adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
MMiaka hiyo katika kusaka mkate..nyuki walivamia pahala..katika jitihada za kuoka mtu..aise nyuki wanaumaa1😀😀😀Uzuri wa nyuki kama hujawachokoza wala hawawezi kushughulika na wewe.
Kimbembe wajaribu kuuwa nyuki mmoja tu hapo, mtaa mzima watakimbia nyumba zao, na hakuna atakaekuwa na uwezo wa kushika simu kuwa record kama hivi. Nyuki ni jeshi linaloshambulia kwa pamoja, na huwa hawakati tamaa wala kukubali kushindwa.
Nashauri mtafute wataalam wa maliasili wanaohusika na uvunaji wa asali waje wafanye mpango wa kuwachota kupitia vyombo vyao maalumu.
Usilete mazoea kwa nyuki wewe eti useme usipowachokoza! Nyuki hata ukimpunga tu kama unafukuza nzi wanakushambulia wote, sasa jiulize ni wangapi hapo watakuwa wavumilivu wakizungukwa na nyuki wasiwapunge kwa mkono?Mkuu umesoma nilichoandika kweli.
Mbona nimeweka wazi kuwa wakichokozwa wanaweza kushambulia mtaa mzima haijalishi ni nani aliewachokoza.
Lakini narudia tena kuwa nyuki kama haukuwachokoza, wala hawawezi kushughulika na wewe, ndomaana unaona mtimkavu amepata ujasiri wa kusimama pembeni kuchukua video. Kama wangekuwa wanashambulia tu hovyo bila kuchokozwa basi hao waliochukua video wasingepata ujasiri au uwezo huo wa kuchukua video huku wanaongea.
Mkuu ulichoongea ni sahihi nakumbuka nipo second semester ya pili naenda kwenye paper nikaona kama nzi ananizonga ile kumpiunga si akafa...Usilete mazoea kwa nyuki wewe eti useme usipowachokoza! Nyuki hata ukimpunga tu kama unafukuza nzi wanakushambulia wote, sasa jiulize ni wangapi hapo watakuwa wavumilivu wakizungukwa na nyuki wasiwapunge kwa mkono?
Jamaa anaeta masihara na nyuki huyu!Mkuu ulichoongea ni sahihi nakumbuka nipo second semester ya pili naenda kwenye paper nikaona kama nzi ananizonga ile kumpiunga si akafa...
Cha moto nilikipata walinishambulia alieniokoa ni dereva boda alikuwa anapita akaniambia dandia fasta alikimbiza chombo hatari ndio pona yangu.
Na mtihani nilishindwa fanya nikaomba special exam
Hiyo ni njia yao tu.. hapo wako safarini.. sema nyumba yako chafu. Huoshi vyombo thats why wameingia ndani..
Magomeni iko mjini kabisa lakini bado hii sehemu imetawaliwa Sana na uchawi, ulozi na ushirikina. Mara Mia nikae Sinza kuliko Magomeni.Umejaribu kuwaona wazee pale Magomeni?
Uzuri wa nyuki kama hujawachokoza wala hawawezi kushughulika na wewe.
Kimbembe wajaribu kuuwa nyuki mmoja tu hapo, mtaa mzima watakimbia nyumba zao, na hakuna atakaekuwa na uwezo wa kushika simu kuwa record kama hivi. Nyuki ni jeshi linaloshambulia kwa pamoja, na huwa hawakati tamaa wala kukubali kushindwa.
Nashauri mtafute wataalam wa maliasili wanaohusika na uvunaji wa asali waje wafanye mpango wa kuwachota kupitia vyombo vyao maalumu.
Hawajatumwa kweli hao?View attachment 2868782
Wamejitahidi kuwauwa nyuki hawataki kutoka
View attachment 2868787
View attachment 2868788
Ndiyo haohao wenye asili ya hiyo Sinza mambo yao yako jiji zimaMagomeni iko mjini kabisa lakini bado hii sehemu imetawaliwa Sana na uchawi, ulozi na ushirikina. Mara Mia nikae Sinza kuliko Magomeni.
Kumbe!!! Nilikua sijui hili asante kwa mwongozo
Mimi nafikiri wewe haujui hata ulichoandika. Mimi nimekwambia wakichokozwa, kumpunga mdudu kama huyo ni sawa na kumchokoza pia.Usilete mazoea kwa nyuki wewe eti useme usipowachokoza! Nyuki hata ukimpunga tu kama unafukuza nzi wanakushambulia wote, sasa jiulize ni wangapi hapo watakuwa wavumilivu wakizungukwa na nyuki wasiwapunge kwa mkono?