MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Baada ya sintofahamu iliyotokea kuhusiana na usafirishaji za maiti za wanajeshi wa Afrika Kusini waliokufa wakipigana na kundi la waasi la M23, hatimae wamesafilishwa kupitia Rwanda.
Kamati ya bunge ilipokua ikimhoji waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi, walitangaza kwamba Rwanda ilikubali kutoa njia ili wasafirishwe, nchi yao ikakataa. Leo, gari lililobeba maiti hizo, limepitia mpaka wa Goma, La corniche, kuelekea mpaka wa Cyanika, wa Rwanda na Uganda. Itasafirishwa kwenda Kampala, kwa ajili ya safari kuelekea Afrika Kusini.
Kamati ya bunge ilipokua ikimhoji waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi, walitangaza kwamba Rwanda ilikubali kutoa njia ili wasafirishwe, nchi yao ikakataa. Leo, gari lililobeba maiti hizo, limepitia mpaka wa Goma, La corniche, kuelekea mpaka wa Cyanika, wa Rwanda na Uganda. Itasafirishwa kwenda Kampala, kwa ajili ya safari kuelekea Afrika Kusini.