GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Binafsi nilitegemea baada ya Tukio la Hanang Mkoani Manyara Media ya Tanzania ingekuwa inatupa Elimu zaidi ya nini kimesababisha na hata kutoa tahadhari zaidi kwa eneo husika au maeneo mengine yenye Jiografia kama ya Hanang ili kujiepusha na Majanga makubwa mengine.
Ila cha kushangaza na kunisikitisha wao (Media ya Tanzania) wanachokifanya hasa ni kututangazia idadi ya Vifo, Zawadi zinazotolewa na Kuisifu Mamlaka na Kujipendekeza kwa mwenye Mamlaka Mkuu.
Halafu nikiwadharau na kusema kuwa Tanzania hakuna Media bali kuna Makorokocho Media tupu hamtaki Kuamini na Kuniamini.
Media ambazo kamwe hutokuta Upuuzi huu wa Media ya Tanzania ni Media za Kenya, Uganda Rwanda, South Africa, Ghana, Algeria na Egypt.
Ila cha kushangaza na kunisikitisha wao (Media ya Tanzania) wanachokifanya hasa ni kututangazia idadi ya Vifo, Zawadi zinazotolewa na Kuisifu Mamlaka na Kujipendekeza kwa mwenye Mamlaka Mkuu.
Halafu nikiwadharau na kusema kuwa Tanzania hakuna Media bali kuna Makorokocho Media tupu hamtaki Kuamini na Kuniamini.
Media ambazo kamwe hutokuta Upuuzi huu wa Media ya Tanzania ni Media za Kenya, Uganda Rwanda, South Africa, Ghana, Algeria na Egypt.