Majaji hawa 7 ndiyo adui wa demokrasia TZ

Majaji hawakusema ugombea binafsi haufai, tena waliutetea, ila walisema wao hawaandiki Katiba. Ambao ulikuwa uamuzi sahihi.
 
Ki ukweli majaji hao wametuaibisha sana sisi wanasheria, na hii imedhihirisha wazi kuwa lazima tuwe na mahakama maalum ya katiba itakayoshughulikia issue zote zinazotokana na vifungu vya katiba. Cha kushanga, kifungu cha 125 cha katiba kinaweka mahakama maalum ya katiba lakin kifungu cha 126 kinsema kazi pekee ya mahakama maalum ya katiba ni kushughulikia suala lolote linalohususika na tafsiri ya katiba ikiwa tafsiri hiyo inabishaniwa kati ya serikali ya muungano na serikali ya zanzibar! Je hiyo ndiyo tafsiri sahihi ya mahakama ya katiba? Mimi nafikiri mahakama ya katiba ihusike moja kwa moja na shauri lolote linalohusu kifungu chochote cha katiba na sio kama inavyotafsiriwa kwenye vifungu hivyo!
 
Nchi hii imewahi kuwa na Jaji Mmoja tu nakumbuka alikuwa akiitwa Rugakingira!

umenikumbusha mbali, huyu jaji anaheshimika sana ktk tasnia ya sheria km uwanja wa haki! Ukifika pale Mwananyamala kuna jengo la kumbukumbu yake.
 

Hawa majaji ni weledi sana. Ukitaka kudhihirisha hilo, soma hukumu zao. nadhani walikuwa na shinikizo kutoka serikalini. Lakini ni majaji makini sana ukiacha marehemu Lugakingira, Mroso, Katiti na wengineo.
Sasa wakati umefika kuweka mgombea binafsi kwenye Katiba. Tukishindwa hapa basi tumekwisha
 
umenikumbusha mbali, huyu jaji anaheshimika sana ktk tasnia ya sheria km uwanja wa haki! Ukifika pale Mwananyamala kuna jengo la kumbukumbu yake.

Huyu alitukuka. Hukumu zake nyingi ziko kwenye TLR. We are yet to get another judge of that intellect!!!!
 
this happens only in Tz, you are not a graduate kisha unachaguliwa kuwz jaji.ccm oyeee
 
As long majaji wanakuwa appoited,ufanisi wao lazima uwe wenye utata
hata utaratibu wa kumpata waziri mkuu ulitakiwa ubadilishwe ili angalau aweze kukohoa mbele ya rais.

Sasa hivi waziri mkuu yupoyupo tu kama TV ambayo remote kaishika rais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…