Mamsosa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2024
- 1,047
- 2,246
Ina impact gani kwenye mapokezi ya juu aendako baada ya shughuli hiyo hapa chini duniani?21 Gun Salute ni heshima wanayopewa wanajeshi waliofariki, marais, wakuu wa nchi etc.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina impact gani kwenye mapokezi ya juu aendako baada ya shughuli hiyo hapa chini duniani?21 Gun Salute ni heshima wanayopewa wanajeshi waliofariki, marais, wakuu wa nchi etc.
Kidogo usalama upo kwa route hiyo na pia jiraniJe, ni kwamba hakuna njia nyingine ya kuingia goma ama kutoka goma zaidi ya Rwanda? Naona kila anaetoka goma anapitia Rwanda.
Naomba kuuliza, hivi ukitaka kwenda Goma kwa hapa Kisemvule unapanda dala dala zenye mstari gani?..Dsm kwenda Moro ni mbali kuliko Goma kwenda Kigali.
Juu wapi aendako na unaweza vipi kuthibitisha anaenda huko juu?Ina impact gani kwenye mapokezi ya juu aendako baada ya shughuli hiyo hapa chini duniani?
Kwa hiyo njia ipo Rwanda tuBaada ya sintofahamu iliyotokea kuhusiana na usafirishaji za maiti za wanajeshi wa Afrika Kusini waliokufa wakipigana na kundi la waasi la M23, hatimae wamesafilishwa kupitia Rwanda.
Kamati ya bunge ilipokua ikimhoji waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi, walitangaza kwamba Rwanda ilikubali kutoa njia ili wasafilishwe, nchi yao ikakataa. Leo, gari lililobeba maiti hizo, limepitia mpaka wa Goma, La corniche, kuelekea mpaka wa Cyanika, wa Rwanda na Uganda. Itasafilishwa kwenda Kampala, kwa ajiri ya safari kuelekea Afrika Kusini.
View attachment 3227884
Mosi,hakuna chini wala juu,pili,ni heshima za Wana genzi kwa mwenzaoIna impact gani kwenye mapokezi ya juu aendako baada ya shughuli hiyo hapa chini duniani?
Wangepita wapi?Kwa hiyo njia ipo Rwanda tu
Ndege itue wapi? Uwanja wa Goma M23 imezuia matumizi yake mpaka sasa. Pili, kutoka mortuary, lazima watumie gari kufika airport. Hapo tu issue ni moja! Kutoka Goma hadi Kampala ni Km 580 na ushee. Safari hiyo na gari kubwa, ni karibia siku nzima. Goma-Kigali ni km kama 170. Automatically ukifatilia vita vyao mtandaoni, na inasemekana Rwanda mwanzoni ilikubali kutoa njia, utaona kuna issue nyingine.😅😅😅hawana hata Ndege?
Viongozi wa Afrika wanapenda sisi tufe tukiwa tunawatumikia ila hawajali kabisa.
Angekuwa hata Mke au ndugu wa Waziri wa SA angesafirishwa kwa gari?
Kuna namana furani mtu anakufanyia uhuni hadi unajikuta huna namna. Awali ilisemekana kwanza wapite ziwani kuelekea Bujumbura, M23 iligoma, hakuna njia. Uwanja wa ndege wa Goma imeukalia, ulinzi wa anga wa jirani hauruhusu ndege yoyote kusogea. Njia ni moja tu. Ndo maana wafanyakazi wa UN njia iliyowapeleka ikawa hiyo hiyo, mercenaries, njia ikawa hiyo hiyo.Kwa hiyo njia ipo Rwanda tu
Nilisikiliza redioni kwamba baada ya maisha haya hapa duniani kuna maisha mengine ng'ambo ya bahari na ili uyafikie ni sharti unyakuliwe kwenda mawinguni,na kama ujuavyo mawingu yapo juu angani..natoa hoja.Juu wapi aendako na unaweza vipi kuthibitisha anaenda huko juu?
Kwa hiyo unakubali kila unachosikia redioni kuwa ni ukweli?Nilisikiliza redioni kwamba baada ya maisha haya hapa duniani kuna maisha mengine ng'ambo ya bahari na ili uyafikie ni sharti unyakuliwe kwenda mawinguni,na kama ujuavyo mawingu yapo juu angani..natoa hoja.
Mjomba Magu kwa mamlaka aliyokua nayo aliwahi kusema redioni kwamba mabinti wanaopata ujauzito wakiwa shuleni wana kihere here... ila adhabu ya wanaowapa ujauzito huo sikuwahi kusikia redioni kama imefanyiwa ammendments japo bado kihere here bado kimeongezeka kwa wastani wa mil. 7.8Kwa hiyo unakubali kila unachosikia redioni kuwa ni ukweli?
This is neither here, nor there.Mjomba Magu kwa mamlaka aliyokua nayo aliwahi kusema redioni kwamba mabinti wanaopata ujauzito wakiwa shuleni wana kihere here... ila adhabu ya wanaowapa ujauzito huo sikuwahi kusikia redioni kama imefanyiwa ammendments japo bado kihere here bado kimeongezeka kwa wastani wa mil. 7.8
Mistari ya njanoNaomba kuuliza, hivi ukitaka kwenda Goma kwa hapa Kisemvule unapanda dala dala zenye mstari gani?
Nope,sababu hafifu,tuna kambi ya jeshi kigoma
Mwanajeshi huwezi kataa kwenda vitani kwa amri ya amir jeshi mkuu,mwanajeshi siyo mwalimu au daktari,kazi yake ni kurushiana risasi na mizinga no matter whatFebruari 7, 2025Jean Ntumwa
Rumonge: Mahakama ya (kijeshi military court) imetoa adhabu kali kwa askari waliokataa kwenda kupigana pamoja na FARDC dhidi ya M23.
Alhamisi hii, wanajeshi 272 wa Burundi waliokataa kwenda kupigana pamoja na FARDC (Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo) dhidi ya M23 waliarifiwa kuhusu hukumu yao. Baadhi walihukumiwa kifungo cha maisha. Wana miezi miwili kukata rufaa dhidi ya uamuzi huu. (SOS Media Burundi)
View attachment 3227696
Vipengele hivi vya FDNB (Jeshi la Ulinzi la Taifa la Burundi) viliwekwa katika makundi manne. Kundi la kwanza linajumuisha wanajeshi private na makoplo waliorejea Burundi kwa ndege. Walihukumiwa kifungo cha miaka minne jela.
Kundi la pili linaundwa na makoplo na maafisa wasio na kamisheni NCOs ambao pia walisafirishwa hadi Burundi. Watalazimika kutumikia kifungo cha miaka mitano.
Tatu, kuna wanajeshi vyeo private na koplo waliorudishwa nyumbani kwa boti. Walihukumiwa kifungo cha miaka kumi jela.
Kundi la nne na la mwisho linaundwa na makoplo na maafisa wasio na kamisheni ambao pia walifika Burundi kwa boti. Walihukumiwa kifungo cha maisha.
Ni askari mmoja tu aliyehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela.
Wale wanaohusika wana miezi miwili, kuanzia Februari 6, 2025, kukata rufaa dhidi ya uamuzi huu.
SOS Médias Burundi ilikuwa bado haijawa na idadi ya wanajeshi wanaounda kila kategoria. Wakiwa wamezuiliwa katika magereza matatu, ambayo ni Ruyigi (mashariki), Bururi na Rumonge (kusini-magharibi), wanajeshi 272 wa jeshi la Burundi kwa sasa wamekusanyika katika gereza kuu la Murembwe huko Rumonge ambapo kesi ya rufaa ilifanyika Desemba 2024.
Jeshi la Burundi linashiriki katika vita dhidi ya M23 katika jimbo la Kivu Kaskazini (mashariki mwa Kongo) pamoja na FARDC (Vikosi vya Wanajeshi vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo) na wanamgambo wa ndani wanaodumishwa na mamlaka ya Kongo, ndani ya mfumo wa ushirikiano wa nchi mbili kati ya serikali ya Burundi na Kongo.
Wanaharakati kadhaa wa Burundi mara nyingi wameshutumu "kujihusisha bila manufaa na hatari kwa wanajeshi wetu katika vita ambavyo havituhusu".
Lakini Rais Evariste Ndayishimiye, kamanda mkuu, amekuwa akihalalisha "ujumbe wa kuokoa", akithibitisha kuwa ni kawaida kwamba wanajeshi wa Burundi wanauawa DRC (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo) "kwa sababu walijiandikisha kwa hilo".
Kundi la M23 ni waasi wa zamani wa Watutsi ambao walichukua silaha tena mwishoni mwa 2021, wakishutumu mamlaka ya Kongo kwa kutoheshimu ahadi zao za kuwajumuisha tena wapiganaji wake. Mamlaka ya Kongo inasalia kushawishika kwamba anafaidika na msaada kutoka Rwanda, jambo ambalo serikali ya Rwanda inaendelea kulipuuza.
________________________________________________
Burundi jeWangepita wapi?
Mwanajeshi huwezi kataa kwenda vitani kwa amri ya amir jeshi mkuu,mwanajeshi siyo mwalimu au daktari,kazi yake ni kurushiana risasi na mizinga no matter what
