Majasusi wa Marekani wafichua namna walivyoipeleleza Tanzania

Majasusi wa Marekani wafichua namna walivyoipeleleza Tanzania

Nimekipenda kipande walicho admit kwamba "they were frustrated because of their inability to control or influence Nyerere......."
But challenges make them stronger.Which in turn is not what we need or want km usalama wetu wangekuwa smart.
 
hizi Document ni nzuri kujifunzia sisi vijana ambao huwa tunakurupuka tu na mambo ya siasa especial linapokuja suala ya kitaifa mfano Zanzibar yakitokea matatizo sisi ndio wa kwanza ku support ujinga na kupingana na watangulizi wetu ambao wanajua mengi nyuma ya pazia mfano hio ya muungano wa zanziba kumbe walikua wanajua ulivyokua una waafect marekani na wakataka kuuvunja na sisi tulivyo wajinga vijana tukashabikia na mavurugu kibao kumbe hatujui kitu zaidi ya kufunga zipu na kukojoa pumbavu sana hizi Doc ni zamuhimu sana but still utakuta vijana hatusoma kama tulivyologwa hatupendi kusoma, kwakweli inabidi tuwe wataifa kwelikweli linapofika suala la kitaifa weka pembeni u ccm, u chadema na kupigania taifa letu- Hongera sana BABA WA taifa na utakuta vijitu kama vikina Tundu lisu vinatukana hata bila kujua what these people have been going through its a shame kwakweli tujue kuenzi wazee wetu
They were frustrated because of their inability to control Nyerere.........

Ndugu nilibahatika kukaa na kupiga stori na waziri wa ulinzi wa zamani enzi za Nyerere kuhusu muungano na kwa nini tuliungana akiainisha sababu kubwa,basi tangu siku hiyo ninamshangaa sana mtu anaepinga hii union badala ya kupendekeza kipi kiboreshwe.

Wengi wetu wanamihemko ya kisiasa thats why they dont see the bigger picture.
 
Tukisema jamaa walimuua kuna wanaobisha na tukisema ubepari umetumia gharama kubwa kuua ujamaa na wana ujamaa watu wanapinga. Marekani ametumia mbinu nyingi sana kuhakikisha ujamaa unakufa kwa masrahi yake lakini hawatoweza. Wataua watu lakini moyoni tutabaki na imani yetu ya ujamaa kwasababu ubepari haukuletwa kutusaidia bali kukidhi masrahi ya weupe

Acha mawazo mgando!
The world has changed my friends!
 
Pumbavu sana wewe na Trump wako. Mwanaume/ mwanamke mzima unashindwa kufight mwenyewe unamtegemea Trump?! Kwa lipi hasa? Acha umama mama, napiga picha huyo Trump asingekuwepo ungeficha mkia! Ukaufyata?!
Kweli wewe ni ushuzi.
endelea kufua Pichu kwa Lipumba utabakia kukariri ujinga mpaka unang'oka meno wenzako akina Le-mutuz walikaa gheto wakajisahau mpaka wanazeeka hawana wake matokeo yake ni kuwa wapambe wa jinga jinga kama ww zero,Tanzania ya sasa kuna Ubabe na Wapinzani hawana pa kupumulia kutwa wanafungwa na kupelekwa mahakamani unataka wafanyeje ili wapate haki zao? au unapenda vita ya Bunduki? Nina wasiwasi na wewe! huyo house boy unayelala nao atakuwa kakupa mimba umechanganyikiwa.
 
ndio neneo uliloliona katika Doc zote hizo, ila haujana walivyokua US government was increasingly frustrated by its inability to control or influence Nyerere, kwa muda huo Tanzania haikua na technologia na uwezo wowote wa kifedha still mwalimu alikua vizuri
Huyu hana tofauti na yule anaejiita mwanasheria huku akiacha mwanachama wake nguli akiteketea gerezani.

Nyerere hakuwa 100% perfect lakini mambo yaliyo mengi alijitahidi sana,na kunasehem nyingine US wameadmit kwamba wali underestimate Nyerere's influence baada ya kuachia ngazi........
 
Problem hapa tunajadili what they spied and not how they spied. Hata thread ipo katika how ila ndani ipo zaidi katika what.

Inaonyesha jinsi tuna misread issues pia jinsi tuko easily influenced.
 
Shirika la Ujasusi la Marekani limetoa nyaraka zenye jumla ya kurasa milioni 12 zikionyesha jinsi nchi hiyo ilivyokuwa ikiifanyia ujasusi Tanzania.

Katika nyaraka hizo zimeonye pia namna taifa la China lilivyokuwa na ushawishi kwa Tanzania katika masuala ya Siasa, Uchumi na Jeshi na shughuli mbalimbali za Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

=======
THE United States Central Intelligence Agency (CIA) has made public more than 12 million pages of declassified documents online, some of which reveal the US spy agency's history of spying on Tanzania.

The extraordinary database, which was put online last week, exposes previously top secret internal CIA reports outlining America's longstanding concerns on China's political, military and economic influence in Tanzania and the inner workings of former president Julius Kambarage Nyerere's government.

The files show how the CIA had an unfavourable view of Nyerere, who was well-respected globally as a great statesman and leader of the pan-African movement.

The decades-old treasure trove of US intelligence reports reveal how the US was apparently uneasy with Nyerere's leadership of the African liberation struggle, describing him as a "fanatic."

The intelligence files suggest that the US government was increasingly frustrated by its inability to control or influence Nyerere, although he was a Western educated African leader.

In one secret special CIA report dated 21 May 1965, US intelligence officers expressed concern at Nyerere's pan-Africanist position, just four years after Tanzania gained its independence from Britain.

"Tanzania under President Julius Nyerere has been drifting slowly but steadily leftward. Today, it has moved into the vanguard of Africa's radical states and offers the Chinese communists an unusually promising opportunity to penetrate the (African) continent," said the top secret CIA file titled "Tanzania Taking the Left Turn."

"This process (of Chinese influence) has been under way at varying speeds since Tanganyika became independent ... but has been accelerated by Nyerere's determination to lead the struggle for the liberation of southern Africa and by Tanganyika's union with Zanzibar. Far from coming under moderate Tanganyikan control, Zanzibar has continued to be a centre from which radical, pro-Communist influences radiate."

In its files, the CIA makes a somewhat skewed opinion of Nyerere in the early years of Tanzania's independence, describing him as a "weak executive who has surrounded himself with radical lieutenants."

"On the question of African liberation, Nyerere is a fanatic. Beneath a charming personality which disarms many Westerners, he is a man of strong conviction, prepared to pay almost any price to achieve a united Africa ruled by black Africans," said the dossier.

"Hypersensitive to any suggestion of outside interference, Nyerere has not hesitated to expel US diplomats and reject West German aid regardless of the consequences."

The sensitive CIA documents noted how China beat the US by becoming the first nation to establish an embassy in Dar es Salaam after Tanganyika's independence and hence "attained the most influential and trusted position."

"China's presence and prestige in Tanzania has increased steadily ... The Chinese may eventually press too hard in Tanzania, but so far they have been more successful than the West or the Soviets in relating themselves to the Africans," said the file.

MILITARY ESPIONAGE

In July 1971, the CIA conducted a secret intelligence case study in Tanzania titled "Chinese Communist Economic and Military Aid to Tanzania," which shed more light into America's decades-old fears about “all-weather” Tanzania-China relations.

"Communist China has established itself as the principal foreign presence in Tanzania during the past three years. The Chinese are now the primary source of arms and training for Tanzania's military establishment," said the report.

The intelligence files also reveal that the CIA conducted espionage activity to identify possible successors to Nyerere when he leaves office.

In November 1982, the CIA prepared a 25-page intelligence assessment report titled "Tanzania: Nyerere and Beyond" which looked into possible scenarios for Nyerere's possible exit from power, including a military coup.

"President Julius Nyerere's hold on power is slipping, in our judgement, mainly because he and his government are having increasingly difficulty dealing with Tanzania's numerous and deepening economic problems," said the intelligence report.

"US embassy officials in Dar es Salaam report that public criticism of Nyerere has become more widespread as these problems mount. Although we have seen no evidence of any organised opposition, discontent is growing among government officials, military personnel and the general public."

The report also assessed various possible successors to Nyerere in 1982, including former prime minister Edward Sokoine, former army chief Gen. David Musuguri, planning and economic affairs minister Kighoma Malima, Tanzania's ambassador to the United States Paul Bomani, prime minister Cleopa Msuya, Tanzania's ambassador to Canada Benjamin Mkapa and personal assistant to the president, Joseph Butiku.

In October 1986, the CIA produced yet another intelligence dossier titled "Tanzania: Prospects for Change," which was drafted just a year after Nyerere's decision to voluntarily step down.

The US seemed to under-estimate Nyerere's influence on key decisions in Tanzania from behind the scenes after his retirement, saying he would only do so for just a couple of years after his retirement in 1985.

"We believe that former president Julius Nyerere's far-reaching influence will continue to affect the character of Tanzanian politics over the next two years, despite his decision to resign as chief of state ... Nyerere still holds key decision-making power that can undercut the government's authority and give continuing influence to his proteges and followers," it said.

Source: IPP Media
They had to spy on Tanzania because of its influence to other African countries na suala la ujamaa lilikuwa linafanikiwa kwa kiasi kikubwa sana so they were afraid what if the whole continent adopt ujamaa....
 
Wewe ndo pumbavu huna akili na hujui lolote kuhsu nchi yako wala Marekani!
CIA hata siku moja hawajalala kuhusu kuipeleleza Tanzania na nchi zingine duniani.
Maadamu Mmarekani ana maslahi ya kiuchumi na kijeshi kuhsu Tanzania na nchi zingine duniani kamwe hataacha kuipeleleza Tanzania. Marekani ana maeneo mengi tu kawekeza hapa Tanzania na anaendelea kufanya hivo.
Sasa hivi kuna Trump ameingia na sera zake hazitabiliki anaweza kuimarisha upepelezi wa CIA kwa serikali za Kiafrika zenye kuendekeza udikteta ikiwemo Tanzania na kuzidhughulikia ipasavyo! Trump ameshaweka wazi jamaa hataki ujinga!!!!!
Na wewe ni mfamaji, udikteta unaufahamu, endeleza unyumbu wako wakati wenzio huko Singida wameishastuka na wanamfahamu dikteta ni nani? Soma #2 hapo chini, ukishamaliza useme je huyo dikteta wenu wa Ufipa na Singida ataondolewa na nani 2020
IMG-20170121-WA0014.jpg
 
Ccm haijafa mkuu! Ccm INA hazina kubwa sana ya watu waadilifu na wazalendo!
CCM ina watu waadilifu na wazalendo toka lini.?

Bwihi.. labda wengine hatuishi Tanzania
 
hizi Document ni nzuri kujifunzia sisi vijana ambao huwa tunakurupuka tu na mambo ya siasa especial linapokuja suala ya kitaifa mfano Zanzibar yakitokea matatizo sisi ndio wa kwanza ku support ujinga na kupingana na watangulizi wetu ambao wanajua mengi nyuma ya pazia mfano hio ya muungano wa zanziba kumbe walikua wanajua ulivyokua una waafect marekani na wakataka kuuvunja na sisi tulivyo wajinga vijana tukashabikia na mavurugu kibao kumbe hatujui kitu zaidi ya kufunga zipu na kukojoa pumbavu sana hizi Doc ni zamuhimu sana but still utakuta vijana hatusoma kama tulivyologwa hatupendi kusoma, kwakweli inabidi tuwe wataifa kwelikweli linapofika suala la kitaifa weka pembeni u ccm, u chadema na kupigania taifa letu- Hongera sana BABA WA taifa na utakuta vijitu kama vikina Tundu lisu vinatukana hata bila kujua what these people have been going through its a shame kwakweli tujue kuenzi wazee wetu
Siku tukifikia hatua hii ya kufia nchi na siyo vyama tutakuwa tumeshinda tayari..
 
But challenges make them stronger.Which in turn is not what we need or want km usalama wetu wangekuwa smart.
Kwa wakati ule Tz haikuwa na technology yeyote ndugu na marekani anamspy hadi mjerumani ambaye yuko almost self sufficient.....sembuse bongo?
 
endelea kufua Pichu kwa Lipumba utabakia kukariri ujinga mpaka unang'oka meno wenzako akina Le-mutuz walikaa gheto wakajisahau mpaka wanazeeka hawana wake matokeo yake ni kuwa wapambe wa jinga jinga kama ww zero,Tanzania ya sasa kuna Ubabe na Wapinzani hawana pa kupumulia kutwa wanafungwa na kupelekwa mahakamani unataka wafanyeje ili wapate haki zao? au unapenda vita ya Bunduki? Nina wasiwasi na wewe! huyo house boy unayelala nao atakuwa kakupa mimba umechanganyikiwa.
Naona umepanic sana, vipi wewe bado unamfulia maalimu seif nguo zake?
 
Pumbavu sana wewe na Trump wako. Mwanaume/ mwanamke mzima unashindwa kufight mwenyewe unamtegemea Trump?! Kwa lipi hasa? Acha umama mama, napiga picha huyo Trump asingekuwepo ungeficha mkia! Ukaufyata?!
Kweli wewe ni ushuzi.
Kwa nini mkiambiwa kuhusu udikteta wenu mnatoka povu hadi sehemu ya nyuma?
 
Na wewe ni mfamaji, udikteta unaufahamu, endeleza unyumbu wako wakati wenzio huko Singida wameishastuka na wanamfahamu dikteta ni nani? Soma #2 hapo chini, ukishamaliza useme je huyo dikteta wenu wa Ufipa na Singida ataondolewa na nani 2020View attachment 462684
Mladi wenu wa Udalali wa Siasa mmechukua pesa za Umma na kusafiri kwenda Singida kufanya Udalali wa siasa mnatumia baa la njaa kuwanunua wenye njaa kisha mmewafundisha waandike barua hizo,tambua kuwa watanzania wa sasa wanajua siasa za maji taka lazima zielekezwe kwa Lisu ili mpate kupumua maana anatishia ulaji wenu kwenye Kitengo cha fitna,uchakachuaji,uchonganishi,uzushi na kamati za Ufundi,mbinu zenyewe hizi ni za kizamani sana kila mwenye Akili atajua ni fitna zenu tu mpate kupungua njaa zenu kwa kisingizio kuwadhoofisha Wapinzani.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Alan Hutchinson anaandika katika kitabu chake ' CHINA AFRICA REVOLUTION' Kila mgeni aliyeingia TZ hasa kama anatoka nchi usiyo rafiki wa JK,kipindi cha miaka ya 1960 alihesabiwa mpelelezi(Jasusi) wa mabeberu ya magharibi; watalii waliokuja na kamera zilitaifishwa
 
hizi Document ni nzuri kujifunzia sisi vijana ambao huwa tunakurupuka tu na mambo ya siasa especial linapokuja suala ya kitaifa mfano Zanzibar yakitokea matatizo sisi ndio wa kwanza ku support ujinga na kupingana na watangulizi wetu ambao wanajua mengi nyuma ya pazia mfano hio ya muungano wa zanziba kumbe walikua wanajua ulivyokua una waafect marekani na wakataka kuuvunja na sisi tulivyo wajinga vijana tukashabikia na mavurugu kibao kumbe hatujui kitu zaidi ya kufunga zipu na kukojoa pumbavu sana hizi Doc ni zamuhimu sana but still utakuta vijana hatusoma kama tulivyologwa hatupendi kusoma, kwakweli inabidi tuwe wataifa kwelikweli linapofika suala la kitaifa weka pembeni u ccm, u chadema na kupigania taifa letu- Hongera sana BABA WA taifa na utakuta vijitu kama vikina Tundu lisu vinatukana hata bila kujua what these people have been going through its a shame kwakweli tujue kuenzi wazee wetu
Plz fafanua huo muungano ulikuwa unawaathiri vipi wamarekani? Hv unajua kuwa huo muungano uliratibiwa na uingereza kwa ushirika na marekani chini ya Zanzibar Action Plan(ZAP)?
 
Mladi wenu wa Udalali wa Siasa mmechukua pesa za Umma na kusafiri kwenda Singida kufanya Udalali wa siasa mnatumia baa la njaa kuwanunua wenye njaa kisha mmewafundisha waandike barua hizo,tambua kuwa watanzania wa sasa wanajua siasa za maji taka lazima zielekezwe kwa Lisu ili mpate kupumua maana anatishia ulaji wenu kwenye Kitengo cha fitna,uchakachuaji,uchonganishi,uzushi na kamati za Ufundi,mbinu zenyewe hizi ni za kizamani sana kila mwenye Akili atajua ni fitna zenu tu mpate kupungua njaa zenu kwa kisingizio kuwadhoofisha Wapinzani.
Sasa hivi mmebaki wenyewe huku JF na unyumbu wenu wa mitandaoni ila huko site wenzenu wameisha stukia utapeli wenu wameanza kurudi njia kuu.

Dhambi yenu kuu ilikuwa hapa
tapatalk_jpeg_1484631408981.jpg
 
Back
Top Bottom