Majangaa kundi la nyuki wavamia nyumba ya mpwa wangu iliyopo mjini Dar mtaa wa Idrissa

MMiaka hiyo katika kusaka mkate..nyuki walivamia pahala..katika jitihada za kuoka mtu..aise nyuki wanaumaa1😀😀😀
 
Ingekua kwetu tungesema hiyo ni ndagu mali imeingia ndani. Tumia rungu wataondoka
 
Usilete mazoea kwa nyuki wewe eti useme usipowachokoza! Nyuki hata ukimpunga tu kama unafukuza nzi wanakushambulia wote, sasa jiulize ni wangapi hapo watakuwa wavumilivu wakizungukwa na nyuki wasiwapunge kwa mkono?
 
Usilete mazoea kwa nyuki wewe eti useme usipowachokoza! Nyuki hata ukimpunga tu kama unafukuza nzi wanakushambulia wote, sasa jiulize ni wangapi hapo watakuwa wavumilivu wakizungukwa na nyuki wasiwapunge kwa mkono?
Mkuu ulichoongea ni sahihi nakumbuka nipo second semester ya pili naenda kwenye paper nikaona kama nzi ananizonga ile kumpiunga si akafa...
Cha moto nilikipata walinishambulia alieniokoa ni dereva boda alikuwa anapita akaniambia dandia fasta alikimbiza chombo hatari ndio pona yangu.

Na mtihani nilishindwa fanya nikaomba special exam
 
Jamaa anaeta masihara na nyuki huyu!
 
Waone maliasili waliopo karibu yako wao watawatoa safely. Nyuki ni mali watu wanawasaka sana huko porini, kuna mizinga ya nyuki imetegwa muda mrefu bila mafanikio. Sijapenda mlivyowaua
 
Umejaribu kuwaona wazee pale Magomeni?
Magomeni iko mjini kabisa lakini bado hii sehemu imetawaliwa Sana na uchawi, ulozi na ushirikina. Mara Mia nikae Sinza kuliko Magomeni.
 

Hakuna haja ya mtaalamu.

Wasubiri giza liingie, wanunue dawa ya kuulia wadudu awapulizie watakufa wote na kudondoka chini kama maua.
 
Nadhani hao walimuua nyuki moja, akaachia ‘feromones’ zake na kuita wenzake, hii ni ‘defensive’ strategy yao..
 
Magomeni iko mjini kabisa lakini bado hii sehemu imetawaliwa Sana na uchawi, ulozi na ushirikina. Mara Mia nikae Sinza kuliko Magomeni.
Ndiyo haohao wenye asili ya hiyo Sinza mambo yao yako jiji zima
 
Usilete mazoea kwa nyuki wewe eti useme usipowachokoza! Nyuki hata ukimpunga tu kama unafukuza nzi wanakushambulia wote, sasa jiulize ni wangapi hapo watakuwa wavumilivu wakizungukwa na nyuki wasiwapunge kwa mkono?
Mimi nafikiri wewe haujui hata ulichoandika. Mimi nimekwambia wakichokozwa, kumpunga mdudu kama huyo ni sawa na kumchokoza pia.

Hao waliopo hapo hawajawapunga wala kuwachokoza, ndio maana umeona wamepata ujasiri wa kuwarekodi huku wakiongea. Usithubutu kufikiri kuwa hapo ndani kuna mtu atakuwa aliwachokoza au kuwapungia hata mmoja. Laiti angetokea mtu hata mmoja akawachokoza au kumpungia mmoja akaanguka chini basi hakuna ambae angethubutu kushika simu yake kuwa rekodi.

Sasa sijui hoja yako inasimamia wapi na inapinga nini nilichoandika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…