Maison club

Maison club

Kwa hiyo natoa 220,000-12,000,000 halafu baadae nanunua kinywaji?


Mi nshazoea kiingilio 10,000 napewa beer 2

Kwenye bar zako za kimara korogwe hiyo ten unakulaga roast ya kiti moto nusu na ndizi na muziki mnene unasikiliza na kuenjoy
 
Huwa naenda mara moja moja nikiwa $500 ya kuchezea. Ila kuna vijana pale aisee hatari, kila Jumamosi wapo na wanaorder bottle service za milioni 2 kwenda juu. Siwataji majina ila mtu yoyote mzoefu wa pale anawajua maana ni balaa. Sijui wanatoa wapi pesa wale.
ukiiga maisha ya mjini ndugu yangu unaweza kuolewa.
Bora nibaki mshamba.
 
Kwangu na wewe ni nyingi, kwake ni ndogo maana laki mbili kitambaa cheupe haiwezi kuisha ukizingatia ni mwendo wa kiwingu tu mixer nyama choma, maison watu wanakamata classic spirit na wengi wao ni wasafiri akitoka pale jioni anakupigia yuko USA

Ewaaa hapo tunaingiaga wanyamwezi tunamwaga dollar afu kesho tunaamkia mbele.
 
Huwa naenda mara moja moja nikiwa $500 ya kuchezea. Ila kuna vijana pale aisee hatari, kila Jumamosi wapo na wanaorder bottle service za milioni 2 kwenda juu. Siwataji majina ila mtu yoyote mzoefu wa pale anawajua maana ni balaa. Sijui wanatoa wapi pesa wale.

Watu wana mwaga pesa aseee[emoji119]
 
Back
Top Bottom