Unakubalije kushikwashikwa na shemejio?Inaelekea unataka tukuambie nawe umshike ili muendelee na mchezo wenu maana ushemeji una mipaka na huwezi kuruhusu akuzoee kiasi hicho.
Cha kufanya kwa kuwa ulianza kwnda nae lunch usiache maana wewe mwenyewe ndio uliyeyaanzisha hivyo vumilia tu ila mwambie kuwa hufurahii kushikwa nae na ataelewa
Wakuu
Hii nimeona niilete humu ili tuijadili!
Kuna mdada mmoja jamaa yake ni rafiki yangu! Wanaishi pamoja ingawa hawajafunga ndoa kiutaratibu ila wapo mbioni! Sasa imekuwa kila lunch time anataka ama tuende nae au nimpe hata hela akinunu chakula akipendacho! Hii inanikera maana wakati mwingine uchumi unakuwa siyo mzuri na unaanza kupata shida ya kumuepuka! Mbaya zaidi juzi wakati wa lunch akaanza kuni minyaminya mabegani kama mtu anayezifanyia masaji muscles za mabega! Hii naona ni dalili mbaya hasa kwangu maana mimi ni mwepesi wa mahisia ya mapenzi na yeye ni demu wa jamaa yangu! nifanyeje kuliepuka hili wakuu..........., Kumwambia nashindwa nahisi atanichukia na mimi sipendi iwe hivyo!
Sasa unashikwa bega ! Ukimbie??? umekuwa chizi? Mwache aviamshe vilivyolala atajua namna ya kuvilaza tena vikishaamka
Jamani Kimbweka sasa unataka ushauriwe wakati tayari umekaa mkao wa kula?:A S 8:Sasa unashikwa bega ! Ukimbie??? umekuwa chizi? Mwache aviamshe vilivyolala atajua namna ya kuvilaza tena vikishaamka
Kabla hujala ambavyo hujawahi kula lazima uulizie kama vina madhara mengi kuliko mafanikio au vinginevyo
Wakuu
Hii nimeona niilete humu ili tuijadili!
Kuna mdada mmoja jamaa yake ni rafiki yangu! Wanaishi pamoja ingawa hawajafunga ndoa kiutaratibu ila wapo mbioni! Sasa imekuwa kila lunch time anataka ama tuende nae au nimpe hata hela akinunu chakula akipendacho! Hii inanikera maana wakati mwingine uchumi unakuwa siyo mzuri na unaanza kupata shida ya kumuepuka! Mbaya zaidi juzi wakati wa lunch akaanza kuni minyaminya mabegani kama mtu anayezifanyia masaji muscles za mabega! Hii naona ni dalili mbaya hasa kwangu maana mimi ni mwepesi wa mahisia ya mapenzi na yeye ni demu wa jamaa yangu! nifanyeje kuliepuka hili wakuu..........., Kumwambia nashindwa nahisi atanichukia na mimi sipendi iwe hivyo!
muogope kama ukoma, naona anataka kukutumbukiza katika matatizo, mkaushie usimpe hela ya chakula kama mwezi atajua hutaki mchezo wake, na ikibidi muonyeshe mpenzi wako maana ww na yy ni mashemeji tu, hapo huwezi kula mzigo kaka.Hapo ndipo unapokosea au kama ukishindwa hebu pitia ile thread ya mpwa TEAMO uangalie rule namba ngapi inaweza ika apply
mzigo umejileta wenyewe tafuna kaka acha kuremba chapa mara moja halafu upe makavu live (upotezee)Wakuu
Hii nimeona niilete humu ili tuijadili!
Kuna mdada mmoja jamaa yake ni rafiki yangu! Wanaishi pamoja ingawa hawajafunga ndoa kiutaratibu ila wapo mbioni! Sasa imekuwa kila lunch time anataka ama tuende nae au nimpe hata hela akinunu chakula akipendacho! Hii inanikera maana wakati mwingine uchumi unakuwa siyo mzuri na unaanza kupata shida ya kumuepuka! Mbaya zaidi juzi wakati wa lunch akaanza kuni minyaminya mabegani kama mtu anayezifanyia masaji muscles za mabega! Hii naona ni dalili mbaya hasa kwangu maana mimi ni mwepesi wa mahisia ya mapenzi na yeye ni demu wa jamaa yangu! nifanyeje kuliepuka hili wakuu..........., Kumwambia nashindwa nahisi atanichukia na mimi sipendi iwe hivyo!