Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
hapa ndipo natofautiana na lissu,kama swala ni spana beba yoyote.
habari za kujifanya unakagua vifungu vya sheria sasa hivi ni kupoteza muda.ana loose focus.
ccm ni watu wa vurumai,sio watu wa hoja nenda nao hivyo hivyo,ukijifanya wa hoja ni sawa na kupiga risasi maiti.
Mkuu acha kutudhihaki, sio wote. Wachache sana .