Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
- Thread starter
-
- #41
Shukrani mkuuumejitahidi kwa viwango vyako
Hahaha kweli kabisa mkuuInaitwa akili ya fitina kama alivofanya IDD Amini hata Hitler,unaanzia chini kwa kuwa muaminifu,mbunifu,mwenye bidii then unaaminiwa ukipata mwanya unammaliza aliyekukaribisha chumbani. sawa na zero brain anajikomba ukimsaidia akishapata anakunyea.
Hahaha, mafuriko kivipi Mkuu[emoji23] mwenyewe alisema "baada yangu mafuriko"
Na kweli yametokea
Mafuriko yaani majangaHahaha, mafuriko kivipi Mkuu
Me sipo hukoHahaha kweli kabisa mkuu
Alichomfanyia Jk sio kizuri
Uko wapi ?Me sipo huko
Uki ni follow utakua unazionaMkuu sijui wapi niwe naweka notification ili ukileta habari zako niwe najua.Tutajie majina aliyokuwa anatumia Mobutu nakumbuka lile la kuku wa zabanga.
KaribuNitarudi hapa.
Mkuu nataka niongee /niandike kitu ila nimefuta futa ,nadhani ushajua aliyetolewa alikuajeMafuriko yaani majanga
Baada ya yeye kutoka madarakani, ikatokea vita ya pili ya congo ,ma elfu ya watu wakafa
Rwanda ikaifanya congo shamba la bibi
Wakati wa mobutu, watu hawakufa hovyo.nchi ilikua na amani
MkuuMkuu nataka niongee /niandike kitu ila nimefuta futa ,nadhani ushajua aliyetolewa alikuaje
Kwa marehemu wa CongoUko wapi ?
Hapo nimekupata mkuuKwa marehemu wa Congo
Mkuu.Maisha ya dunia ni ya kukimbiza upepo, pamoja na fahari yote,ndumba, ulinzi, nk still unaiacha dunia.
Sehemu gani ?niko huku piaKwa marehemu wa Congo
madaraka ya nyumbani kwako na mali zako yanatosha.Sure
Ila madaraka + pesa ni combination nzuri sana mkuu
Hakuna mtu asiyevitamani