Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Jambazi PETER MBUGUA ambaye alikuwa kwenye gari aina ya CARINA kumpigia simu jambazi MACHO MBAYA aliyekuwa kwenye gari aina ya LAND CRUISER na kumwambia kuna DEFENDER za polisi zinawafuata nyuma kwa kuanzia pale mjini HIMO sasa wanafanyaje..?, na hapo inaelekea usiku wa tatu.
🤔😲😱😱 hii ni habari fikirishi.