Uchaguzi 2020 Majaliwa anafanya Kampeni kwa kutumia ratiba ya nani? Kwa nafasi gani ya Kitaifa?

Weka kifungu cha sheria kilichokiukwa!
Usipoweka wewe ndio kiazi
Ratiba ya Kampeni imeoanisha wahusika kamili wa Kampeni, yaani chama , mgombea urais na umakamu hao ndo wapo kwenye ratiba. La yeyote wa chama chochote anaweza kushiriki Kampeni kwa kufuatana na msafara wa mgombea husika na so vinginevyo. Ratiba zipo za ubunge na udiwani pia kada yeyote wa chama husika anaweza kushiriki Kampeni kwa mfumo huo.

Anachfanya Majaliwa ni kinyume na kanuni za time.
 
picha kapost master planner wa chadema bwana kigogo.

na akaipa maneno ambayo alijua manyumbu hawatahoji.
[emoji3][emoji3][emoji3]Alafu walivyo hawana akili watakwambia hiyo ni siri kigogo katoa kwahiyo ccm itakoma kwa siri anazotoa kigogo.

Yani watu wapigwe picha wenyewe tena kwenye halaiki alafu kigogo aje abandike na kuipa maneno nakusema hiyo ni siri imevuja[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hawa washabiki wa Lisu ni bure kabisa
 
Kwahiyo Zitto anazunguka huku na kule kumnadi nani?
 
Kilichomupa hiyo nafasi ya uwaziri mkuu ni bunge lilovunjwa na hiyo nafasi ya unec wa CCM ameipata kupitia uwaziri mkuu na bunge limeshavunjwa.
 
Jamaa huwa wajiona wako juu ya Sheria

Wanajimwambafy vibaya sana

Wanajiona MIUNGU watu kana kwamba wao ndio Wana hatimiliki na nchii hii

So sad
 
Unamzungumzia Majaliwa gani ? au Majaliwa Kassim Majaliwa wa CCM ? Vipi anawabamiza ?
Hana hata ushawishi wakusikilizwa hata na wanafunzi wa chekechea,labda wawatoe kwa nguvu mashuleni walazimishwe kuhudhulia na siyo kumsikiliza.
 
Mkuu kanuni za time ndo zinakuaje hizo?unaweza kutuwekea kifungu cha kanuni husika?
 
CCM kweli mbumbumbu. Kasimu kosa lake ni kutokuambatana na mgombea huku akiwa na wadhifa wa uwaziri mkuu. Ndiyo maana Pinda halalamikiwi.
 
Unataka isemeje wakati hakuna sheria imekiukwa?
Wadhifa wake wa uwaziri mkuu na kitendo chake Cha kuzurura vinmtoa kwenye maadili ya uchaguzi. Kasomeni kwanza ya kuja humu mitandaoni.
 
Mkuu ni sheria ipi hiyo unayoizungumzia kuwa Waziri Mkuu kaikiuka?? Quote kifungu.

Na unaposema gharama zinazotumika no za serikali na sio za chama kwa ushahidi upi ??

Tatizo lenu nyie mnamfanya Lisu kama reference badala ya kufanya sheria ndio msingi wa hoja.
 
Wanatapatapa tu huku na kule.
mambo ni magumu mno upande wao
 
Hamia Cameroon, Rwanda, Uganda, Togo, Eritrea, Chad, Zimbabwe au Equatorial Guinea
 
Majaliwa anafanya kampeni kama mwanachama wa CCM akitumia ratiba ya majimbo husika kuomba Kura. Na kila anapokuwepo anakua na wagombea ubunge wa Eneo husika.
Sidhani kama hii ni hoja yamaana sana watu waachwe huru wafanye kampeni.


Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Hili suala la Ndugu Majaliwa Kassim Majaliwa kufanya kampeni na kumuombea kura Rais Magufuli wa CCM ni hivi: NEC kwa kutumia Sheria ya Uchaguzi ikiwa inasomwa na Sheria nyingine za nchi, pamoja na KATIBA, huwa inakaribisha kila mgombea Urais kuteua idadi Fulani ya "wapambe wake" kumsaidia kwenye kampeni. Komredi Magufuli na CCM, wameteua timu hiyo ikiwa ni pamoja na Komredi Majaliwa. Hii ni sahihi kwa mujibu wa sheria zetu, kama nyie hamna hizo timu au mna mtafaruku wa kipesa na Umoja ndani ya CDM, poleni sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…