Pre GE2025 Majaliwa Mpe Mama Nafasi ya kupumua, ajiteulie Mwingine kuwa Waziri Mkuu baada ya uchaguzi mkuu

Pre GE2025 Majaliwa Mpe Mama Nafasi ya kupumua, ajiteulie Mwingine kuwa Waziri Mkuu baada ya uchaguzi mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanabodi ,awali ya yote nawatakia Mfungo mwema wa Ramadan na Kwaresima inayoanza kesho.

Bado kama mtanzania naona kitendo Cha Mama kumpendekeza na kupitishwa kwa Dr Emanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza yaan running mate, ni salamu tosha alarming sign ya kuwa zama za "Mjomba" zinaenda ukingoni.

Logic inaeleza wazi hakuna namna Makamu wa Rais atoke kusini mwa Tanzania na Waziri Mkuu atoke kusini mwa Tanzania kwa wakati mmoja.

Kitendo Cha Mama kumwekea Waziri Mkuu naibu waziri mkuu ni ishara nyingine tosha kuhusu mustakabali wa PM wa sasa hatima yake kisiasa.

Wanadamu wameumbwa na soni aibu, waziri mkuu kama kweli atagombea atampa Mama wakati mgumu sana kuhusu kupendekeza jina la waziri mkuu ajaye,na ikiwa waziri Mkuu Bado ataendelea kushika tadi kugombea ubunge kama ambavyo alitangaza wakati wa Ruangwa Marathon mwaka Jana.

Kuna uwezekano mkubwa wa yeye kuwa Mbunge wa kawaida Bungeni,kuwa naibu waziri au waziri kamili,kitu ambacho hakipendezi kwa mtu aliyefikia rank ya juu ya Viongozi wa nchi yaani top three.

Natamani "mjomba" kwa nia njema na kutunza heshima yetu wanakusini ubadirishe gia angani kwa kutogombea Tena ubunge jimboni Ruangwa.

Natamani ufuate nyayo za Mzee Pinda, na makamu wa Rais Mh Daktari Philip Isdory Mpango.
Mpango wa mafao ya Viongozi wakuu wastaafu Bado ni mzuri Ina marupurupu ya kutosha,ni wakati wa kula hayo marupurupu na kupunzika.

Napoandika haya najua vizuri uchumgu wa kukaa nje ya siasa ili Hali una nguvu ya kutosha na kiu ya kufikia matamanio ya juu zaidi kama isemavyo Abrahm Maslow's theory, "Hierarchy of the need "kufikia self actualization.

Njiani kinakuwa na vipingamizi vingi, nakuomba sana Mjomba usome mchezo,zama zimebadilika, mazingira ya sasa hayakuruhusu kuendelea kuwepo ulipo au kupanda zaidi, labda kwa kudura ya mwenyezi Mungu.

"Mjomba" ushauri sio shurti una haki ya kukataa kuupokea,.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Rais ndiye anayeteua Waziri Mkuu. Acheni kuremba.
 
Siyo lazima Majaliwa ateuliwe kuwa PM. Rais anayo mamlaka ya kumteua mtu yeyote amtakaye kuwa Waziri Mkuu. Kama rais anakosa huo uthubutu basi yeye ndiye dhaifu.
 
Kama Dk Nchimbi na Wassira wamerudi upya ktk game ya siasa basi Kassim Majaaliwa bado anatufaa sana kwa miaka mitano mingine

Ila kama unataka kumvaa jimboni basi nikusihi ewe kampeni Meneja wa mjumbe wa Bodi ya uhifadhi wa ngorongoro Bwana Bakari Nampenya Kalembo, Ingia mazima jimboni umvae PM

Achana na mpango wa kila mwezi kuanzisha nyuzi zako za kumlazimisha PM asigombee
Hamna kampeni ya andiko la mwezi,
Sina nguvu wala uwezo wa kumlazimisha waziri Mkuu, mimi sio kampeni meneja wa Nampenya, wala Sina nia na jimbo, nachofanya ni kutia ushauri wangu kwake, kama political analyst,kulingana na political situation ndani ya chama, PM nafasi yake ni finyu mno.

Ana haki ya kupokea ushauri wangu ana haki pia ya kuukataa ushauri wangu.

Mna macho hamtami kuona.,mna masikio hamtaki kusikia.🤔🤔🤔🚴🚴🚴
 
Siyo lazima Majaliwa ateuliwe kuwa PM. Rais anayo mamlaka ya kumteua mtu yeyote amtakaye kuwa Waziri Mkuu. Kama rais anakosa huo uthubutu basi yeye ndiye dhaifu.
Ni kweli kabisa ndiyo maana nashauri busara itumike kwa kutogombea tena ubunge
 
Wanabodi ,awali ya yote nawatakia Mfungo mwema wa Ramadan na Kwaresima inayoanza kesho.

Bado kama mtanzania naona kitendo Cha Mama kumpendekeza na kupitishwa kwa Dr Emanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza yaan running mate, ni salamu tosha alarming sign ya kuwa zama za "Mjomba" zinaenda ukingoni.

Logic inaeleza wazi hakuna namna Makamu wa Rais atoke kusini mwa Tanzania na Waziri Mkuu atoke kusini mwa Tanzania kwa wakati mmoja.

Kitendo Cha Mama kumwekea Waziri Mkuu naibu waziri mkuu ni ishara nyingine tosha kuhusu mustakabali wa PM wa sasa hatima yake kisiasa.

Wanadamu wameumbwa na soni aibu, waziri mkuu kama kweli atagombea atampa Mama wakati mgumu sana kuhusu kupendekeza jina la waziri mkuu ajaye,na ikiwa waziri Mkuu Bado ataendelea kushika tadi kugombea ubunge kama ambavyo alitangaza wakati wa Ruangwa Marathon mwaka Jana.

Kuna uwezekano mkubwa wa yeye kuwa Mbunge wa kawaida Bungeni,kuwa naibu waziri au waziri kamili,kitu ambacho hakipendezi kwa mtu aliyefikia rank ya juu ya Viongozi wa nchi yaani top three.

Natamani "mjomba" kwa nia njema na kutunza heshima yetu wanakusini ubadirishe gia angani kwa kutogombea Tena ubunge jimboni Ruangwa.

Natamani ufuate nyayo za Mzee Pinda, na makamu wa Rais Mh Daktari Philip Isdory Mpango.
Mpango wa mafao ya Viongozi wakuu wastaafu Bado ni mzuri Ina marupurupu ya kutosha,ni wakati wa kula hayo marupurupu na kupunzika.

Napoandika haya najua vizuri uchumgu wa kukaa nje ya siasa ili Hali una nguvu ya kutosha na kiu ya kufikia matamanio ya juu zaidi kama isemavyo Abrahm Maslow's theory, "Hierarchy of the need "kufikia self actualization.

Njiani kinakuwa na vipingamizi vingi, nakuomba sana Mjomba usome mchezo,zama zimebadilika, mazingira ya sasa hayakuruhusu kuendelea kuwepo ulipo au kupanda zaidi, labda kwa kudura ya mwenyezi Mungu.

"Mjomba" ushauri sio shurti una haki ya kukataa kuupokea,.

Nandagala One -Mpumalanga South Africa.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu si Athumani.
 
Majaliwa ashakaa awamu mbili akiwa kama PM hivyo hata asiporudi ni kawaida tu maana ma PM huwa wanakaa miaka kumi na wengine hawakubahatika kaa hata 5
Upo sahihi ndiyo maana nashauri asigombee ubunge tena!!
 
Nadhani tumshauri Mama amfikirie hata kumpa Ubarozi! Kassimu ni mwadilifu na ana msimamo! Sina hakika kama ana makandokando ya Ufisadi.
 
Ameshakuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10. Nilishangaa sana kusikia bado anautaka Ubunge. Je anataka aendelee kuwa Waziri Mkuu kwa miaka 15? Atakuwa Waziri Mkuu wa kwanza kuhudumu miaka hiyo.Ni Waziri Mkuu mmoja tu aliyewahi kuhudumu miaka 10. Busara kuwaachia wengine

Au anataka awe Mbunge au Waziri wa Kawaida, ni kujishushia hadhi

Kwa yote mawili inaweza kuja tafsiri ya kuwa anatamaa na madaraka.
 
Ameshakuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10. Nilishangaa sana kusikia bado anautaka Ubunge. Je anataka aendelee kuwa Waziri Mkuu kwa miaka 15? Atakuwa Waziri Mkuu wa kwanza kuhudumu miaka hiyo.Ni Waziri Mkuu mmoja tu aliyewahi kuhudumu miaka 10. Busara kuwaachia wengine

Au anataka awe Mbunge au Waziri wa Kawaida, ni kujishushia hadhi

Kwa yote mawili inaweza kuja tafsiri ya kuwa anatamaa na madaraka.
Aksante sana, kwa majibu kuntu yanayosawiri Uzi wangu!!

Huo ndio ukweli na utata, agombee awe mbunge na Waziri wa kawaida?? Haiwezekani upm wa miaka 15,

Tumaini pekee lilikuwa labda kuteuliwa kuwa running mate lakini sio uwaziri mkuu tena!!

Running mate Dr Biashara imeisha tayari.🤔🤔🤔😅😅🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Back
Top Bottom