KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Hamna kitu, haya ni maneno ya mkosaji tu! Wanafunzi someni acheni mzaha.....!
HAHAHAHAAAAH umenikumbusha Ngowi na mikasa ya Proba , daaah maisha ya chuo yanatiaga wazimu sanaMbona kawaida sana tena hao wachache, Dr. Karamagi wa Economics huwa anatakamata hadi 700 yeye tu peke yake kwenye kozi yake ya Intermediate Microeconomics. Hapo bado Ngowi hajashika nusu ya Darasa kwenye course ya Probability Distributions watu wa Statistics
Lakini mkuu, wewe mwanafunzi umeenda chuoni kusoma, harafu eti unagombania ki-demu na mwalimu wako, haya si majanga ya kujitakia?We sema hamna kitu wakati wenzio baadhi ya hizo sababu ndo zinawang'oa chuo
Mi form 4 mwenzenu ina maana hao ndo wamefeli yani ndo kama div o ya Huku kwetu.Zaidi ya wanafunzi 500 wa udsm wamedisco ktk mwaka huu wa masomo huku wengine zaidi ya 9000 wakitakiwa kufanya mitihani ya supplementary.mpashaji wangu wa habari,amenidadavulia idadi ya waliodisco kwa kila college kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9
Hapa kuna moja kati ya haya..
1. Waliojiunga wengi ni vilaza...
2. Wakufunzi hawajui kutoa nyanga...
3. Mchanganyiko wa yote hapo juu..
4. Kuna kuchukuliana mademu kati ya wakufunzi na wanafunzi..
5. Background ya wanafunzi kishule si ya kujiunga na UDSM...
Unaelewa tofauti ya kushikwa na kudisco?
Idadi hiyo ni kubwa sana kwa disco, poleni wahanga.
Tatizo sidhani kama ni wakufunzi, maana hawajaanza kazi leo.
Tatizo ni misingi mibovu ya elimu za vijana wetu wa sasa, pamoja na anasa
Tatizo la kuchagua vyuo via TCU ndo hili sasa maana zamani walikuwa wanachuja watu wenye vigezo sahihi
mkuu,we unadhani hzo supp 9000 ntakosekana.nimetiwa nyavuni somo moja!