Majaribu


Sasa unashikwa bega ! Ukimbie??? umekuwa chizi? Mwache aviamshe vilivyolala atajua namna ya kuvilaza tena vikishaamka
 

Mfumue tu
 
Sasa unashikwa bega ! Ukimbie??? umekuwa chizi? Mwache aviamshe vilivyolala atajua namna ya kuvilaza tena vikishaamka

tena mlegezee kabisa avishike kwa raha zake!kwanini umnyime mtu kitu wakati unacho bana!
 
Sasa unashikwa bega ! Ukimbie??? umekuwa chizi? Mwache aviamshe vilivyolala atajua namna ya kuvilaza tena vikishaamka
Jamani Kimbweka sasa unataka ushauriwe wakati tayari umekaa mkao wa kula?:A S 8:
 
kama wewe siyo member wa kile chama,nakushauri ukae mbali na huyo mrembo make sure kama ni wakati wa lunch awepo huyo rafiki yako vinginevyo badili maeneo ya kula ili msigongane.
 
Vitendo bila kuchelewa ndio siri ya mafanikioooooo,katika kaziiii x8
ukiwa mvivuuuuu,ni kosa kubwaaaa,kusahau wajibu wakooooooo,ni kosa kubwaaaaaa,kuzembea kaziiiiiiiii ni kosa kubwaaaa,kutoa visingizioooooooooo nikosa kubwaaaaaaaaa
Halafu sijui haka kawimbo kanaishiaje vile?
 
Jamani Kimbweka sasa unataka ushauriwe wakati tayari umekaa mkao wa kula?:A S 8:

Kabla hujala ambavyo hujawahi kula lazima uulizie kama vina madhara mengi kuliko mafanikio au vinginevyo
 
Kabla hujala ambavyo hujawahi kula lazima uulizie kama vina madhara mengi kuliko mafanikio au vinginevyo

sasa nimekuelewa unachotaka............................!
don't do that.............................!
 

Bila shaka lanji ya leo mnaenda pamoja...
 
Mwambie wazi aache tabia yake hiyo. Unaogopa nini au unamtaka?
 
Hapo ndipo unapokosea au kama ukishindwa hebu pitia ile thread ya mpwa TEAMO uangalie rule namba ngapi inaweza ika apply
muogope kama ukoma, naona anataka kukutumbukiza katika matatizo, mkaushie usimpe hela ya chakula kama mwezi atajua hutaki mchezo wake, na ikibidi muonyeshe mpenzi wako maana ww na yy ni mashemeji tu, hapo huwezi kula mzigo kaka.
 
mzigo umejileta wenyewe tafuna kaka acha kuremba chapa mara moja halafu upe makavu live (upotezee)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…