Majanga UDSM:Zaidi ya wanafunzi 500 wamedisco katika mwaka wa masomo 2012/13

Kwanib si ninasikia matokeo kamili kwa UDSM ni leo mimi nasubiri yatoke niaangalie na ya kwangu

wewe nae wa wapi?matokeo gani tena unasubiri yatoke leo?
 
Inawezekana coz failure and success ni part ya maisha...af data zk naweza sema hazijakamilika kwa7bu umesahau kuwa kuna DUCE,MUCE nafikir idadi inaweza kuongezeka
 
ha ha ha, Dr karamagi noma aisee.kuna wengine wanaitwa Dr nyoni na prof Ossoro,wao mitiani yao hata udesekeje,ukipata 5/20 wewe kidume!

hahahaa... Prof. Osoro kanitesa sana na taxation theory... Dr. Karamagi hafundishi tena undergraduate.. kuna wajinga wawili Dr. Lokina na Mr. Kirama hawa jamaa wanazingua sana ss hv..
 
hahahaa... Prof. Osoro kanitesa sana na taxation theory... Dr. Karamagi hafundishi tena undergraduate.. kuna wajinga wawili Dr. Lokina na Mr. Kirama hawa jamaa wanazingua sana ss hv..
Walimu wanakazi, ujinga wao nini?
 
ifm wanashindana na Mzumbe ...nina ndugu yangu alikua prof.SUA alishawahi nithibitishia hilo kua vyuo anavyoviheshim Tz kwanza ni Mzumbe afu cha pili ni IFM..we kumbatia Muccobs yako...ukiwa na cheti cha IFM unaheshimika bro

Unaheshimika wapi? Unajua kuwa until recently all big 4 accounting firms in Tz hawarecruit kutoka IFM!
 
umenikumbusha mbaaaaali
 
maisha ya shule yana kanuni ifuatayo;
ukiona mwenzio ananyolewa ww tia maji
shule sio sehemu ya starehe
kupatadiv 1 a-level sio guarantee y ww kufaulu chuo
mbinu za ushindi muhimu kwa masomo magumu
hakikisha unawakimbiza wenzio hata somo 1 basi
show off zinamda wake si kila muda itakula kwako
usista duu na ubraza men ndo tatizo kuu
ujanja wa chuo kufaulu sio kula mlegezo
 
kaza buti kjana cyo kulalamika lalamika tu ovyo,mbona kila mwaka watu wanagraduate kila kozi hapa UDSM,tatizo wabongo mnapenda vitu laini laini sana,kama unataka mteremko wa kulegezewa kozi zenu nendeni vyuo vyenu vya kata,najisikia raha sana kusoma chuo bora barani Afrika na ulimwenguni pia(UDSM)
 
Hivi wanaokuwa discontinued wanafanyaga ishu gani?
hapo naona fursa la soko kwa wazee wa semina kufanya uhamasishaji hapo ...
nia uhakika wapo kibao waliofeli shule lakini wakarudi wakajipanga upya na sasa wametokeleze
Inasemekana hata Dr. Assad aliyekua UDBS ni alikua discontinued kule COET ..
 
Walimu wanakazi, ujinga wao nini?

Walimu wa pale wanasifika kwa kuwafelisha wanafunzi hasa tageti huwa ni mabinti ili wapate nafasi ya kuwazini. Tunaomba tume huru iundwe kuchunguza kuwasaidia hawa vijana wetu haki zao zilindwe
 
Dr.Manyai;Dr.Ndazi;Dr.Patric Valimba ;Dr.Runyoro;Dr.Kyaruzi😛rof Beda na wengine nikamatie hao vijana!!Dr.Elias upo ????
 
Msiwasikitikie tatizo ni TCU kupeleka wanafunzi wasio na uwezo wanajua wanawasaidia kumbe wanawaangamiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…