana ni mtu wa kubadilika. aliyoyaongea akiwa mecca yalibadilika alipoenda medina.

analalama kulogwa mara kadhaa, hoja kuwa mashetani yanamwabudu mungu inamtia hatihati, hoja kuwa mashetani yapo mazuri na mabaya nayo inaelementi za uchawi ndani yake, yeye mwenyewe alliwahi kuogopa kuwa mwisho wa duniaumefika alipoona kupatwa kwa jua, alikuwa mwenda kwa waganga. he didi not die natural death.. ameeneza dini kwa kulazimisha watu na sio watu wameridhia, ...nk.
. yaani hakuna link kati ya manabii wa bibilia na Muhammad katika level yoyote ile. hayo mambo sijui ka'aba nikama mapokeo yake na baba na babu zake. Swali langu ni je, Kitu gani hasa kina kuaminisha uone kuwa mwamedi ni Mtume wa kweli na korani ni mamneno ya mungu na imeshushwa kwake ? Mbona matendo yake yamejaa shaka kuliko viwango vya kawaida vya shaka, binafsi sioni kama amezidi nyerere wetu. with no offence, hivi we Huoni???????????????

Kumbukumbu la Torati 18: 10 - 12 ... inasema.....

10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,
11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.
12
Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa Bwana; kisha ni kwa sababu ya hayo Bwana, Mungu wako, anawafukuza mbele yako.
dogo some times unafurahisha kuliza maswali hata kichaa angeona aibu kuyauliza, Yani wewe unashangaa Mtume Muhammad kupewa utume ana umri mkubwa wa miaka 40 na wala si miaka 51, hapo kwanza umeonyesha uwongo wako. Pili unashangaa Prophet Muhammad kupewa utume ana miaka 40 kwanini usishangae Prophet Mosses kupewa utume wakati ana miaka 80?

Unashanga kama Mtume Muhammad hajalelewa na family yake kivipi wakati aliye mlea ni uncle wake baba yake mdogo, wakati hushangai Mtume mwingine wakati alilelewa na watu, ambao hana hata uhusiano nao. Je Prophet Mosses alilewa na mama yake, na baba yake? We hujui kwamba ni mke wa firauni na bint zake ndio walimlea. Yani dogo nyie mna akili zilizo potezwa na Paulo, kugundua mnaongea nini mpaa mfahamishwe, we ulijua Prophet Mosses kalelewa vipi au kapata utume ana umri gani? Unashangaa na utashangaa sana, sababu unasoma vitabu sio vya Mungu ungesoma kitabu cha Mungu usinge shangaa. Hio ya kusema Mtume Muhammad karogwa, sa kitu gani cha kushangaza, mbona usihangae kwanini Malaika Gabriel alimuonyesha materials ambazo zilitumika kumroga, Mtume Muhammad alienda mpaa kwenye sehemu zilizo tumika kumroga, lakini akiziwacha sababu alijua Mungu atamponyesha. Kwanini usishangae Qur'an haikuweza kurogwa? Na kwanini usishangae mungu wako kupigiliwa misumari? Hio ndio ya kushangaza.
 
KIJANA UNANZA KUKIMBIA MAPEMA HII:

MASWALI YANGU YAKO PALE PALE:
VIPI ALLAH ASHINDWE VIBAYA SANA KUMPONYA MUHAMMAD baada ya KULISHWA sumu na Dada Jasiri wa Kiyahudi?

Hakika Allah WENU HANA UWEZO WA KUPONYA.

Hivi, kwanini Jibril alimuombea Muhammad? Hivi hajua kuwa Allah hakuwa na mpango wowote ule wa kumponya Muhammad, AU JIBRIL huwa anajituma mwenye na kusema ETI Allah kamtuma. HUU NI MSIBA.

How can we then trust this Jibril?
Dogo sumu inafanya kazi miaka mingapi? Mtume ingekuwa sumu imemua angekufa pale pale, lakini alishi mpaa akakamilisha alicho ambiwa na Mungu akikamilishe. Mimi nafahamu sumu huwa inafanya kazi pale pale, haichukui siku. We njoo unywe sumu tuone utaishi nayo miaka au siku tu. THE PROPHET DIED FROM THE POISON FOUR YEARS LATER! Hayo ndio maujiza ya kweli. Ukweli Mungu ndio alimprotected the Prophet Muhammad from dying from the poison right away, and had him live long enough in order to finish his duty of spreading the message of Islam. Wewe unaweza kunywa sumu au kulishwa sumu na ukasihi miaka minne? Hebu jaribu dogo tuone kama unaweza kuishi hata siku moja utakuwa una bahati sana kuishi siku mbili tu.
 
I don't think so. Kiboko ya mitume afe kwa kulishwa sumu na mwanamke? Astaghfirullah.

Huyo mtume wako ambaye hakuwai ongea na Mungu ni bure kabisa na wala hafai kabisa.

Mtume wako ameanza kutwanga Mke wake vibaya sana.
Muslim (4:2127) - Muhammad struck his favorite wife, Aisha, in the chest one evening when she left the house without his permission. Aisha narrates, "He struck me on the chest which caused me pain."

Haya hata Baba mkwe yale yale
Muslim (9:3506) - Muhammad's father-in-laws (Abu Bakr and Umar) amused him by slapping his wives (Aisha and Hafsa) for annoying him. According to the Hadith, the prophet of Islam laughed upon hearing this.

Muhammad anawaruhusu waume kutwanga wake zao. Mambo ya Sharia na Kadhi
Abu Dawud (2142) - "The Prophet (peace be upon him) said: A man will not be asked as to why he beat his wife."

Mke anageukwa kahaba kwa amri ya Muhammad
Abu Dawud (2126) - "A man from the Ansar called Basrah said: 'I married a virgin woman in her veil. When I entered upon her, I found her pregnant. (I mentioned this to the Prophet).' The Prophet (peace_be_upon_him) said: 'She will get the dower, for you made her vagina lawful for you. The child will be your slave. When she has begotten (a child), flog her'" A Muslim man thinks his is getting a virgin, then finds out she is pregnant. Muhammad tells him to treat the woman as a sex slave and then flog her after she has delivered the child.
Hizo hadith zote hapo sijui umezitolea wapi mana hazikubaliki na usilam hata siku moja. Kuhusu kumshakia Mtume Muhammad si mtume hio sio shida, shida ni pale kumkubali Mungu kwa kusema kafa kwa dhambi zako au zenu, shida ni pale kusema binadamu walimpigilia msumari Mungu? Hvi Mungu unaweza hata kumshika wewe? Ungempigia simu Prophet Mosses kumuliza alipo omba aone uso wake Mungu, alimuambia nini? Alimuambia binadamu haoni uso wangu akaishi. Sa hao wakristo wali muona Mungu, na wakaishi naye walikuwa Malaika au? Afu mpaa wakampigilia msumari msalabani, yani mnamdharau kiasi hicho Mungu? Huyo aliye fungwa msalabani ili apigiliwe alikuwa biandamu ambaye ni Yesu. Lakini kabla hawajampigilia msumari ali letwa katika hao makafiri akafananishwa na Yesu, ndio wakampigilia.Sa nyie mnamtukuza cousin yake Paulo sio Yesu.
 
Yohana 11:24 Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;25 naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?26 Akamwambia(martha), Naam, Bwana, mimi nimesadiki ya kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajaye ulimwenguni.

angalia hapo juu watu wanakiri kuwa yesu ndiye kristo..


MAtthayo 16:20 Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote ya kwamba yeye ndiye Kristo.21 Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.22 Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, Hasha, Bwana, hayo hayatakupata.23 Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.

@adiosamigo huyawazi yaliyoyamungu bali ya shetani.... ifahamu kazi ya kristo ilikuwa ukombazi wa wanadamu, anayezuia hilo anafanya kazi ya shetani. Ilimpasa yesu kristo kufa.Kama asingekufa wokovu wetu ni bure. Surat maria,19:33 bless the day i was born, the day die and the day i raised up into life again.

.......24 Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu ye yote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate.25 Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona.26 Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Muhammad alipenda K za wanawake mabikira na dogodogo alivutia na nipples, makalio makubwa makubwa, virginity,youth women, aliwanyonya denda hadi watoto wa kiume, japo baadhi ya wanazuoni wanasema eti alikuwa anakata kiu za watoto wa kiume kwa kuwapiga kupitia denda.. lakini konklusheni yake ilimalizia pale chini kuwa hakuna ulimi (Sio Shavu wala Mdomo) mudi alioubusu yaani "romance" ambao utateseka jehanum-My foot!! Kuna wakati mudi alidiriki kumshangaa best yake kwa kuoa mwanamke mzee asiye bikra... hata pepo aliyojaribu kuiimagine ilikuwa na vielement vya ngono kwa kiwango kikubwa.KWakuwa moyo wake ulikuwa huko.

inshort Muhammadi alitamani kuupata ulimwengu wote.. in the end he got killed by woman and never come back...... how absurd?!!!
Hizo kelele tu za wendawazimu Yesu mbona alisema wazi kabisa; Sijatumwa kwa akina Adiosamigo au kwa kina 2013, alisema katumwa kwa kondoo walio potea tu, tena wa wayahudi. Hivi dogo, unawajua wayahudi ni wakina nani? Hayo mengine ni Paulo ndio kayatunga. Nyie kuwazulia Mitume wa Mungu KWANI MMEANZA LEO mlisha mzulia Prophet Ibrahim kama mzinifu, mlisha mzulia Mungu kasex na mama yake Jesus, mmeisha wazulia Mitume wengi uwongo. Wengine mliwachinja kabisa sa ajabu iko wapi kusema mmemuwa mtume Muhamamd kwa sumu? Lakini cha kushangaza kuna sumu inauwa baada ya miaka minne? Hio lazima itakuwa ni siku yake ya kufa ya kawaida ilifika. Yani hio ya sumu ni wakristo tu mnadhani vile, sababu aliletewa chakula chenye sumu na alipo kila alikijua kama kina sumu, sa mbona hamfatilii pale alijua vipi kina sumu kama sio Mtume? Na alikitupa chini? Kweli hapo mmenikumbusha kitu siku zote mnasema Mtume Muhammad huwa anawachukia wayahudi na wakristo? Sa mbona alikula chakula cha wayahudi? Hapo mnasema vipi madogo'z. Yani mnamzulia Mtume uwongo we afu mnanasa pale pale kujiona waongo.
 
KORAN INAKIRI KUWA UISLAMU NI DINI YA WAARABU PEKEE
Katika hii mada ninawaletea ushaidi kuwa Uislam ni dini ya Waarabu peke yao.
Waislamu bila kuchoka wamekuwa wakidai kuwa Uislamu utatawala dunia nzima. Katika kufanya hivyo, wao watakuwa wamekwenda kinyume na maneno ya Allaha kama yarivyo teremshwa kwenye Qur'an. Kwa hiyo, ni haki kwa kusema wao ni Makafiri.


Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.


Angalia hii aya pia
Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.


Kama aya hizi ni kweli, basi Uislamu si kwa mashirika/mataifa/ummah yasiyo ya Waarabu. Quran inasema kwamba kila watu wamepokea ujumbe wao kutoka kwa Mungu katika lugha yao wenyewe ili waweze kuelewa na Qur'ani akaishuka kwa Waarabu ili Waarabu waweze kulewa nini Allah anasema.


Dhana hii ya Allah kushusha Kitabu kwa kila lugha ni muhimu sana kwasababu imejirudia mara nyingi na ndio msingi wa hili somo.


Quran 16: 36. Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa MwenyeziMungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.


Quran 5: 48. Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.


Quran 36: 5. Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu. 6. Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa , basi wao wamekuwa wenye kughafilika.


Hizi aya zimekamilka na kueleza kiuwazi kuhusu kuja kwake kwa Waarabu pekee. Allah katika Koran anasema kwamba kila watu wamekuwa na Mtume wao wenyewe ambao aliwaonya katika lugha zao wenyewe, na kwamba amemtuma Muhammad kwa wale ambao bado hawajaanza mwongozo wowote, na ambao baba zao hawakuonywa, yaani Waarabu. Kwa njia hii watakuwa hawana udhuru wowote na hawezi kusema, lakini hatukuwai kupokea ujumbe wowote.


Endelea kusoma Koran hapa chini:
Quran 6: 156. Msije mkasema: Hakika mataifa mawili kabla yetu yameteremshiwa Kitabu; na sisi tulikuwa hatuna khabari ya waliyo kuwa wakiyasoma.


157. Au mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa waongofu zaidi kuliko wao. Basi imekufikieni bayana kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na uwongofu, na rehema. Basi nani aliye dhaalimu mkubwa zaidi kuliko yule anaye kanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, na akajitenga nazo? Tutawalipa wanao jitenga na Ishara zetu adhabu kali kabisa kwa sababu ya kujitenga kwao.


Quran ni wazi ilitumwa kwa Waarabu. Wale ambao si Waarabu hawawezi kuielewa Koran, hayo ni maneno ya Allah. Waislamu wanasisitiza kuwa hakuna tafsiri ya Qur'ani inaweza kuwa sahihi. Hivyo, haiwezi kamwe kuwa wazi kwa mashirika yasiyo ya Waarabu na haikutumwa kwa mashirika/ummah yasiyo ya Waarabu.


Uthibitisho mwingine kuwa Qur'ani ilitumwa tu kwa ajili ya Waarabu ni katika mistari ifuatayo hapo chini:
Quran 26: 198. Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu, 199. Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.


Kama ambavyo Waarabu wana haki ya kuto amini kitabu chechote kile kilichotumwa kwa lugha ambayo si yakwao, ikimaanisha Kiarabu, vivyo hivyo, mashirika yasiyo ya Waarabu nao wana haki ya kuto iamini Koran, kitabu kilichoandikwa kwa lugha ya Kiarabu. Ndio kwasababu Koran inasema Allah atatuma mjumbe kwa kila lugha ili wao wenyewe kwa wenyewe waweze kuelewa.


Kuhakikisha hakuta kuwa na kutokuelewana, Allah anashusha hii aya 05:19 Quran: Enyi Watu wa Kitabu! Bila ya shaka amekujilieni Mtume wetu akikubainishieni katika wakati usio kuwa na Mitume, msije mkasema: Hakufika kwetu mbashiri wala mwonyaji. Basi amekujieni mbashiri na mwonyaji. Na Mwenyezi Mungu anao uweza wa kila kitu.


Kwa mujibu wa Qur'an watu wote wamepokea ufunuo. Aya ya hapo juu inasema Qur'ani ni kwa wale ambao kamwe hawakupokea ufunuo, iliwasije kusema, `kuwa sisi hatuja wai kutumiwa mbashiri na hakuna mjuonyaji aliye tumwa kwetu'.


Jambo hili ni wazi, lakini Allah anataka liwe wazi hata na kwa asiye na ufahamu wowote ule aelewe kuwa Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee kwa kuzitaja sehemu halisi za kijiografia ambazo Muhammad alitumwa kama Mtume wa Allah.


Quran 6:92. Na hiki ni Kitabu tulicho kiteremsha, kilicho barikiwa, chenye kuhakikisha yaliyo tangulia, na ili uuwonye Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na wenye kuamini Akhera wanakiamini hichi, nao wanazihifadhi Sala zao.


Leo, tumejifunza kuwa, Koran ilitumwa kwa Waarabu pekee na si kwa Mataifa yote. Sasa, nina uhakika baadhi ya Waislamu wanaweza kuleta aya nyingine zinazosema kwamba Uislamu ni kwa wanadamu wote. Kama Waislam watafanya hivyo, basi waelekuwa kwa kufanya hivyo ni kuthibitisha kwamba aya hapo juu ni za uongo.


Ama Quran ni pakiti ya uongo na utata au ni tu kwa Waarabu wa Makkah na jirani yake kama alivyo sema Allah ambaye ni mungu wa Waislamu.
Katika huduma yake,
Dogo hujafahamu mana yake ; And We did not send any messenger except [speaking] in the language of his people to state clearly for them, and Allah sends astray [thereby] whom He wills and guides whom He wills. And He is the Exalted in Might, the Wise.
Swahili
Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Mwenyezi Mungu humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Hio ya kusema Mtume Muhammad katumwa kwa warabu tu, mbona unazua uwongo. Mitume wote walikuwa wakiongea lugha zao sababu wanafikisha kwanza ujumbe kwa watu wao, wenye kufahamu lugha zao. Mitume wote ndio vile vile. Wacha kuleta uwongo, dalili ya uwongo wako ni hi hapa.The Prophet Muhammad is introduced in the Qur'an in these words:[And We have not sent you forth but as a mercy to mankind. ] (Al-Anbiyaa'21: 107) Leta wapi Jesus, Ibrahim and Mussa wameambiwa vile kwamba wametumwa kwa mataifa yote. God Almighty says, "And We have not sent you but as a mercy to the worlds." (Al-Anbiyaa' 21:107).
 
Uthibitisho ninao ukubali ni aya tu. Mameno meengi sina muda nao.

Lete aya ambayo Muhammad anasema: MIMI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.
[FONT=times new roman, times, serif]"O you who believe! Obey Allah, and obey the Messenger (Muhammad) and render not vain your deeds." (Qur'an: 47:33) Hapo kasema yeye ni mtume au hufahamu kizungu? Anasema; Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume, wala msiviharibu vitendo vyenu. [/FONT]
 

Haya tena. Muhammad anasema uongo bila ya aibu. Hebu tumsome.

Kasema Mtume (S.a.w)
"Hakika maiti anajua nani anaembeba, na nani anaemuosha, na nani anaemtia kaburini mwake" (Mweli Mwaminifu, Juzuu ya 1-2, Hadithi Na. 422, Uk. 188)


MWAMDISHI SHEIKH SAID MOOSA MOHAMED AL-KINDY
Hivi jamani unaposema maiti kuna kujua tena? kuna uhai tena? yaani muislamu akifa, yule anaemosha, yaani anaemkamua mavi, anaemtia kidole matakoni kuhakiki kama mavi yote yameisha, anamjua, maana kuna siri hapo kwenye kukamua, wanaambiwa wasitoe siri hiyo nje, kwa ushahidi huu


Kasema Mtume (S.a.w) "Anaeosha Maiti basi aanze kwa kumkamua" (Mkweli Mwaminifu, Juzuu ya 1-2 Hadithi Na. 423, Uk. 188)


423 Na muradi wa kukamua, si kama inavyokamuliwa nguo, la: bali analazwa chali, kisha anakalishwa nkitako na huku anakandamizwa kidogo kidogo tumboni kisha unamrejesha tena chali kisha unamuinua kumkalisha na mkono wako uwe tumbono mwake, unafanya hivyo mara tatu, kisha unamosha tena. Na ikiwa umemtoka uchafu wote tumboni kwa njia ya haja utupu wa nyuma, Bai useme kitu wala msimwambie mtu, ukitoa siri yake maiti basi hupati thawabu, na badili yake unapata madhambi.


Hapo kwenye usitoe siri ndipo penye kutiana vidole makalioni kwa maiti maana huwezi jua kama uchafu umeisha mpaka umtie kidole kwa pamba au kitambaa cheupe,uone umetoka uchafu wa rangi gani, maana miti yule kwa mujibu wa Muhammad, anajua kabisa fulani kanitia kidole matakoni, kwa hivyo muislamu akitoa siri hiyo basi anapata dhambi, badala ya thawabau. SASA TUJIULIZE, JE Maiti anakuwa na ufahamu wowote? anaejua yote hayo ni marehemu aliye hai? Msikilize Mfalme Sulemani anavyosema.


Muhubiri 9:5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa


Kwa ushauri wangu, waislamu msitishike na hao maiti wenu, hawajui lolote, kwa hivyo hizo siri tupeni manzowafanyia hao marehemu wenu.





cc: Eiyer Mkuu wa chuo 2013 Lisa Valentine Adiosamigo faizza Foxy Ally Kombo Nonda Gavana
dogo sa zingine unachekesha, unasema Mtume ni muongo wewe umekufa mpaa ukahakisha anayo sema ni uwongo? Hebu kunywa sumu dogo tukujuwe we mkristo wa kweli, afu ukisha kufa ndio utafahamu Mtume Muhammad anayo yasema ni ya kweli au uwongo? We unashangaa maiti hasikii, hajui nani anaye mbemba, na nani anaye mpokea kaburini sa ulisha kufa mpaa ukakanusha hayo? Kuna wakati dogo unaongea mambo ya ajabu sana, Mtume Muhammad ni Mtume, yeye anayaona usio yaona wewe.
 
Wakristo hawana HOJA tena... Wamebaki kuokoteza! Ukiuliza quran inajibu, ukiuliza inajibu mpk bhaas
 
Hata maandiko ya kipindi kabla hajazaliwa kristo,maandiko ya biblia yalionyesha kuwa atazaliwa mwokozi, Hivyo basi hata mamajusi walisoma maandiko hayo na siku aliyozaliwa mwokozi ilikuwa ni kutimiliza maandiko.

Licha ya hayo lkn biblia inatukataza tusijihusishe na mambo ya nyota.Kwa hivyo basi nyota sii nzuri,kwa matumizi ya mkristo.

kukataza elimu ya nyota na utabiri ni wivu tu wa bibilia na quran asije akatokea manabii wengine. Lakini vitu vyote ni vya Mungu, vimetoka kwa Mungu na vitakwenda kwa Mungu. Huwezi kuwa nabii bila ya ndoto na kubashiri, nyota zinasadia kubashiri jua, mvua, majanga, mavumo, na ukame. Anaepinga utabiri kuanzia leo aache kupanda ndege, maana zinakwenda na kurudi kutokana na ubashiri wa hali ya hewa.
 
dogo sa zingine unachekesha, unasema Mtume ni muongo wewe umekufa mpaa ukahakisha anayo sema ni uwongo? Hebu kunywa sumu dogo tukujuwe we mkristo wa kweli, afu ukisha kufa ndio utafahamu Mtume Muhammad anayo yasema ni ya kweli au uwongo? We unashangaa maiti hasikii, hajui nani anaye mbemba, na nani anaye mpokea kaburini sa ulisha kufa mpaa ukakanusha hayo? Kuna wakati dogo unaongea mambo ya ajabu sana, Mtume Muhammad ni Mtume, yeye anayaona usio yaona wewe.
Nimekupa ushahidi wa Biblia. Sasa na wewe tupe ushahidi wa Quran kama upo. Maana Quran kwenu nyie ndio imeteremshwa na Allah, sasa tuletee tuisome Quran.

Our bodies are only shells for our spirit. When our bodies are of no use any more a spirit moves on. So the dead cannot hear the living. Only the body is in the cemetery and people go and visit the grave and headstone because they feel close to the loved one.

"You cannot make the dead hear, you cannot make the deaf listen to your call when they turn their backs and leave." (Qur'an 27:80)

Therefore, there is no scope for the dead person to hear anything pertaining to the living world let alone answer back to matters concerning him. Once a person dies, he is totally isolated from the living world. He is in the process of transitioning to the Hereafter, awaiting Judgment Day.

Therefore, my statement that Muhammad ni muongo bado inaendelea.
 
"O you who believe! Obey Allah, and obey the Messenger (Muhammad) and render not vain your deeds." (Qur'an: 47:33) Hapo kasema yeye ni mtume au hufahamu kizungu? Anasema; Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume, wala msiviharibu vitendo vyenu.
Hivi lini utaanza kusoma Quran katika context yake?

How can Muhammad ndie msemaji katika Quran wakati mnasema Quran ni maneno ya Allah? I mean, jaribu kujifunza na au kukumbuka maneno yanu ya kila siku. Hii tabia yenu ya kudanganya inawafikisha pabaya sana nyie.

Sasa jibu hili swalio:

QURAN NI MANENO YA NANI?
a. Muhammad
b. Allah
c. Jibril
d. Shetani
e. None of the above.
 
Dogo hujafahamu mana yake ; And We did not send any messenger except [speaking] in the language of his people to state clearly for them, and Allah sends astray [thereby] whom He wills and guides whom He wills. And He is the Exalted in Might, the Wise.
Swahili
Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Mwenyezi Mungu humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Hio ya kusema Mtume Muhammad katumwa kwa warabu tu, mbona unazua uwongo. Mitume wote walikuwa wakiongea lugha zao sababu wanafikisha kwanza ujumbe kwa watu wao, wenye kufahamu lugha zao. Mitume wote ndio vile vile. Wacha kuleta uwongo, dalili ya uwongo wako ni hi hapa.The Prophet Muhammad is introduced in the Qur'an in these words:[And We have not sent you forth but as a mercy to mankind. ] (Al-Anbiyaa'21: 107) Leta wapi Jesus, Ibrahim and Mussa wameambiwa vile kwamba wametumwa kwa mataifa yote. God Almighty says, "And We have not sent you but as a mercy to the worlds." (Al-Anbiyaa' 21:107).
Quran 10: 47. Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala hawakudhulumiwa.


Angalia hii aya pia
Quran 14: 4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Allah humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.


Kama aya hizi ni kweli, basi Uislamu si kwa mashirika/mataifa/ummah yasiyo ya Waarabu. Quran inasema kwamba kila watu wamepokea ujumbe wao kutoka kwa Mungu katika lugha yao wenyewe ili waweze kuelewa na Qur'ani akaishuka kwa Waarabu ili Waarabu waweze kulewa nini Allah anasema.
 
Hizo hadith zote hapo sijui umezitolea wapi mana hazikubaliki na usilam hata siku moja. Kuhusu kumshakia Mtume Muhammad si mtume hio sio shida, shida ni pale kumkubali Mungu kwa kusema kafa kwa dhambi zako au zenu, shida ni pale kusema binadamu walimpigilia msumari Mungu? Hvi Mungu unaweza hata kumshika wewe? Ungempigia simu Prophet Mosses kumuliza alipo omba aone uso wake Mungu, alimuambia nini? Alimuambia binadamu haoni uso wangu akaishi. Sa hao wakristo wali muona Mungu, na wakaishi naye walikuwa Malaika au? Afu mpaa wakampigilia msumari msalabani, yani mnamdharau kiasi hicho Mungu? Huyo aliye fungwa msalabani ili apigiliwe alikuwa biandamu ambaye ni Yesu. Lakini kabla hawajampigilia msumari ali letwa katika hao makafiri akafananishwa na Yesu, ndio wakampigilia.Sa nyie mnamtukuza cousin yake Paulo sio Yesu.
Dismiss syndrome won't help young man. You are in bad shape.
 
Dogo sumu inafanya kazi miaka mingapi? Mtume ingekuwa sumu imemua angekufa pale pale, lakini alishi mpaa akakamilisha alicho ambiwa na Mungu akikamilishe. Mimi nafahamu sumu huwa inafanya kazi pale pale, haichukui siku. We njoo unywe sumu tuone utaishi nayo miaka au siku tu. THE PROPHET DIED FROM THE POISON FOUR YEARS LATER! Hayo ndio maujiza ya kweli. Ukweli Mungu ndio alimprotected the Prophet Muhammad from dying from the poison right away, and had him live long enough in order to finish his duty of spreading the message of Islam. Wewe unaweza kunywa sumu au kulishwa sumu na ukasihi miaka minne? Hebu jaribu dogo tuone kama unaweza kuishi hata siku moja utakuwa una bahati sana kuishi siku mbili tu.
Sasa unaanza kukubali kuwa Mtume Muhammad alikufa kwa sumu. Safi sana.

Sasa, mgonjwa anae teseka kwa Miaka Minne, kwako wewe hiyo ni sifa na miujiza ya Allah!!? Hivi wewe ndugu yako aumwe kwa miaka 4 bila ya kupona then afe, kwako wewe hiyo ni sifa na miujiza ya Allah, au sio.

Hakika Allah wako ni bingwa wa kutesa watu, maana alimpa umauti Muhammad baada ya kuumwa kwa miaka 4.

Sasa, kwanini Jibril alikuwa anamuombea Muhammad, huku akifahamu kuwa Allah ameamua kumtesa Muhammad kwa miaka 4, ambayo kwako wewe ni miujiza?
 
Hahaha ubaya wako ukipewa Aya unakimbia afu unajificha afu baada ya page kupita, unarudi kuliza hilo hilo swali kama vile kichaa. Hayo tutakuwekea tu Aya mana Qur'an si bibilia dogo. "Muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na Mwisho wa Manabii, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu" (Qur'an 33: 40). Umeona au bado acha nikuongezee dawa; "Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote" (Qur'an 21: 107).
Nafikri unaelewa au fahamu kuwa, anaye sema hayo maneno ni Jibril na sio Muhammad au Allah.

Hayo maneno, ndugu yenu Jibril aliyapata wapi? Maana hatusomi kwenye Quran kuwa Allah alimuagiza ayaseme.

ZAIDI YA HAPO. WAPI AYA AMBAYO MUHAMMAD ANASEMA KWA MDOMO WAKE KUWA "Mimi Muhammad ni Mtume wa Mungu"?
 
Wakristo hawana HOJA tena... Wamebaki kuokoteza! Ukiuliza quran inajibu, ukiuliza inajibu mpk bhaas
SHETANI NI MUSLAMU
Ni bahati mbaya kwamba Adamu na Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINIUK 20)


Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa Shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae,


Yakobo4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.


Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa ni muislamu, sisi Wakristo tunaojitambua hatuutaki Uislamu.

 
Hizo kelele tu za wendawazimu Yesu mbona alisema wazi kabisa; Sijatumwa kwa akina Adiosamigo au kwa kina 2013, alisema katumwa kwa kondoo walio potea tu, tena wa wayahudi. Hivi dogo, unawajua wayahudi ni wakina nani? Hayo mengine ni Paulo ndio kayatunga. Nyie kuwazulia Mitume wa Mungu KWANI MMEANZA LEO mlisha mzulia Prophet Ibrahim kama mzinifu, mlisha mzulia Mungu kasex na mama yake Jesus, mmeisha wazulia Mitume wengi uwongo. Wengine mliwachinja kabisa sa ajabu iko wapi kusema mmemuwa mtume Muhamamd kwa sumu? Lakini cha kushangaza kuna sumu inauwa baada ya miaka minne? Hio lazima itakuwa ni siku yake ya kufa ya kawaida ilifika. Yani hio ya sumu ni wakristo tu mnadhani vile, sababu aliletewa chakula chenye sumu na alipo kila alikijua kama kina sumu, sa mbona hamfatilii pale alijua vipi kina sumu kama sio Mtume? Na alikitupa chini? Kweli hapo mmenikumbusha kitu siku zote mnasema Mtume Muhammad huwa anawachukia wayahudi na wakristo? Sa mbona alikula chakula cha wayahudi? Hapo mnasema vipi madogo'z. Yani mnamzulia Mtume uwongo we afu mnanasa pale pale kujiona waongo.
tena we hutaki kufahamu: mwanzoni walisema alilogwa na mwanamke myahudi, ikawa aibu mtume kufa kwa kulogwa, hoja ikaja mkewe aisha kamlisha sumu.... weka andiko hapa.. naona tunabishana bila hoja...

yesu alitumwa kuhubiri yerusalemu lakini yeye mwenyewe akaanza kuwatuma katika mataifa kuhubiri yale aliyowafundisha wao...
Mathayo28:18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
 
dogo some times unafurahisha kuliza maswali hata kichaa angeona aibu kuyauliza, Yani wewe unashangaa Mtume Muhammad kupewa utume ana umri mkubwa wa miaka 40 na wala si miaka 51, hapo kwanza umeonyesha uwongo wako. Pili unashangaa Prophet Muhammad kupewa utume ana miaka 40 kwanini usishangae Prophet Mosses kupewa utume wakati ana miaka 80?

Unashanga kama Mtume Muhammad hajalelewa na family yake kivipi wakati aliye mlea ni uncle wake baba yake mdogo, wakati hushangai Mtume mwingine wakati alilelewa na watu, ambao hana hata uhusiano nao. Je Prophet Mosses alilewa na mama yake, na baba yake? We hujui kwamba ni mke wa firauni na bint zake ndio walimlea. Yani dogo nyie mna akili zilizo potezwa na Paulo, kugundua mnaongea nini mpaa mfahamishwe, we ulijua Prophet Mosses kalelewa vipi au kapata utume ana umri gani? Unashangaa na utashangaa sana, sababu unasoma vitabu sio vya Mungu ungesoma kitabu cha Mungu usinge shangaa. Hio ya kusema Mtume Muhammad karogwa, sa kitu gani cha kushangaza, mbona usihangae kwanini Malaika Gabriel alimuonyesha materials ambazo zilitumika kumroga, Mtume Muhammad alienda mpaa kwenye sehemu zilizo tumika kumroga, lakini akiziwacha sababu alijua Mungu atamponyesha. Kwanini usishangae Qur'an haikuweza kurogwa? Na kwanini usishangae mungu wako kupigiliwa misumari? Hio ndio ya kushangaza.
kwanza Acha kutumia hilo jina baya sana eti "Firauni" , limejaa ukakasi sana. tumia neno Faraoh at least lina make sense. Musa alilelewa na mama yake... katika maisha ya kitajiri kifalme...Fullstop.


Kutoka 2:8 Binti Farao akamwambia, Haya! Enenda. Yule kijana akaenda akamwita mama yake yule mtoto. 9 Binti Farao akamwambia, Mchukue mtoto huyu, ukaninyonyeshee, nami nitakupa mshahara wako. Yule mwanamke akamtwaa mtoto, akamnyonyesha.

Mudi Alikuwa yatima ndio maana hakwenda shule wala kujua kusoma na kuandika.. na zaidi ya yote hakutahiriwa.
..
ni nabii gani aliwahi kuwa illiterate kama sio huyo mliyemgundua nyie?
IWeje yeye asijue kuwa katokewa na malaika mkewe na mjomba wake waraqah wasiyojua kilichomtokea mwamedi wamwambie ametokewa na malaika.?
HAta hivyo sishangai kwani mudi alishasema mkihoji mtapoteza imani and Allah hate you for asking many questions.
aliwahi kuwaambia wakristo nyinyi mna dini yenu naminina dini yangu kuonyesha kuwa hakuna uhusiano. hayo mambo sijui ka'aba nk. mmeleata nyinyi, ibada na majini mmekuja nazo nyinyi.. na hayo yote ni kufuru mbele za mungu. hoja kuwa Mungu kamkosea shetani na shetani alishiriki kumuumba adam akamwagiza amsujudie na hoja kuwa Shetani anamwokoa mtoto wa ibrahimu asiuwawe kwa maagizo ya Allah ni hoja tosha za kumpaisha shetani na si Mungu. Kukataa wokovu wa Msalaba ni tiketi ya nyinyi kwenda jehanum.. kwani mmekataa jina pekee la mwana wa Mungu...
yaani hamkuweza kuiba hata maandiko ya kale ya wayahudi na wakristo. Ndio maana sishangai kuona Muhammad anapinga kuwa hakuna mungu wa tatu akimhusisha na maria. Yaani yeye utatu unaozungumzwa kwa wakristo yeye alielewa kitu kingine kabisa!! Na nyinyi mnapinga bila kujua mudi aliingia chaka kama sio choo cha kike kabisa!! NA bado mnasema korani imeshushwa. Give me a break..!!
soma hapaupate tofauti
http://www.islam-watch.org/MuminSalih/How-can-Allah-have-son-without-wife.htm

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom