..walichukua silaha na mabegi na vitenge , ..mkuu, jambazi akiua anachukua mali. hawa jamaa wanaua afu wanapiga lapa!
..yes jicho likikukosea ling'oe . ...walichofanya Polisi ni sahihi kwali alieua kwa upanga naye .......pia njia ya kumaliza tatizo ni kutoa tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
..bado,..
Naona ni comedy tu hapo, majibizano makali ya kurushiana silaha,ina maana hakuna hata Polisi aliyeheruhiwa?
Haihitaji hasira wala akili nyingi au elimu ya chuo kikuu kubaini hii comedy.
Napita tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia basi maana naona mapovu..jinga wewe,..au nawewe ni mmoja wapo ? ?...
Bandia kivipi hao magaidiMajina bandia hayo tuwekeeni sura zao tutawajua kwa urahisi.Wameyatimba na kongole sana jeshi la polisi