APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Mkuu, Mbona sioni balimi na safari lager kwenye hiyo catalogue ...au kina Sisi tumesahaulika....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipo,buku 5,local beerMkuu, Mbona sioni balimi na safari lager kwenye hiyo catalogue ...au kina Sisi tumesahaulika....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli MkuuHuku Mpaka Nipate Jimama lakunipeleka ila kwa hela zangu siwez kupoteza Mda huo
Kwa hiyo natoa 220,000-12,000,000 halafu baadae nanunua kinywaji?
Mi nshazoea kiingilio 10,000 napewa beer 2
Wanaonekana kabisa ni washika bunduki. Ukijichanya tu umekwisha
Sijaona Pisi Kali Hapo Ila Hayo Ni Makamanda Yanyoweka Dawa Kwenye Matiti,Ukinyonya Umelala Kwisha Habari Yako. Utazindukia TMJ Hospital Na Drip ZA Maji
ukiiga maisha ya mjini ndugu yangu unaweza kuolewa.Huwa naenda mara moja moja nikiwa $500 ya kuchezea. Ila kuna vijana pale aisee hatari, kila Jumamosi wapo na wanaorder bottle service za milioni 2 kwenda juu. Siwataji majina ila mtu yoyote mzoefu wa pale anawajua maana ni balaa. Sijui wanatoa wapi pesa wale.
Acha kamba,ulaya ipi?Kama umefika ulaya hicho kieneo Cha kawaida sana
Kwangu na wewe ni nyingi, kwake ni ndogo maana laki mbili kitambaa cheupe haiwezi kuisha ukizingatia ni mwendo wa kiwingu tu mixer nyama choma, maison watu wanakamata classic spirit na wengi wao ni wasafiri akitoka pale jioni anakupigia yuko USA
Kwenye bar zako za kimara korogwe hiyo ten unakulaga roast ya kiti moto nusu na ndizi na muziki mnene unasikiliza na kuenjoy
Huwa naenda mara moja moja nikiwa $500 ya kuchezea. Ila kuna vijana pale aisee hatari, kila Jumamosi wapo na wanaorder bottle service za milioni 2 kwenda juu. Siwataji majina ila mtu yoyote mzoefu wa pale anawajua maana ni balaa. Sijui wanatoa wapi pesa wale.
nyie mnaoponda hampajui Maison vizuri nyie
hizi sasa ndio nyuzi za kuleta,nashukuru mleta mada.kwa mimi mnyonge siku nikipata laki 5 tu naenda kujilipua hapo[emoji39]
hii ipo Tanzania?
mkuu tu arrange bana december tukiwashe hapo
Show za kujichanga kinyonge sana! Ishu ni uwe njema ujiwashe tu hata kama uko na wana sio kesi[emoji23]
Ni majambazi au? Yaani hao wanaoweka dawa kwenye matiti wanakuibia?Wanaonekana kabisa ni washika bunduki. Ukijichanya tu umekwisha
Au ni askari/majasusi wa kawaida tu na sio majambazi?Wanaonekana kabisa ni washika bunduki. Ukijichanya tu umekwisha
Amna nafasi za kazi
Samahani lakin kwa kuingilia uzi wenu
Mkuu, Mbona sioni balimi na safari lager kwenye hiyo catalogue ...au kina Sisi tumesahaulika....
Sent using Jamii Forums mobile
Zipo sema bei ndo zimechangamka