Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
hapa ndipo natofautiana na lissu,kama swala ni spana beba yoyote.
habari za kujifanya unakagua vifungu vya sheria sasa hivi ni kupoteza muda.ana loose focus.
ccm ni watu wa vurumai,sio watu wa hoja nenda nao hivyo hivyo,ukijifanya wa hoja ni sawa na kupiga risasi maiti.
Majaliwa ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM wajumbe wa kamati kuu ya CCM wamesambazwa nchi nzima kufanyia kampeni CCMTume ipo kimyaaaa!!! Kama haioni vile.
Muwe na adabu huko CCM, ukijipigia unakaa kimya tu. Kulikua na haja gani ya kupost picha? CCM mazuzu sana.
Lete hoja yako (KAMA IPO) ili nikujibu ipasavyo, yule mpumbavu amejibiwa kadiri ya upumbavu wake. Hata maandiko yanataka tufanye hivyo, wewe huna dini Mkuu?Hukunijibu mimi,Ila nimemshangaa jibu ulilotoa juu ya hoja uliyoulizwa na jamaa hapo juu 🖕,haviendani kabisa.Napata wasiwasi juu ya uwezo wako wa kufikiri.
Kwahyo anapofika na kupandisha vituo vya afya hadhi n Kama Waziri au mnec?Ni mjumbe wa kamati kuu anaruhusiwa kumpigia kampeni Rais Magufuli. Mnadanganywa na msaliti Lissu mnakubali kila kitu. Tumieni akili hata kidogo.
Ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM wajumbe wa kamati kuu ya CCM wamesambazwa nchi nzima kufanyia kampeni CCM
Kwani Mbowe alikuwa akizunguka na Lisu kumfanyia kampeni Mbowe kama nani wakati yeye ni mgombea ubunge wa Hai ?
Rejea swali uliloliuliza, halafu uone kama sijakujibu accordingly
Mafuta ya serikali hapa naona Napo ni shidaWakuu mnaweza kutuwekea vifungu vya sheria au kanuni anazokiuka? Thnx in advance
Kwavile kasema Lisu basi wewe ume meza lilivyo!Lissu keshasema Waziri majaliwa anavunja taratibu za maadili ya Uchaguzi hivyo Tume wamuite waziri mkuu akajieleze mbele ya kamati ya maadili.
Kuna msemo wa kiswahili wà nyani haoñi kundule mkuuhapa mkuu umeamua kuwakwaza[emoji1][emoji1][emoji1]
Nashauri asipokatiza ratiba zake second round baada ya tarehe 3/10 Zito,Mbowe,Membe na Msigwa.waingie kazini chi NzimaPamoja na Cheo chake cha Uwaziri Mkuu, Tabia na kitendo cha Majaliwa kuzunguka Peke yake na kufanya Mikutano ya hadhara ya kuomba KURA ni ukiukwaji wa Taratibu. Anapswa kurudishwa Ruangwa akamtafutie Magufuli Kura kweli.
Msafara wa Majaliwa unatumia Mafuta na Rasilimali za Serikali kwa ajili ya shughuli za kichama. Haya ni matumizi mabaya ya Kodi zetu tunazolipa kwa tabu nyingi. Niseme tu CCM pamoja na Majaliwa acheni kabisa kutumia vibaya kodi zetu na nafasi zenu kuhujumu uchumi wa taifa.
Kama sasa hivi wakaibuka watu wakaanza kumfanyia Rungwe Kampeni kwenye Mikoa AMBAYO hajafika je Tume ya Uchaguzi itawazuia?Kama jibu ni ndio basi nafikir Pia ni Vyema Majaliwa kazuiwa.
Nawasilisha
Weka hiyo sheria inayokiukwa tuoneHuyu anatumia rasilimali za serikali, kama magari na walinzi wanaliopwa kinyume na sheria
Unataka isemeje wakati hakuna sheria imekiukwa?Tume ipo kimyaaaa!!! Kama haioni vile.
Unamuonea wivu huyo mama?Wewe bado kujipigia hapa? Changamka dogo, unakwama wapi?
Unafikiri Uwazi Mkuu umekoma? Bado ni Waziri Mkuu mpaka siku Rais Magufuli atakapoapishwa tena mwezi Novemba 2020.Kwahyo anapofika na kupandisha vituo vya afya hadhi n Kama Waziri au mnec?
Weka kifungu cha sheria kilichokiukwa!Kiazi
Huyu aliyepigwa mkwara na Muro anaweza kumkemea Majaliwa. Hajipendi. Mtu mstaarabu mambo yakifika hatua hiyo hujiudhuru na akapata heshima kwenye jamii.Mjomba kama huyo ataweza kumkemea nani?View attachment 1583738
Anamuonea wivu huyo mama anataman angekuwa yeyeDogo hata mama yako,kuna madogo wanamsolola namna hii.
sababu tu ni mwanamke na ni haki yake kupigwa.
ila hawaweki hadharani sababu haina maana.
Umenikumbusha, miaka ya 89, nikiwa na miaka 21, niliwahi kumbandua mama mwenye umri wa Miaka 40-au zaidi (kwa makadirio), baada ya hapo nilikuwa nikiwaangalia watoto wake ambao ni jamaa zangu mtaani afu najiuliza "wakijua watanichukuliaje".
[SUP]Huyo jamaa uliyemquote si ajabu mama yake anaeza kuwa analiwa na vijana wadogo kuliko hata makonda,Ila hamwambii [emoji23][emoji23][emoji23][/SUP]
Mimi nmeelewa tofauti kwamba huenda huyu jamaa anamuonea wivu huyo mama.Umenikumbusha, miaka ya 89, nikiwa na miaka 21, niliwahi kumbandua mama mwenye umri wa Miaka 40-au zaidi (kwa makadirio), baada ya hapo nilikuwa nikiwaangalia watoto wake ambao ni jamaa zangu mtaani afu najiuliza "wakijua watanichukuliaje".
[SUP]Huyo jamaa uliyemquote si ajabu mama yake anaeza kuwa analiwa na vijana wadogo kuliko hata makonda,Ila hamwambii [emoji23][emoji23][emoji23][/SUP]