jifunze kuelewa , wanamaanisha kama ametekwa bas atavujisha siri za nchi na lzm wabadilishe namna ya kufanikisha mambo kitu ambacho kitawaitaji waanzie mwanzo tofauti na walipokuwa wamefikia tyrWanafikiri iran ni kama nchi za africa kila rais akiingia anaanza na mambo yke ukitaka kujua misimamo ya iran angalia alivyokuwa ahmednejad na Ebrahim rais misimamo ileile hakuna kuyumba hata akija mwengne mtasema ya aliyekuwepo
Ishakuwa confirmed mkuu acha ujuaji. Yote uliyompinga jamaa yamekuwa kweliKwamba helicopter kuanguka kuna ujasusi wa aina yoyote.Mbona imekuwa mapema kuja na conclusion kama hii.Anyway unawaza sana na hii si nzuri kwa afya ya akili
Hebu sasa anza kuwaza hivi:Labda ni technical issues,labda ni issue iko related na weather,labda ni issue iko related na rubani wa chombo,labda ni michezo ya Iran kutaka kucheza na hao majasusi unaowasema n.k
Ukimaliza kuwaza hivyo,vuta pumzi kidogo subiri taarifa rasmi ndio utoe hitimisho lenye kujenga
Ok ni sawa hii hoja yako pia inaweza kuwa na mashiko but bado nashindwa kusema inatoa hitimisho la Israel kuhusika.Sawa wapo wayahudi kibao kwenye utawala huo.Je,kwenye hili tukio mchango wao ni nini? Kwamba ndio wanaoratibu safari za rais wa Iran,kwamba rubani alikuwa myahudi?Na kwanini wayahudi wafanye hivi sasa wakati mda tu uhasama kati ya Israel na Iran ulikuepo?. Hii hoja bado inashida lakini tuwe na subra kila kitu kitawekwa waziHapo Iran utawalani kuna Wayahudi kibao kama ilivyo Russia
Unamsokomeza Rais kwenye Chopa yenye abiria 9?
Wairan wenyewe tangu jana wanajiuliza maswali mengi Sana na hilo la hali ya hewa hawalitilii maanani
Mbongo mpe picha tu, story yote atakupatia."Uwenda" hujui ulichoandika.
Confirmed kwamba Israel kahusika au vifo? Kama vifo sawa lakini usiniambie habari za Israel kuhusika tuliza kichwa hili tukio naangalia mwenyewe kwenye reporting za mediaIshakuwa confirmed mkuu acha ujuaji. Yote uliyompinga jamaa yamekuwa kweli
Zana za Hezbollah zimeishtua Dunia ππππOk ni sawa hii hoja yako pia inaweza kuwa na mashiko but bado nashindwa kusema inatoa hitimisho la Israel kuhusika.Sawa wapo wayahudi kibao kwenye utawala huo.Je,kwenye hili tukio mchango wao ni nini? Kwamba ndio wanaoratibu safari za rais wa Iran,kwamba rubani alikuwa myahudi?Na kwanini wayahudi wafanye hivi sasa wakati mda tu uhasama kati ya Israel na Iran ulikuepo?. Hii hoja bado inashida lakini tuwe na subra kila kitu kitawekwa wazi
Mkuu, kubali huna unalolijua, ulichopinga na ulichoandika sasa hivi ni kama unatapa tapa tu bhanaConfirmed kwamba Israel kahusika au vifo? Kama vifo sawa lakini usiniambie habari za Israel kuhusika tuliza kichwa hili tukio naangalia mwenyewe kwenye reporting za media
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha.
Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi wakile kimetokea.
Wengi hawajuwi kile kiponyuma ya hili tukio ila Kuna vitu vya muhimu vimepotea kuliko maisha.
Uwenda sasa siri zote za Iran na marafiki zake zimetiwa kiganjani mwa wanaume na wababe wadunia na uwenda vita ya mashariki ya kati itasimama pia Ukraine vita Mrusi anarudisha majeshi nyuma.
Rais anatembea na Ofisi nahiyo Ofisi ndio macho ya majasusi yapo ukipoteza beg la Rais umepoteza Siri za Taifa kwa sasa Ninapo andika Siri za Irani zimesha patikana yaani watatekenywa mpaka walegee yaani Siri zote mikononi mwa wanaume wasio julika Iran hawatolia kumpoteza Rais watalia kutopatikana kwa begi muhimu lenye taarifa za Siri za Taifa lao.
Uwenda wakakuta manyoya au uwenda maiti zisionekane milele tetesi jamani msinibane ngede.
Mzee wakukamata majasusi nakuwatoa macho anatetema maana hata vikosi hatari vya majasusi wa Urusi hawatoambulia manyoya nibalaa juu ya balaa Putin na washirika zake hawaamini mpaka sasa kile kimetokea na uwenda kama nilivyokwisha Tabiri vita itasimama ghafla. Nakama haisimami wababe wakivita watazima Engine nyingine this time China watajifukia keep cool and keep π€π€π€π€
Wazee wakidoni wanataka jamaa aende kwenye ........ Wamalize kazi nyumbani.
Ilihawajamaa kuwa nimiamba helicopter tatu moja imeangushwa na ndio ya Rais. Mtu ambaye inasadikika ndio was next Ayatollah
Hatujuwi Nia yao ni nn ila Mungu ndie anajuwa.
View: https://m.youtube.com/watch?v=Td_6y0LUDZw
Wagalatia tunasema mungu wa Israeli kawapigaNdio lakini jambo langu linabaki kwamba bado mapema kusema hii ni kazi ya muisrael.Niamini hakuna mbongo ambaye ana classified information juu ya hili tukio kabla ya kutokea na ata taarifa zinazoletwa hapa ni baada ya kuwa aired out kwenye media huko duniani.
Lolote linawezekana lakini bado ni mapema.Kama mtu anasema Israel kahusika basi anipe mtiririko mzuri wa mawazo yake mpaka anafikia hitimisho hilo.Kwamfano,wewe unasema helikopta zilikuwa tatu na moja ndio ikapata shida .Je,hii hoja moja inafanya utoe hitimisho kwamba ni kazi ya Israel
Unadhani Biden na Kamala wana misimamo inayofanana sana?Umedhihirisha uchanga wako kwenye medani za diplomasia na ujasusi,Siri za nchi hazitembei zote na kiongozi mkuu wa nchi,ni mengi tu hajui,halafu uhangaike kumuua Biden wakati unajua Kamala Harris ataapishwa kuwa rais na mambo yataendele!!
Miaka 3 yote NATO wanashindwa kumaliza gamekwa miaka 3 ndo inaingia kharkov leo ? usisahau mwaka 2022 walikuwa nje ya kyiev
ππ€£π€£Mbongo mpe picha tu, story yote atakupatia.
Soma vizuri toka mwanzo nlikuwa naongelea nini kwamba wewe una taarifa za tukio kupita walio kwenye eneo la tukio sio? Hakuna sehemu nlimkatalia mtu kuhusu vifo(kwanza mpaka naenda kulala saa saba bado taarifa za vifo ilikuwa bado) hoja yangu ilikuwa mtu kuleta story mara Israel kahusika mara ujasusi.Hebu lete hizo taarifa ambazo zinasema ni kazi ya kijasusi au Israel kahusika uone kama ntakupingaMkuu, kubali huna unalolijua, ulichopinga na ulichoandika sasa hivi ni kama unatapa tapa tu bhana
Huu ni zaidi ya Ugalatia kiongoziWagalatia tunasema mungu wa Israeli kawapiga
Hezbollah hana zana yoyote kiongozi ya kuleta maajabu duniani.Mtu anategemea auziwe silaha tu(Huyu ata bongo akikubali kuuza rasimali zake anaweza pambana naye)Zana za Hezbollah zimeishtua Dunia ππππ
Sawa ameangushwa tena sio peke yake unasemaje sasaHii ngoma bado mbichi maana hao jamaa wana mfumo.......sio show ya mtu mmoja hapo labda aangushwe ayatollah na mfumo wake na ndo maana anamuweka rais
Ww Hadi muda huu unadhani ni nani kahusika kwa nini Ndege yake tu ianguke! usihamishe magoliNi kweli amefariki... Kwa hiyo na wewe unaamini kwamba ameuwawa na hao sijui majasusi wa dunia.??
Hili ndio swali la msingi.Mtu anaulizwa huo ujasusi huko wapi anaishia kuleta story za kusadikika.Ni kweli amefariki... Kwa hiyo na wewe unaamini kwamba ameuwawa na hao sijui majasusi wa dunia.??