raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Lakn hii club ni ya mtz nafikiriIyo club na nyingine za hao foreigners ni chaka la top dogs kwa maana wapigaji specifically wapopo,ni sehemu ambayo wakishabutua ndio wanakuja kusplash wengine ni moja wapo ya njia nzuri ya kufanya money laundering with experience husifikiri hao vijana wanakuja hapo kutumia na cash kulipa wengi wanakunywa kiasi wanachoona kinatosha kwa siku iyo nyingine inakuja kwenye risit wanapewa cash,ogopa sana muhindi,muiran au mpakistan kwenye biashara ya club kuna vingi vinatokea back door.
Sio ya Mtanzania kama ndio wamemweka front basi ni shadow.Lakn hii club ni ya mtz nafikiri
Oooh nikajua ni ya yule kijana shamteSio ya Mtanzania kama ndio wamemweka front basi ni shadow.
Ndo hapo Sasa....yani unanunua Jack Daniels Laki Na nusu halafu unakutana Na pisi zinazidiwa Na watoto wa kitambaa cheupesema hzo pisi za kawaida sanaa, ht micassa zinapatikanaaa [emoji1][emoji1][emoji1]
Mjini connection muhimu sana,Fanya research kidimbwi ya nani utaelewa michezo inavoenda mjini.Oooh nikajua ni ya yule kijana shamte
tupe mwangaza mkuuMjini connection muhimu sana,Fanya research kidimbwi ya nani utaelewa michezo inavoenda mjini.
Yaah kidimbwi kwa maneno ya mtaani ni ya mheshimiwa kijn ilo liko waziMjini connection muhimu sana,Fanya research kidimbwi ya nani utaelewa michezo inavoenda mjini.
Drug business pia inafanyika sana maeneo kama hayo..Iyo club na nyingine za hao foreigners ni chaka la top dogs kwa maana wapigaji specifically wapopo,ni sehemu ambayo wakishabutua ndio wanakuja kusplash wengine ni moja wapo ya njia nzuri ya kufanya money laundering with experience husifikiri hao vijana wanakuja hapo kutumia na cash kulipa wengi wanakunywa kiasi wanachoona kinatosha kwa siku iyo nyingine inakuja kwenye risit wanapewa cash,ogopa sana muhindi,muiran au mpakistan kwenye biashara ya club kuna vingi vinatokea back door.
tupe mwangaza mkuu
Tulia kijana,huu mji haujaujua vizuri unaanza kutunisha misuli tukikwambia kuna Club kubwa tu imejengwa specifically sababu ya mashoga watu wamefadhili bado utaleta ubishi.kipe fursa ya kujifunza na kupokea habari mpya kichwa chako.Yaani unaona huyo anamwangaza kabisa na ramli zake umesahau hawa ndio walisema efm sio ya majizzo kuna mtu nyuma mkubwa tu,
mi mwenyewe nimeshangaa mkuu. hao madem wabovu knoma
Sijaona Pisi Kali Hapo Ila Hayo Ni Makamanda Yanyoweka Dawa Kwenye Matiti,Ukinyonya Umelala Kwisha Habari Yako. Utazindukia TMJ Hospital Na Drip ZA Maji
Kwa kukusaidia Mali nyingi bado ni za bank mpaka atapokamilisha deni...Yaani unaona huyo anamwangaza kabisa na ramli zake umesahau hawa ndio walisema efm sio ya majizzo kuna mtu nyuma mkubwa tu,
10,000 beer mbili ni wapi hiyo?! 10k ni bucket ya beer 7 hiyo.Kwa hiyo natoa 220,000-12,000,000 halafu baadae nanunua kinywaji?
Mi nshazoea kiingilio 10,000 napewa beer 2
He he he hehe[emoji23][emoji23][emoji23]Huku Mpaka Nipate Jimama lakunipeleka ila kwa hela zangu siwez kupoteza Mda huo
We jamaaa umenchekeshaa sanaaaa.Hawajaweka bei ya safari kubwa na bingwa hawa jamaa[emoji51][emoji51]
Hahahahahaha10,000 beer mbili ni wapi hiyo?! 10k ni bucket ya beer 7 hiyo.
Kuna nyingine inaitwa havoc, ni watoto wazuri tu.