Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
mnunuajiii nani ?Huu ndo wkti wake, Aibe tu amalize muda wake.hakuna atakayemlaumu..nchi ilishauzwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnunuajiii nani ?Huu ndo wkti wake, Aibe tu amalize muda wake.hakuna atakayemlaumu..nchi ilishauzwa
Wa plot Ipi?maana zipo nyingi😃mnunuajiii nani ?
CCM kindakindaki tunam groom kwasababu tuna jambo letu naye huko mbeleni!Huu ndo wkti wake, Aibe tu amalize muda wake.hakuna atakayemlaumu..nchi ilishauzwa
Unaweza ukamuona PM Majaliwa kama mtu ambaye hana muelekeo kisiasa, au hana nguvu sana kama zinavyohitajika ktk nchi hii, lakini kwa mtazamo wangu ktk nafasi yake ya PM, ameweza kuwa mtu ambaye anakwepa blunders (makosa ya kijinga). Majaliwa ni mtu makini asiyetamka bila kuhusisha ubongo wake. Tuachane na matizo yake ya sulfur ya korosho na kuwasuka-suka TPRI ili tu sulfur ipitishwe (ufisadi).
Akiwa na Magufuli alikwepa makosa ya lugha mbaya zisizojali utu na kadamnasi ya kitanzania, wakati Magufuli alijawa na lugha ya aina hiyo. Amekuwa na Samia, pia sijasikia akiropoka kama Samia mwenyewe alivyofanya hadi kufikia kudhalilisha wanamichezo wa kike. Majaliwa ana umakini wa aina fulani. Lakini maagizo yake mengi hayatoi matokeo. Tangu lile la BoT, watumishi wa hazina na mengine yanayofuata. Au wanampoza?wat
The madam..vinginevyo ingeweza hesabika ni jaribio la kutwaa kikombe cha mtu bila kufuata utaratibu. Nchi huwa haiendeshwi kwa vacuum. Kila kitu kina utaratibu wa kufuataReally?
And whose cup of tea was it?