Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
[SUB]Hivyo Hivyo!!!😶🤨[/SUB]Ulitegemea asemeje ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[SUB]Hivyo Hivyo!!!😶🤨[/SUB]Ulitegemea asemeje ?
Anaweza kuwa dereva bora kuliko unavyofikiriLissu namfananisha na dereva wa Kirikuu anayeomba kazi ya kuendesha semi trailer!
Atutoleee ujinga huyo viti maalumu jitu limeshindwa kumshawishi mwanamke kubadili dini litawezaje kuwashawishi watu wachague kijani?Mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya taifa ya Chama cha mapinduzi (CCM), na waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa Singida kutafakari aina ya kiongozi wanayemtaka aiongoze Tanzania...
Hana hoja za maana apishe demokrasia tena anapaswa kurudi jimboni kwake akafanye kampeni kama alivyoagizwa na bashiru.Mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya taifa ya Chama cha mapinduzi (CCM), na waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa Singida kutafakari aina ya kiongozi wanayemtaka aiongoze Tanzania...
Ndiomaana nasema yeyote yule aliyepitishwa na tume anafaa kuwa rais wa nchi hii kama hafai basi na tume haifai na aliyeiteua tume naye hafai.Mtanzania yoyote mwenye akili timamu anaweza kuwa rais wa nchi hii. Kama JK na Magufuli wameweza kuwa marais, nani atashindwa kazi hiyo?
Ninashida nyingine nisaidiwe kwayeyote mwenye cv ya jacksoni mateso atuwekee aliokuwa mwenyekiti almashauri uvinza naona kamakunaupotoshajiMayanga unamjua?
Wananchi walishatafakari siku nyingi! Yeye anaona ni sawa kwake kupita bila kupingwa? Watu wa namna hii sijui hata mnawezaje kuwasikilizaMjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu ya taifa ya Chama cha mapinduzi (CCM), na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa Singida kutafakari aina ya kiongozi wanayemtaka aiongoze Tanzania.
Waziri mkuu ametoa wito huo leo Septemba 15, 2020 wakati akizungumza na wananchi waliohuhudhuria mkutano wa kuwanadi wagombea wa CCM uliofanyika kwenye viwanja vya CCM kata ya Ilongero wilayani Singida.
“Uongozi wa nchi siyo jambo la mchezo, siyo jambo la kujaribiwa, wala haliendi kwa upepo na ushabiki. Ni lazima mkae na kutafakari ni nani anafaa kuongoza nchi hii,” amesema Majaliwa.
Wakati huohuo, Waziri mkuu amempokea aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Singida, Frank Petro Akunay ambaye ameamua kuhamia CCM.
Akunay amehamia CCM akiambatana na mkewe Betina Petro pamoja na mdogo wake Daniel petro akisema kuwa amerejea nyumbani kwani alikuwa CCM kabla ya kujiunga CHADEMA ambako ametoka sasa.
Chanzo: Dar Mpya