Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Utanisamehe kuingilia mazungumzo yenu ila imeniuma mno,mkifanya mijadala msiingiz habr za udini mkaanza kututukana, we ni ------ mno, sidhan uelewa wako uko vema uko vema una elim gan we ---- mkubwa,waungwana nisameheni mno jamaa kaniudh s tabia yangu kutukana lakin halivumiliki broo tutakutafuta tu

Mkuu naomba unisamehe kwa maneno machafu niliyotoa hapo nyuma, ukweli ni kwamba kama wewe ulivyoshindwa kujizuia kutoa lugha chafu baada ya kukashfiwa dini yako, na mimi vivyo hivyo roho yangu haikutulia kukaa bila kukashfu

"FORGIVE ME ALL MUSLIM FOR THAT"

Owkeey after that you said you'll find me, if you trully mean it then
Karib GWANAK main campus, GWANAKSA DOMITORIES katka jiji la SEOUL nchini KOREA KUSINI
Ulizia FATHER CHRISMAS, ukiniona utanijua tu kozi bongo wananiitaga "UNCLE KIDEVU" au ukimuona negro kabeba begi limeandikwa "GOD SAID LET THIS NYAKYUSA BE AND IT WAS ALRIGHT"
au lililo na bandiko hili
"MADE IN MBY CITY' then that's me

.made in mby city.
 
Mbavu mnavunjwa makanisani na wachungaji!
Hapa hakuna cha kuchekesha!

We km unataka Kucheka Kapake wanja Tu uingie kanisani. Nakuhakikishia utachekeshwa mpaka ukojoe.

ISaya 60:16 inasema.
Utanyonya maziwa ya mataifa, Utanyonya matiti ya wafalme..."

Je wewe mkuu bibilia inakuuliza umeshanyonya matiti ya wafalme kina PAPA wa Vatican ?

Au swali gumu hili?
Hapo nilipoweka red mkuu una habari kupaka wanja ni suna kwa nyie, lakini mimi kupaka wanja siwezi, una habari Rasulullah alikuwa anapaka wanja mkuu!? sasa sikupatii picha na wewe ukijipigilia wanja... kweli wendawazimu ni fani...

Hizo suna za namna hiyo mimi sisiwezi...
 
Unaona jinsi unavyo ikimbia aya aliyo iteremsha Allah wako. Hakika Allah wako anaapa kwa aliye umba. Huu NI MSIBA KWAKO.

QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..

Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.
Hapo Mungu anaonyesha vipi yeye anathamini vitu alivyo viumba. Mungu gani asiye thamini alicho kiumba? Ndio siku zote wakristo mkiambiwa Mungu anamavuno mnabisha, mkiambiwa Mungu anasifa za kila kitu kizuri mnabisha, sa Mungu asiye thamini alicho kiumba huyo atakuwa mumbaji kweli? Hebu tumia akili dogo. Afu lazima ufahamu kuna watu wana muasi na wanafanya dhambi lakini wakirudi kwake anawasamehe, hivi Mungu anashida nao? Mungu we unadhani kakuleta hapa kula na kunya tu dogo Ishmael? Jiulize sababu gani ulizaliwa? Na ujiuliza sababu gani unapumua mpaka sa hivi? Na ujiuliza utaenda wapi baada ya kuondolewa pumzi ya dunia. Kunamsemo mzuri sana unasema binadamu mwenye akili anatakiwa ajibu maswali matatu.
Swali la kwanza; Ametoka wapi? Swali la Pili;Yuko wapi? Swali la tatu; Anaelekea wapi. Akiweza yajibu hayo atakuwa ana akili kweli kweli.
 
mwandishi wa biblia ndio nani!?
Paulo ndio champion wao, lakini wandishi ni kina Matthew, Mark, Luke na John.

Gabriel hakabi watu, anayekaba watu ni Jibril...
Aisay hapa dalili wazi umekwama. Safi sana.

mbona ninachokuomba hutaki kuleta sasa!?
Kipi ulcho uliza sijakijibu au unatafuta uwongo.

si ndio uniambie Waraqa alitafsiri Biblia kutoka lugha ipi kwenda ipi!?
Alitafsiri Injili ya ki Hebrew kwenda kiarabu.


Wacha kuzuwa uwongo, kubali kwamba umerekebisha, nitakuelewa tu, bado hapo hatujawaangalia hawa waarabu wanne yaani Sayyidina Abubakari, Umari, Uthumani na Ali...
Sijakubali unacho sema, sababu mimi maisha yangu sisemi uwongo, kama unasema nimesema uwongo leta dalili zako mbona huzileti.

Nimekuuliza unaelewa Biblia ni nini!? naona hujanijibu, halafu mkuu ningependa kukuomba uwache kumfananisha Yesu wangu na Issa...
Sa mimi nataka wewe uniambia Yesu alikuwa akitwa Yesu anaitika? Mbona sisi tunajua Yesu alikuwa akiitwa Issa Al masih, na warabu na wahebrew ni mtu na dada yake kilugha. Sijawahi kusikia Yesu ikawa lugha ya kina Yesu. Wewe tuambie Yesu alipokuwa duniani alitwa nani kama sio Eashoa . Dalili hii hapa naweka jifunze dogo, eti Yesu ni mungu hahaha kicheko hicho Pronouncing the name of the Lord in the Aramaic language
 
Paulo ndio champion wao, lakini wandishi ni kina Matthew, Mark, Luke na John.
Hao ndio waliandika Biblia yote!? wacha kuzuwa uwongo...

Aisay hapa dalili wazi umekwama. Safi sana.
hapo naona umetoka kapa, nimekwambia anayekaba ni Jibril sio Gabriel...

Kipi ulcho uliza sijakijibu au unatafuta uwongo.
niletee maneno ya Muhammad akimsimulia Waraqa...

Alitafsiri Injili ya ki Hebrew kwenda kiarabu.
Wacha kumzulia mpiga falaq uwongo, leta ushahidi...

Sijakubali unacho sema, sababu mimi maisha yangu sisemi uwongo, kama unasema nimesema uwongo leta dalili zako mbona huzileti.
ni mara ngapi umemzulia Allah uwongo!?
Sa mimi nataka wewe uniambia Yesu alikuwa akitwa Yesu anaitika? Mbona sisi tunajua Yesu alikuwa akiitwa Issa Al masih, na warabu na wahebrew ni mtu na dada yake kilugha. Sijawahi kusikia Yesu ikawa lugha ya kina Yesu. Wewe tuambie Yesu alipokuwa duniani alitwa nani kama sio Eashoa . Dalili hii hapa naweka jifunze dogo, eti Yesu ni mungu hahaha kicheko hicho Pronouncing the name of the Lord in the Aramaic language
Mkuu nakuomba usimfananishe Yesu wangu na Isa, Isa alizaliwa chini ya mtende... nimeelezea jina Yesu ukirudi kwenye page ya/za nyuma...
 
Ilisha fichwa na wakristo lakini iko siku itaonekana tu. BTW; wewe Ishmael rudi shule ukasome huna unacho kijua zaidi ya ku copy na ku paste.

Hahahaha ushamjua huyu jamaaa! Naskia ni Mwizi Mchungaji anapatkana kenyaa! Pastor Kinyari
 
Mkuu unasema wewe unaabudu God Na Hauabudu Allah.

YOU ARE NOT MISTAKEN, YES I SAID THAT

Nadhani kinachokupa tabu hapa ni LUGHA TU!

MAYBE YOU NOT ME

Hapo juu ni sawa na Kusema Wewe unamuamini GOD lkn Humuamini MUNGU.!

WRONG, (mathematically GOD=MUNGU but allah<<<GOD. Therefore allah<<<MUNGU)

ALLAH ni neno la KIARABU kwa kiswahili ni MUNGU na kiingereza NI GOD.

Hakuna sehem mlipo thibitishwa kuwa allah=GOD, laiti kama ingekuwepo basi nazani inequalities zangu zingebadilika na kusema allah=GOD therefore allah=MUNGU
Nazani kinachonipa taabu hapa kumeza mnachokiandika ni ile statement yenu "LA ILAHA ILA ALLAH"

Shule muhimu sana Mkuu.

Ungesema elimu ingekua poa zaidi

Hata andiko lako linakwambia
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"!

Hapa ndo penye mapungufu yako hasa
Nani kakwambia mimi ni mkristu mpaka unipe mafungu ya kitabuni??
Au kila unayekutana naye asiye wa dini yako basi lazima atakua mkristu??
Mbona wenzenu wakristu hawapo hivyo??

Narudia kwa mara ya mwisho, ukinchokonoa tena nakurushia ma.........
"I'M NOT CHRISTIAN, I'M NOT MUSLIM, DON'T CALL ME ATHEIST BECAUSE I BELIEVE IN GOD (not in allah but in GOD)

.made in mby city.
 
Hapa ndo penye mapungufu yako hasa
Nani kakwambia mimi ni mkristu mpaka unipe mafungu ya kitabuni??
Au kila unayekutana naye asiye wa dini yako basi lazima atakua mkristu??
Mbona wenzenu wakristu hawapo hivyo??

Narudia kwa mara ya mwisho, ukinchokonoa tena nakurushia ma.........
"I'M NOT CHRISTIAN, I'M NOT MUSLIM, DON'T CALL ME ATHEIST BECAUSE I BELIEVE IN GOD (not in allah but in GOD)

.made in mby city.

Wacha kutisha Wazee wewe mtoto.
Nikuchokonoe kwani umeskia Mimi Mchungaji?

Hao ndio wenye Tabia za Kuchokonoa Watoto wadogo makanisani mwao!

You believe in God But Not Allah!
What was That suppose to mean!

Unachanganya Utumbo Na maharage halafu unataka watu wakae kimya!?
Mnfnssssssssss!

Which religion or Faith Believes in ONE GOD and They are NOT MUSLIMS? which one!

Dont just puke like those Galatian whose Spend all weekends drunk jesus blood and Singing like mary go round!

Talk straight with me nigga!
Dont give that dregs full of dross and lumber with offal smell in a rummage fields!

Now Drop it like Hot! Let me feel you!
 
Hapa ndipo inapokuja ile tofauti kati ya wanaJF na wanaFB, tatizo linakua kubwa pale wanaFB wanapoivamia JF kwani huwa wanakuja na IQ zao zikiwa chini ya single digit kama huy popopoyo anavotoa mapovu, sijui akili zenu huwa mnamwachia nani awashikie (maSHEIKH maybe)
Mbona unanilazimisha nikubali allah=GOD bila ushahidi wowote, kweli muhammadan are real ------, kwanza nani mtoto??
Hivi ninyi miwatu hamwezi kutoa hoja zenye mashiko zaidi ya kutokwa ushuzi tu??
Nakwambia i believe in GOD unaniambia mi muslim, mzima kweli wewe?? Au na wewe ni mmoja kati ya waliokosekana milembe na kujiingiza mitaani???

I BELIEVE IN GOD(not in allah but in GOD)

.made in mby city.

Milembe ndio wapi Mkuu.?

Tatizo kubwa kwenye Jamii yetu ji Vijana kutumia majani ya ule Mti uliolaaniwa bila Kuwa na afya!
Na nadhani wewe ni Mmoja wapo.

Nakuuliza unaifahamu "A" we unanijibu "Q"! Sasa mkui km sio Bangi Hii ni nini?
Nani aliyekwambia Tunahitaji Waislamu Sampuli Yako?
Basi we ndio kishoka Kweli kweli!

Acha Ganja mkuu. Inadhuru kichwa!
 
Captain Adiosamigo naona bado unaendelea Kupiga msasa makafiri.
Nakukumbusha tu mkuu wangu kuwa Hawa watu Ni Viziwi na vipofu. Halafu Lugha zote Duniani Zinawapa tabu!
Nasoma bayana zako hapo Juu naona Huyu jamaa Anavyo changanya Maneno!.

Inataka Subira mno Kuwafahamisha kitu hawa viumbe.
Allah akulipe kheri Inshallah.

Pamoja Sana Captain.
 
Last edited by a moderator:
Wako wengi tu sababu mna bibilia za kila majina, lakini hao ndio marufu karibu dunia yote.


Sidhani mana nimeisha kupiga magoli ya kutosha kukuonyesha huna unacho kijua, zaidi ya kurudia makosa yale yale. Sa wewe Jibril na Gabriel umewatofautisha vipi hapo? Kwa kutype? Si nikikueleza umeishiwa una bisha.


Aisay yani sijui kiswhaili hufahamu, haya soma kwa kizungu nakuwekea tena haya ndio mazungumzo kati ya Warqa na Mtume Muhammad soma nakupa hadith sahihi kabisa sio fake;Bukhaeri Sahih Volume 4, Book 55, Number 605: Narrated 'Aisha:
The Prophet returned to Khadija while his heart was beating rapidly. She took him to Waraqa bin Naufal who was a Christian convert and used to read the Gospels in Arabic Waraqa asked (the Prophet), "What do you see?" When he told him, Waraqa said, "That is the same angel whom Allah sent to the Prophet) Moses. Should I live till you receive the Divine Message, I will support you strongly."


Nani mpiga Falaq? Una uhakika na uncho kisema, au unajiropokea tu bila ushahid kama kawaida zenu.

Wapi nimemzulia uwongo, hivi wewe una umri gani? au unajifanya mtoto sababu umeishiwa point. Man aunarudia maneno hayo hayo kila kukicha.
Yale yale, kweli sikio lililokufa halisikii dawa:wave:

Professor Adiosamigo Achana na huyo WHITESWORSHIPER hv karibuni atapata Bwana wa kizungu Kwan Baba mtakatifu amewaamuru wapakuane NYA kwa amri roho mtakatifu kama wanavyodai.
 
Hivi kwanini Waislam mnapenda sana kutukana na hamna hoja za msingi? Kwanini msiwe na heshika kama Wakristo?

Jamani tuweni na heshima na tuheshimu imani za wengine. Matusi ya Bill Cosby faby Elungata FaizaFoxy hayajengi Uislam zaidi ya kuubomoa.

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom