Majasusi wa Marekani wafichua namna walivyoipeleleza Tanzania

Ukisema itasaidia mini km hukuweza sema kabla? Au utadai Leo usalama wetu sio Nouma km mnavyotuambia siku nyingine? Ujamaa ni laana. Wakati bado mpo na gia ya vichaa wao wana via nyingi pamoja gia ya businessmen,wanaingia hadi ikulu.vichaa mwisho wenu campo. Ndio maana mnashika gongo na upinzani.
 
Sasa iko tepetepe ndebendebe tanzania yangu
 
Report yote iko kwenye udodosaji wa kwenye vitabu na maandiko kitambo iwapo tu kama mtu ni msomaji mpana. Asante kurzweil
 
Nchi yenyewe ndogo sanaa, haiwezi iumiza Marekani kuifanya lolotee
Udogo wa nchi haumaanishi udhaifu! Kama Tanzania ni weak kama unavyosema isinge kua na influence ya kupatikana kwa Uhuru kwa nchi nyingi za Afrika ya kusini, vile vile usingeona ni namna gani jamaa walivyokua na hasira kwakua wameshindwa kumcontrol nyerere au kumuinfluence kwa namna yoyote ile!
 
Mkuu ukiwa mkweli ushindi we vita sio wa mbwa au bunduki. Tanzania ilitumika na nchi zenye maslahi. Ndio maana nchi tulizozikomboa wademocrasia na usitawi kuliko sisi. Sisi tulitumika kufanya tusivyovijua
 

Je unajua ni sababu zipi zilifanya Tanganyika wakaungana na Zanzibar? Kwanini wazanzibar waliopinga huo muungano walinyamazishwa na wengine wakafukuzwa?
 

Ni enzi hizo za Nyerere,sasa hivi Tanzania haiwezi ata kupatanisha nchi zenye mgogoro mfano hapo Burundi. Wamemkataa Mkapa kwasababu ya upumbavu unaofanywa na viongozi wa ccm.
 
Tanzania ya sasa vyombo vyetu vya ujasusi vipo busy kumtafuta aliyeeneza uzushi wa kuwa tz Ina zika
 
The good old days.
 
Ni enzi hizo za Nyerere,sasa hivi Tanzania haiwezi ata kupatanisha nchi zenye mgogoro mfano hapo Burundi. Wamemkataa Mkapa kwasababu ya upumbavu unaofanywa na viongozi wa ccm.
Mkapa have uchaguzi si alikuwa kituko.wenzetu walimwona na kumjua.
 
Ni enzi hizo za Nyerere,sasa hivi Tanzania haiwezi ata kupatanisha nchi zenye mgogoro mfano hapo Burundi. Wamemkataa Mkapa kwasababu ya upumbavu unaofanywa na viongozi wa ccm.
Sioni tatizo lolote lile kwa ccm, ila wapo watu wanaojaribu kuiharibu image ya ccm lakini hawatafanikiwa. Wengine wameamua kuondoka sasa mnaohuko upinzani! Ccm ni ile ile!
 
Sioni tatizo lolote lile kwa ccm, ila wapo watu wanaojaribu kuiharibu image ya ccm lakini hawatafanikiwa. Wengine wameamua kuondoka sasa mnaohuko upinzani! Ccm ni ile ile!

Ccm imekufa siku nyingi sana. Hiyo iliyopo ni saccos ya watu kujipigia pesa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…