Majaliwa chini ya Magufuli v/s Majaliwa chini ya Samia

Majaliwa chini ya Magufuli v/s Majaliwa chini ya Samia

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,265
Reaction score
2,919
Unaweza ukamuona PM Majaliwa kama mtu ambaye hana muelekeo kisiasa, au hana nguvu sana kama zinavyohitajika ktk nchi hii, lakini kwa mtazamo wangu ktk nafasi yake ya PM, ameweza kuwa mtu ambaye anakwepa blunders (makosa ya kijinga). Majaliwa ni mtu makini asiyetamka bila kuhusisha ubongo wake. Tuachane na matizo yake ya sulfur ya korosho na kuwasuka-suka TPRI ili tu sulfur ipitishwe (ufisadi).

Akiwa na Magufuli alikwepa makosa ya lugha mbaya zisizojali utu na kadamnasi ya kitanzania, wakati Magufuli alijawa na lugha ya aina hiyo. Amekuwa na Samia, pia sijasikia akiropoka kama Samia mwenyewe alivyofanya hadi kufikia kudhalilisha wanamichezo wa kike. Majaliwa ana umakini wa aina fulani. Lakini maagizo yake mengi hayatoi matokeo. Tangu lile la BoT, watumishi wa hazina na mengine yanayofuata. Au wanampoza?
 
Unaweza ukamuona PM Majaliwa kama mtu ambaye hana muelekeo kisiasa, au hana nguvu sana kama zinavyohitajika ktk nchi hii, lakini kwa mtazamo wangu ktk nafasi yake ya PM, ameweza kuwa mtu ambaye anakwepa blunders (makosa ya kijinga). Majaliwa ni mtu makini asiyetamka bila kuhusisha ubongo wake. Tuachane na matizo yake ya sulfur ya korosho na kuwasuka-suka TPRI ili tu sulfur ipitishwe (ufisadi).

Akiwa na Magufuli alikwepa makosa ya lugha mbaya zisizojali utu na kadamnasi ya kitanzania, wakati Magufuli alijawa na lugha ya aina hiyo. Amekuwa na Samia, pia sijasikia akiropoka kama Samia mwenyewe alivyofanya hadi kufikia kudhalilisha wanamichezo wa kike. Majaliwa ana umakini wa aina fulani. Lakini maagizo yake mengi hayatoi matokeo. Tangu lile la BoT, watumishi wa hazina na mengine yanayofuata. Au wanampoza?

Inatuhusu nini
 
Unaweza ukamuona PM Majaliwa kama mtu ambaye hana muelekeo kisiasa, au hana nguvu sana kama zinavyohitajika ktk nchi hii, lakini kwa mtazamo wangu ktk nafasi yake ya PM, ameweza kuwa mtu ambaye anakwepa blunders (makosa ya kijinga). Majaliwa ni mtu makini asiyetamka bila kuhusisha ubongo wake. Tuachane na matizo yake ya sulfur ya korosho na kuwasuka-suka TPRI ili tu sulfur ipitishwe (ufisadi).

Akiwa na Magufuli alikwepa makosa ya lugha mbaya zisizojali utu na kadamnasi ya kitanzania, wakati Magufuli alijawa na lugha ya aina hiyo. Amekuwa na Samia, pia sijasikia akiropoka kama Samia mwenyewe alivyofanya hadi kufikia kudhalilisha wanamichezo wa kike. Majaliwa ana umakini wa aina fulani. Lakini maagizo yake mengi hayatoi matokeo. Tangu lile la BoT, watumishi wa hazina na mengine yanayofuata. Au wanampoza?
Alisema Magufuli yuko Ikulu ana piga kazi, kumbe yuko chumba cha baridi akipoa.
 
Unaweza ukamuona PM Majaliwa kama mtu ambaye hana muelekeo kisiasa, au hana nguvu sana kama zinavyohitajika ktk nchi hii, lakini kwa mtazamo wangu ktk nafasi yake ya PM, ameweza kuwa mtu ambaye anakwepa blunders (makosa ya kijinga). Majaliwa ni mtu makini asiyetamka bila kuhusisha ubongo wake. Tuachane na matizo yake ya sulfur ya korosho na kuwasuka-suka TPRI ili tu sulfur ipitishwe (ufisadi).

Akiwa na Magufuli alikwepa makosa ya lugha mbaya zisizojali utu na kadamnasi ya kitanzania, wakati Magufuli alijawa na lugha ya aina hiyo. Amekuwa na Samia, pia sijasikia akiropoka kama Samia mwenyewe alivyofanya hadi kufikia kudhalilisha wanamichezo wa kike. Majaliwa ana umakini wa aina fulani. Lakini maagizo yake mengi hayatoi matokeo. Tangu lile la BoT, watumishi wa hazina na mengine yanayofuata. Au wanampoza?
Majaliwa ni seti tupu au tabular rasa. Anapenda kufanya kazi za show off na vyombo vya habari mbele lakini hayuko MAKINI. Ushahidi huu hapa;

1. Suala la Faru John aliingizwa choo cha kike na akaamini kuwa Faru ameuawa, uchunguzi ukagundua siyo

2. Alutuambia Magufuli bado anachapa kazi Ikulu wakati Magufuli alikuwa kisha kufa.

3. Alimvamia DC wa Kilolo na kutaka atimuliwe ila Magufuli hakumsikia

4. Alivamia Ofisi ya Mkaguzi wa Serikali akasema wanaiba Mabilioni kwa kujilipa posho, kumbe si kweli ni malipo halali

5. Aliamuru TANROADS wamtimue Regional Manager wa Morogoro pale daraja la Kiyegeya Gairo lilipoharibika, wala DG TANROADS hakumsikiliza.
 
Unaweza ukamuona PM Majaliwa kama mtu ambaye hana muelekeo kisiasa, au hana nguvu sana kama zinavyohitajika ktk nchi hii, lakini kwa mtazamo wangu ktk nafasi yake ya PM, ameweza kuwa mtu ambaye anakwepa blunders (makosa ya kijinga). Majaliwa ni mtu makini asiyetamka bila kuhusisha ubongo wake. Tuachane na matizo yake ya sulfur ya korosho na kuwasuka-suka TPRI ili tu sulfur ipitishwe (ufisadi).

Akiwa na Magufuli alikwepa makosa ya lugha mbaya zisizojali utu na kadamnasi ya kitanzania, wakati Magufuli alijawa na lugha ya aina hiyo. Amekuwa na Samia, pia sijasikia akiropoka kama Samia mwenyewe alivyofanya hadi kufikia kudhalilisha wanamichezo wa kike. Majaliwa ana umakini wa aina fulani. Lakini maagizo yake mengi hayatoi matokeo. Tangu lile la BoT, watumishi wa hazina na mengine yanayofuata. Au wanampoza?

Kama wale wakusanya kodi walivyokuwa wanabambikizia watu kodi ili wapate chochote walivyokosa akili na maarifa.... Nashukuru na kumpongeza Mheshimiwa Majaliwa kwa kuwa hakuwa sehemu ya matatizo yake ya kubambikizia watu kodi
 
Hivi uchunguzi wa Moto wa kariakoo bado au Kuna mwanaccm alihusika nini
 
Back
Top Bottom