Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hatimaye mwili wa aliyekuwa Mchungaji wa Kanisa la El-Huruma (E.H.C), John Chida aliyetarajiwa kufufuka, umezikwa leo Desemba 6, 2024 katika makaburi ya Mlolo Manispaa ya Iringa.
Mwili wa mchungaji huyo ambaye alifariki dunia Oktoba, uligunduliwa Desemba 3, mwaka huu ndani ya nyumba yake ukiwa na muumini wake, Agnes Mwakijale ambaye alikaa naye akiamini angefufuka.
Pia, Soma: Iringa: Mwili wa Mchungaji aliyefariki Oktoba 2024 wakutwa ndani. Waumini wake waliamini hawezi kufa bali atalala tu
Agness anashikiliwa na polisi mkoani Iringa, akidaiwa kuishi na maiti hiyo kwa miezi miwili.
Mwili wa mchungaji huyo ambaye alifariki dunia Oktoba, uligunduliwa Desemba 3, mwaka huu ndani ya nyumba yake ukiwa na muumini wake, Agnes Mwakijale ambaye alikaa naye akiamini angefufuka.
Pia, Soma: Iringa: Mwili wa Mchungaji aliyefariki Oktoba 2024 wakutwa ndani. Waumini wake waliamini hawezi kufa bali atalala tu
Agness anashikiliwa na polisi mkoani Iringa, akidaiwa kuishi na maiti hiyo kwa miezi miwili.