NICOLAX
JF-Expert Member
- Sep 4, 2014
- 250
- 138
Utanisamehe kuingilia mazungumzo yenu ila imeniuma mno,mkifanya mijadala msiingiz habr za udini mkaanza kututukana, we ni ------ mno, sidhan uelewa wako uko vema uko vema una elim gan we ---- mkubwa,waungwana nisameheni mno jamaa kaniudh s tabia yangu kutukana lakin halivumiliki broo tutakutafuta tu
Mkuu naomba unisamehe kwa maneno machafu niliyotoa hapo nyuma, ukweli ni kwamba kama wewe ulivyoshindwa kujizuia kutoa lugha chafu baada ya kukashfiwa dini yako, na mimi vivyo hivyo roho yangu haikutulia kukaa bila kukashfu
"FORGIVE ME ALL MUSLIM FOR THAT"
Owkeey after that you said you'll find me, if you trully mean it then
Karib GWANAK main campus, GWANAKSA DOMITORIES katka jiji la SEOUL nchini KOREA KUSINI
Ulizia FATHER CHRISMAS, ukiniona utanijua tu kozi bongo wananiitaga "UNCLE KIDEVU" au ukimuona negro kabeba begi limeandikwa "GOD SAID LET THIS NYAKYUSA BE AND IT WAS ALRIGHT"
au lililo na bandiko hili
"MADE IN MBY CITY' then that's me
.made in mby city.