Majasusi wa dunia wametuma Meseji ngumu kwa Putin na washirika wake

Wanafikiri iran ni kama nchi za africa kila rais akiingia anaanza na mambo yke ukitaka kujua misimamo ya iran angalia alivyokuwa ahmednejad na Ebrahim rais misimamo ileile hakuna kuyumba hata akija mwengne mtasema ya aliyekuwepo
jifunze kuelewa , wanamaanisha kama ametekwa bas atavujisha siri za nchi na lzm wabadilishe namna ya kufanikisha mambo kitu ambacho kitawaitaji waanzie mwanzo tofauti na walipokuwa wamefikia tyr
 
Ishakuwa confirmed mkuu acha ujuaji. Yote uliyompinga jamaa yamekuwa kweli
 
Hapo Iran utawalani kuna Wayahudi kibao kama ilivyo Russia

Unamsokomeza Rais kwenye Chopa yenye abiria 9?

Wairan wenyewe tangu jana wanajiuliza maswali mengi Sana na hilo la hali ya hewa hawalitilii maanani
Ok ni sawa hii hoja yako pia inaweza kuwa na mashiko but bado nashindwa kusema inatoa hitimisho la Israel kuhusika.Sawa wapo wayahudi kibao kwenye utawala huo.Je,kwenye hili tukio mchango wao ni nini? Kwamba ndio wanaoratibu safari za rais wa Iran,kwamba rubani alikuwa myahudi?Na kwanini wayahudi wafanye hivi sasa wakati mda tu uhasama kati ya Israel na Iran ulikuepo?. Hii hoja bado inashida lakini tuwe na subra kila kitu kitawekwa wazi
 
Ishakuwa confirmed mkuu acha ujuaji. Yote uliyompinga jamaa yamekuwa kweli
Confirmed kwamba Israel kahusika au vifo? Kama vifo sawa lakini usiniambie habari za Israel kuhusika tuliza kichwa hili tukio naangalia mwenyewe kwenye reporting za media
 
Zana za Hezbollah zimeishtua Dunia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸŒŸ
 
Confirmed kwamba Israel kahusika au vifo? Kama vifo sawa lakini usiniambie habari za Israel kuhusika tuliza kichwa hili tukio naangalia mwenyewe kwenye reporting za media
Mkuu, kubali huna unalolijua, ulichopinga na ulichoandika sasa hivi ni kama unatapa tapa tu bhana
 


NIMEWAINULIA KOFIA HAWA JAMAA. WAO KUMBE HUWA WANAKIMBIZA MWIZI KIMYA KIMYA....
 
Wagalatia tunasema mungu wa Israeli kawapiga
 
Umedhihirisha uchanga wako kwenye medani za diplomasia na ujasusi,Siri za nchi hazitembei zote na kiongozi mkuu wa nchi,ni mengi tu hajui,halafu uhangaike kumuua Biden wakati unajua Kamala Harris ataapishwa kuwa rais na mambo yataendele!!
Unadhani Biden na Kamala wana misimamo inayofanana sana?
 
Mkuu, kubali huna unalolijua, ulichopinga na ulichoandika sasa hivi ni kama unatapa tapa tu bhana
Soma vizuri toka mwanzo nlikuwa naongelea nini kwamba wewe una taarifa za tukio kupita walio kwenye eneo la tukio sio? Hakuna sehemu nlimkatalia mtu kuhusu vifo(kwanza mpaka naenda kulala saa saba bado taarifa za vifo ilikuwa bado) hoja yangu ilikuwa mtu kuleta story mara Israel kahusika mara ujasusi.Hebu lete hizo taarifa ambazo zinasema ni kazi ya kijasusi au Israel kahusika uone kama ntakupinga
 
Zana za Hezbollah zimeishtua Dunia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸŒŸ
Hezbollah hana zana yoyote kiongozi ya kuleta maajabu duniani.Mtu anategemea auziwe silaha tu(Huyu ata bongo akikubali kuuza rasimali zake anaweza pambana naye)
 
Ni kweli amefariki... Kwa hiyo na wewe unaamini kwamba ameuwawa na hao sijui majasusi wa dunia.??
Ww Hadi muda huu unadhani ni nani kahusika kwa nini Ndege yake tu ianguke! usihamishe magoli
 
Ni kweli amefariki... Kwa hiyo na wewe unaamini kwamba ameuwawa na hao sijui majasusi wa dunia.??
Hili ndio swali la msingi.Mtu anaulizwa huo ujasusi huko wapi anaishia kuleta story za kusadikika.

Anayejua huo ujasusi ulivyofanyika aseme hapa nini kimetokea au kama ni mawazo yake basi ayapangilie vizuri hapa na atoe hitimisho la ujasusi wake tuone kama kuna mtu atampinga.

Nakama kasoma sehemu basi atoe hiyo source inayosema ni ujasusi.Otherwise hakuna ujasusi wowote hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…