Bw.Daffa
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 420
- 116
Wakuu mi
nimeshinda kuielewa hii kitu jana juzi na leo asubuhi profile yangu ya
tcu ilikuwa vizuri kabisa lakini ajabu nimejaribu kuingia sa hizi nakuta
majanga kwamba sijaaply chochote sa nikawauliza baadhi ya wenzangu kama
saba hivi wakasema na za kwao hvo hvo sa nkapata utata but nikijaribu
kuclick pale kwenye application ili niselect kozi nyingine hapafunguki
sa sijajua tatizo nini na wakati huo huo jina langu halipo kwa wale
waliokosa chuo during 1st round selection.. Jaribun kuangalia za kwenu
wadau
KAKA ungechelewa kutoa huu uzi bas pengine ingekua mimi,nashindwa kuwaelewa awa jamaa kabisa