Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Am afraid aseh .. If I am to die Nikufe Hawa machalii wako na 20 yrs...
Baba alikufa nkiwa na miaka minne ... Ilikuwa kipindi cha mateso Sana ...
Alikuwa akisema watateseka Sana wanangu "kauli ya mama hii " as if he was seeing our future ... Na ni kweli Tumesuffer ...
I don't wanna die young
Nadhani kufukiwa pekeyake🤣
Inaumiza sana yaan😭Am afraid aseh .. If I am to die Nikufe Hawa machalii wako na 20 yrs...
Baba alikufa nkiwa na miaka minne ... Ilikuwa kipindi cha mateso Sana ...
Alikuwa akisema watateseka Sana wanangu "kauli ya mama hii " as if he was seeing our future ... Na ni kweli Tumesuffer ...
I don't wanna die young 😢😢
Kinachokuogopesha?
Amen ...Hiki ndiyo kinatuumiza wazazi wengi[emoji24] kufa na kuacha watoto wakiwa wadogo na hawawezi kujisimamia. Mungu atupe maisha marefu
Siri za ulimwengu hatuzijui, huenda kifo ni kizuri. Imagine mpo ndani ya jengo ambalo kila baada ya muda mmoja wenu anavutwa nje ambapo hampaoni na aliyevutwa haonekani tena, Lazima woga utatengeneza hitimisho baya kuhusu huko nje sababu tulio ndani hatujui kilichowapata waliovutwa, ila katika uhalisia tunaweza tusiwe sahihi.Eeeh..
Kifo ni kitu cha hovyo sana..
Hadi unajikuta unatamani kuishi primitively , usipande vyombo vya moto... Usijongee ubaki ulipo...Tozo hizi,ajali hizi,kuuana huku.... depression kibao
Kinachofukiwa ni mwili usio na hisia zozote...
Kama ambavyo hana kumbukumbu ya maisha kabla ya kuzaliwa, ndivyo itakuwa
Yes Tupo hapa kuishi na kuishi ni mara moja ...Vile vile usiwe mjinga kisa utakufa, kufa utakufa ila usikubali watu wakuendeshe kisa maisha ni mafupi.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Dah mkuu leo niliamka nikaanza kutafiti kama Tukifa consciousness nayo inakufa ...sijapata majibu ..Tatizo ukiwaza kwamba baada ya kifo hakuna kinachoendelea INATISHA! Yaani kwamba ukishakufa tu basi, kila kitu kinazimika na hakitakuja kuwaka tena.. dah inatisha sana aisee
Ila pia ukiwaza kwamba baada ya kifo kuna kinachoendelea nayo pia INATISHA! Maana sasa hujui kitakachoendelea ni kipi...
Mwanaume hutakiwi kuwa muogaMi naogopa kufa jamani 🙄
Sasa una enjoy vipi maisha bila kukomaa kuyatafuta.Kuna watu wanakomaa sana kutafuta maisha, ukifa mali yako inaliwa kilaini mno, jipende enjoy life, maisha mafupi
AmiinHadi unajikuta unatamani kuishi primitively , usipande vyombo vya moto ... Usijongee ubaki ulipo...
Lakini Maisha yanakulazimu ...
Sawa ni kuuvaa UJASIRI kwenda KWA codes and patterns .
Muhimu afya ya mwili na akili.
Mtaji wa kwanza huo..
Mengine Asili/universe/Muumba ataamua