Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh na ufi mapemaaKuna watu wanakomaa sana kutafuta maisha, ukifa mali yako inaliwa kilaini mno, jipende enjoy life, maisha mafupi
Mimi nadhani kama ulalapo.... zile ndoto nahisi nafsi itaendelea kuishiTatizo ukiwaza kwamba baada ya kifo hakuna kinachoendelea INATISHA! Yaani kwamba ukishakufa tu basi, kila kitu kinazimika na hakitakuja kuwaka tena.. dah inatisha sana aisee
Ila pia ukiwaza kwamba baada ya kifo kuna kinachoendelea nayo pia INATISHA! Maana sasa hujui kitakachoendelea ni kipi...
Kufa hatufi ila mpaka Tufe cha moto tutakiona mwaisa ...Kupotezea ndo unyama mwingi mwaisa
Daaa😋 nimekulia mwenzio hayo matunda damu...kabila letu tunaita amapana....nikitoka school kama mboga hamna unasongwa ugali unasubiri upoe kidogo unamenya matunda hayo unakatakata vipande vidogovidogo unatia chumvi na pilipili...mboga tayarii😉
Tungusha
Hakika yaanVile vile usiwe mjinga kisa utakufa, kufa utakufa ila usikubali watu wakuendeshe kisa maisha ni mafupi.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Sie uchagani/machame tunayaita matungusha ... Hayakuwahi kunivutia ila yalikuwa yanakuwa sanaDaaa😋 nimekulia mwenzio hayo matunda damu...kabila letu tunaita amapana....nikitoka school kama mboga hamna unasongwa ugali unasubiri upoe kidogo unamenya matunda hayo unakatakata vipande vidogovidogo unatia chumvi na pilipili...mboga tayarii😉
Kimachame/kichaga cha machameKabila gani