Maisha yetu ni mafupi sana

Maisha yetu ni mafupi sana

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
17,202
Reaction score
28,732
Aliposema nitakuja kama mwivi, hakika anamekuja kama mwizi. Yaani sasa hivi huwezi jipangia au kujikadiria nitafika muda au umri gani. Tunaishi tu, ukiishi muda mrefu ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu. Yaani sasa hivi kifo ni muda wowote, popote na kwa vyovyote.

Tumuombe Mungu atupe mwisho mwema maana wote na vyote vinapita, tusiumize wengine Kwa ajili ya Mali, tutaziacha, tuishi tukifanya kilakitu Kwa kiasi.🙏🙏🙏🙏
 
Atakuja kama mwizi hehe, unafikiri yeye haoni Panyaroad wanavyopelekewa mioto?

Haoni huku raia wenye hasira kali wanavyojichukulia sheria mkonyoni?

Huyo mwamba ni mwongo...

Joke aside... Kilichozungumziwa hapo siyo kuja KWA masiha kulingana na ngano hizo na visasili vya kiyahudi KWA mtazamo wangu kifo ndicho huyo masiha..
 
AMINA, hili tunatakiwa tulifahamu kila iitwapo leo

Maisha in zawadi tu na kifo kinaweza kumkuta yeyote muda wowote, hata kama ana Afya nzuri kabisa.

Tusijisahau.
Kwangu mimi vice versa, maisha ni adhabu na kufa ni zawadi, sijawahi kuona umuhimu wa kuishi kuna wakati nasema bora nisingezaliwa, sioni kipya duniani.
 
Screenshot_20220918-080343_Quora.jpg
 
Atakuja kama mwizi hehe ... Unafikiri yeye haoni Panyaroad wanavyopelekewa mioto?

Haoni huku raia wenye hasira kali wanavyojichukulia sheria mkonyoni ?


Huyo mwamba ni mwongo...


Joke aside ... Kilichozungumziwa hapo siyo kuja KWA masiha kulingana na ngano hizo na visasili vya kiyahudi KWA mtazamo wangu kifo ndicho huyo masiha..
Ndicho nilichomaanisha, ni yeye ashakuja kitambo.
 
Fear of Unknown...

Fear of Death...

Kifo kipo tuu, haijalishi ni wapi na muda gani.

Shida siyo kifo, shida ni pale unapoanza kuwaza au kuhofia kifo...
 
Back
Top Bottom