Maisha yetu ni mafupi sana

Maisha yetu ni mafupi sana

Am afraid aseh .. If I am to die Nikufe Hawa machalii wako na 20 yrs...

Baba alikufa nkiwa na miaka minne ... Ilikuwa kipindi cha mateso Sana ...


Alikuwa akisema watateseka Sana wanangu "kauli ya mama hii " as if he was seeing our future ... Na ni kweli Tumesuffer ...

I don't wanna die young 😢😢
Inaumiza sana yaan😭
 
Eeeh..
Kifo ni kitu cha hovyo sana..
Siri za ulimwengu hatuzijui, huenda kifo ni kizuri. Imagine mpo ndani ya jengo ambalo kila baada ya muda mmoja wenu anavutwa nje ambapo hampaoni na aliyevutwa haonekani tena, Lazima woga utatengeneza hitimisho baya kuhusu huko nje sababu tulio ndani hatujui kilichowapata waliovutwa, ila katika uhalisia tunaweza tusiwe sahihi.
 
Tozo hizi,ajali hizi,kuuana huku.... depression kibao
Hadi unajikuta unatamani kuishi primitively , usipande vyombo vya moto... Usijongee ubaki ulipo...

Lakini Maisha yanakulazimu ...

Sawa ni kuuvaa UJASIRI kwenda KWA codes and patterns .

Muhimu afya ya mwili na akili.

Mtaji wa kwanza huo..

Mengine Asili/universe/Muumba ataamua
 
Kinachofukiwa ni mwili usio na hisia zozote...

Kama ambavyo hana kumbukumbu ya maisha kabla ya kuzaliwa, ndivyo itakuwa

Tatizo ukiwaza kwamba baada ya kifo hakuna kinachoendelea INATISHA! Yaani kwamba ukishakufa tu basi, kila kitu kinazimika na hakitakuja kuwaka tena.. dah inatisha sana aisee

Ila pia ukiwaza kwamba baada ya kifo kuna kinachoendelea nayo pia INATISHA! Maana sasa hujui kitakachoendelea ni kipi...
 
Tatizo ukiwaza kwamba baada ya kifo hakuna kinachoendelea INATISHA! Yaani kwamba ukishakufa tu basi, kila kitu kinazimika na hakitakuja kuwaka tena.. dah inatisha sana aisee

Ila pia ukiwaza kwamba baada ya kifo kuna kinachoendelea nayo pia INATISHA! Maana sasa hujui kitakachoendelea ni kipi...
Dah mkuu leo niliamka nikaanza kutafiti kama Tukifa consciousness nayo inakufa ...sijapata majibu ..

Nimeamua kutupilia mbali ... Ni mambo ya kuogofya ...
 
Yule mkenya??
Hata mie imenisikitisha sana, jamaa alishamaliza kabisa safari, kafia kwenye kadamnasi.
 
Hadi unajikuta unatamani kuishi primitively , usipande vyombo vya moto ... Usijongee ubaki ulipo...

Lakini Maisha yanakulazimu ...

Sawa ni kuuvaa UJASIRI kwenda KWA codes and patterns .


Muhimu afya ya mwili na akili.


Mtaji wa kwanza huo..


Mengine Asili/universe/Muumba ataamua
Amiin
 
Back
Top Bottom