Majaliwa chini ya Magufuli v/s Majaliwa chini ya Samia

Wa-TZ wana mengi ya kusema. HAKIKA!
 

duh....watanzania wasahulifu sana..huu sijui ni usahaulifu wa kujitakia ama ni ujinga....yani umeshasahau ni majaliwa huyu huyu alinganya umma akiwa msikitini kwamba jpm yuko hai na fit...wakati wote twajua baadae kuwa haikuwa kweli....hapa umerefusha tu maneno...ungesema tu kuwa huyu jamaa ni binge la mnafiki....yaani mtu mwenye ndimi mbili...
 
Mzee wa matamko lkn hakuna anaehangaika nayo.
Mnakumbuka alivyomfukuza kazi injinia lkn MFUGALE akamuwekea ngumu. Just imagine MFUGALE sio waziri Wala katibu mkuu.
 
Mbona mnataka abebe mzigo usio wake, majaliwa hana ubavu wa kuagiza jambo likawa endapo bosi wake haoni mantiki. Vipi akiagiza na boss akasinichi utamlaumu vipi majaliwa? Na wengine wanasema kabisa wao wanamdharau mwenye mbwa mwenyewe ije kuwa mbwa, kwahyo eleweni hii game ikoje. Mkitaka majaliwa aagize mpeni nchi ndo mtajua nani ni nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…