Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Very naive!
They are wanted better dead than alive!
 
Unajua mambo mengine ni kutumia common sense tu. Hata ukiamua kudanganya basi utumie akili kidogo kwenye uwongo wako.
 
Bora muda huu wamefanikiwa japo kutudanganya na tumajina tuchache
 
Kila kiongozi aliyefika Kibiti alikiri wauaji kuwa wanatumia mbinu ambazo inaonyesha wana mafunzo ya hali ya juu. Kioja ni kwamba mtu mwingine aliyeuwawa ni jambazi aliyekuwa kaambatama na polisi na ambaye bado alikuwa mtu muhimu ktk kukamilisha operation hii. Kwa nini polisi hawakumlinda? Otherwise, hongera jeshi la polisi.
 
Hayo majina naona yapo upande mmoja, tuanzie hapo

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Majina pekee sio kielelezo cha upande mmoja, waweza kuta mtu anatumia jina kama Asia, Fatuma, Rabia, Juma na hata Malik na bado akawa wa upande mwingine.[emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

Jamii Forums mobile app
 
Mbona hao wahalifu wakikamatwa hamna anaekuwa haiii lazima wafe kulikoni
Hawakamatwi kama kibaka wa mtaani bali ni baada ya mapambano ya risasi

Jamii Forums mobile app
 
Jeshi la Polisi limepata kiongozi hodari . Big up. Maeneo hayo,hata viwanja vilikosa soko,kwa jitihada hizi kuna matumaini mapya.
 
Pongezi nyingi kwa kikosi cha hy operation inayoundwa na Jeshi la Police na JWTZ,mmefanya kazi nzuri sana na endeleeni kuwanyang'any a silaha kabla hawajawanyang'any a nyie na wananchi wa Kibiti.
Watu wanadai muwalete mahakamani,hapana msiwalete, malizaneni huko huko kwenye uwanja wa vita, mkimkamata hai mchukueni maelezo ya kutosha Kisha mkiridhika mpokonyeni silaha yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui utaahira wa watz utaisha kwa dawa ya madoa!? Wakiachwa mnahamia humu JF kusema wanapiga walemavu na wamewashindwa majambazi wa Kibiti. Wakiua majambazi mnasema hawatakiwi kuuawa. Mnataka wawakamate vp watu wenye bunduki 8?
 
Je, kulikuwa kuna ulazima wa kuwaua? Ingependeza kama wengine wakamatwe wakiwa hai ili kulisaidia jeshi la polisi katika upelelezi.
Hakukuwa na ulazima, but hebu tusaidie mawazo, hivi unamkamataje mtu (alive) anayekurushia risasi? Unatafuta "kupendeza" huku raia wanakufa kwa risasi kila siku. Hebu punguzeni kuwaza kwa kutumia kichwa cha chini tafadhali
 
Kwa povu hili, nadhani wangeanza kukupeleka wewe kule ukawe mfano magazetini. Tujifunze appreciation watanzania, sio ushabiki wa kipuuzi tu hata kwa mambo sensitive kama haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…