Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Sawa, mimi wikendi hii nitaenda, sasa usichoke nielekeze tena, nikipita tripple seven nanyoosha hadi kwa Zena au kwa Zena sifiki?sijapata ratiba yangu bado
nyoosha mpaka pale kwenye karound about ka kutokea Africana, una round unaelekea na barabara ya mkono wa kulia ( pembezoni mwa bahari) ni hatua kadhaa kutoka Ramada ResortSawa, mimi wikendi hii nitaenda, sasa usichoke nielekeze tena, nikipita tripple seven nanyoosha hadi kwa Zena au kwa Zena sifiki?
Nashukuru Princess, ila kama vipi panga ratiba zako halafu tushtuane, I will be there.nyoosha mpaka pale kwenye karound about ka kutokea Africana, una round unaelekea na barabara ya mkono wa kulia ( pembezoni mwa bahari) ni hatua kadhaa kutoka Ramada Resort
zikikaa vyema haina ubayaNashukuru Princess, ila kama vipi panga ratiba zako halafu tushtuane, I will be there.
You àre welcome!zikikaa vyema haina ubaya
The waves Kwa ndani mnakua wachache kawaida halafu kistaarabu ukitoka hapo nje unaweza shika kichwa kuna hizo Range rover kama kiwandani [emoji2]BMW /BENZ /Ford Rangers yani migari yote mikali unayojua halafu mipya ...
Nimetokeaga kupapenda pa kistaarabu sana ni mbadala wa kidimbwi!
Pale mziki sio sehemu yake hilo watu wajue kabisaHawapo serious hawa jamaa kuna siku nmeenda mpaka mzuka ukakata mziki unazima mara unawaka walinikata mzka sana
Kupunga upepo , utulize akili usikilize WavesKwahiyo ni sehem ya nini[emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28]Kwa hiyo natoa 220,000-12,000,000 halafu baadae nanunua kinywaji?
Mi nshazoea kiingilio 10,000 napewa beer 2
Kumbe ndo utaratibu wao siku hizi? Nilikuwepo hapo tarehe 30 October Darasa alipanda kwenye saa tisa/ kumi hivi kama sikua nimelewa sana.Naona maison kaanza kuwachukua wasanii wa bongo wakatumbuize maana kaanza na mario, leo naona atakuepo Darasa
Sijaona Pisi Kali Hapo Ila Hayo Ni Makamanda Yanyoweka Dawa Kwenye Matiti,Ukinyonya Umelala Kwisha Habari Yako. Utazindukia TMJ Hospital Na Drip ZA Maji
nyie mnaoponda hampajui Maison vizuri nyie
Safari hazinywewi mjini
wengine kuingia humo itabd uwe chawa kwanza.
Hapo Maison hakufai uende na Ela ya mawazo[emoji4][emoji116]
Ukiagiza hizi chupa mbili,
tayari Ni mshahara wa mtu kwa mwezi mzimaView attachment 1993507