Majasusi wa dunia wametuma Meseji ngumu kwa Putin na washirika wake

Majasusi wa dunia wametuma Meseji ngumu kwa Putin na washirika wake

Ww Hadi muda huu unadhani ni nani kahusika kwa nini Ndege yake tu ianguke! usihamishe magoli
Tuseme kupata hitilafu kwa ndege hiyo kumetokana na sababu za kimawasiliano...

Tujiulize je hiyo ndege inaweza kuongozwa na mtu tofauti na Rubani wake..?? Kama ndio, basi uwezekano huo wa kuuwawa upo...

Je walipoteza uelekeo na mawasiliano na watu wa chini mara baada ya kuwa angani..??


Basi tuseme imelipuliwa, je kuna ishara yoyote hadi sasa kuonyesha imelipuliwa..??

Je kuna movement yoyote ya kutiliwa shaka kabla/baada ama wakati wa hafla iliyomkutanIsha Raisi na rais wa Azerbaijan..??

Kama ataleta taarifa ambayo ina moja ya hayo mambo kutokea kabla ya tukio, nitaamini kwamba ameuwawa, vinginevyo ni hisia tu ambazo hata mm ninazo kutokana na

_Viongozi wengi wa Iran wamekufa kwenye ajali kama hiyo na ikasemwa wameuwawa

_Nilikutana na taarifa kwamba kuna ndege ya US airforce ilitua Azerbaijan muda wa tukio...

_Rais wa Marekani kuita kikao cha dharura baada kuthibitishwa kwa kifo cha rais wa Iran

_Urusi kafanya kikao cha dharura na balozi wa Iran nchini Urusi

Lakini pia kunahatari kubwa mbeleni, ambayo kila mtu anajaribu kuiepuka
 
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha.

Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi wakile kimetokea.
Wengi hawajuwi kile kiponyuma ya hili tukio ila Kuna vitu vya muhimu vimepotea kuliko maisha.

Uwenda sasa siri zote za Iran na marafiki zake zimetiwa kiganjani mwa wanaume na wababe wadunia na uwenda vita ya mashariki ya kati itasimama pia Ukraine vita Mrusi anarudisha majeshi nyuma.

Rais anatembea na Ofisi nahiyo Ofisi ndio macho ya majasusi yapo ukipoteza beg la Rais umepoteza Siri za Taifa kwa sasa Ninapo andika Siri za Irani zimesha patikana yaani watatekenywa mpaka walegee yaani Siri zote mikononi mwa wanaume wasio julika Iran hawatolia kumpoteza Rais watalia kutopatikana kwa begi muhimu lenye taarifa za Siri za Taifa lao.
Uwenda wakakuta manyoya au uwenda maiti zisionekane milele tetesi jamani msinibane ngede.
Mzee wakukamata majasusi nakuwatoa macho anatetema maana hata vikosi hatari vya majasusi wa Urusi hawatoambulia manyoya nibalaa juu ya balaa Putin na washirika zake hawaamini mpaka sasa kile kimetokea na uwenda kama nilivyokwisha Tabiri vita itasimama ghafla. Nakama haisimami wababe wakivita watazima Engine nyingine this time China watajifukia keep cool and keep 🤐🤐🤐🤐

Wazee wakidoni wanataka jamaa aende kwenye ........ Wamalize kazi nyumbani.

Ilihawajamaa kuwa nimiamba helicopter tatu moja imeangushwa na ndio ya Rais. Mtu ambaye inasadikika ndio was next Ayatollah
Hatujuwi Nia yao ni nn ila Mungu ndie anajuwa.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Td_6y0LUDZw

Je wajuwa putin hakufika kwa msiba soma hii makala
 
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha.

Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi wakile kimetokea.
Wengi hawajuwi kile kiponyuma ya hili tukio ila Kuna vitu vya muhimu vimepotea kuliko maisha.

Uwenda sasa siri zote za Iran na marafiki zake zimetiwa kiganjani mwa wanaume na wababe wadunia na uwenda vita ya mashariki ya kati itasimama pia Ukraine vita Mrusi anarudisha majeshi nyuma.

Rais anatembea na Ofisi nahiyo Ofisi ndio macho ya majasusi yapo ukipoteza beg la Rais umepoteza Siri za Taifa kwa sasa Ninapo andika Siri za Irani zimesha patikana yaani watatekenywa mpaka walegee yaani Siri zote mikononi mwa wanaume wasio julika Iran hawatolia kumpoteza Rais watalia kutopatikana kwa begi muhimu lenye taarifa za Siri za Taifa lao.
Uwenda wakakuta manyoya au uwenda maiti zisionekane milele tetesi jamani msinibane ngede.
Mzee wakukamata majasusi nakuwatoa macho anatetema maana hata vikosi hatari vya majasusi wa Urusi hawatoambulia manyoya nibalaa juu ya balaa Putin na washirika zake hawaamini mpaka sasa kile kimetokea na uwenda kama nilivyokwisha Tabiri vita itasimama ghafla. Nakama haisimami wababe wakivita watazima Engine nyingine this time China watajifukia keep cool and keep 🤐🤐🤐🤐

Wazee wakidoni wanataka jamaa aende kwenye ........ Wamalize kazi nyumbani.

Ilihawajamaa kuwa nimiamba helicopter tatu moja imeangushwa na ndio ya Rais. Mtu ambaye inasadikika ndio was next Ayatollah
Hatujuwi Nia yao ni nn ila Mungu ndie anajuwa.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Td_6y0LUDZw


Putin ameangushiwa kitu kizito
Meghala ya silaha yamelipuka

View: https://m.youtube.com/watch?v=YsjTO_SXqEg

Jifunze kwanza kuandika
 
Back
Top Bottom