Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
ukiwa makini utaona hapa kuna....................................on .............................. Sitaki kufungwa mimi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini kuna mmoja ashakiri kuwa mwenzake ngome zake tangu enzi (2000s. Ago) uimara wake haujateteleka na wala taiga lake kubwa halijafanikiwa kuzitisha mbaya zaidi ikagundulika kuwa na security agents wake(US spies) wako loyal vatican-Jesuits SocietyHapo naona lao moja tu
Ndiyo maana mimi uwa nina mashaka na sifa anazopewa mandela.
Ukiona mzungu anamsifia mwafrika na kumkuza sana ujue alikuwa kibaraka wao.
I think at some point mandela walimbadili akawa kibaraka wao maana nyerere kaipigania sana afrika kuliko viongozi wengi lakini mandela anasifika sana na kujulikana sana kuliko nyerere ndiyo maana mugabe analitambua hilo
Yah nyerere katumia resources nyingi sana kuwasaidia waafrika kupigania uhuru lakini madiba anapewa sifa hatari.Nna msimamo kama wako mkuu mchango wa mwalimu kwa bara letu ulikua mkubwa kuliko wa madiba ila madiba ndio anaimbwa na kuvuma nadhani alkua mwenzao kama ulivosema
Hapo inaonesha jinsi walivyoshindwa kumsoma Mwl NyerereMajina kibao mwisho wa siku Mwinyi akawasha moto.
-MakeTanzaniaGreatAgain
Wao ndio gaidi namba moja! Cha ajabu hawajioni, wanaona wengine.Marekani wanapenda kweli kujiingiza kwenye mambo ya nchi nyengine wakichokonolewa wao wanaanza kulialia,ukifuatilia kwa ukaribu sera ya mambo ya nje ya marekani utaelewa kwanini kila siku wanalipuliwa,wamesha assist mapinduzi,na destabilization ya nchi nyingi mno,wao ndio kichocheo cha matatizo yaliyopo sasa middle east,washaua watu wengi mno,lakini cha ajabu wakishambuliwa wao wanajifanya kulalamika kama wameonewa vile.Kama ukiwahi kujiuliza kwanini nchi za magharibi zinakumbwa na matukio mengi ya kigaidi jaribu kufuatilia kinagaubaga jinsi zilivyohusika kuharibu mambo ya nchi nyengine,hususan africa na mashariki ya kati utapata jibu.
Hembu weka sawa.Kama Zimbabwe,Msumbiji na Angola?
Lisipotembea itakusaidia nini wewe sasa?Kuna sifa nyingine ni za kipuuzi kwelikweli.Na wewe ni mdau wa usalama wa nchi una akili ndogo hivi?Unatoka misuli kama vile unadhani chadema sio mdau wa mafanikio ya nchi.Upuuzi wenu kama huu ndio unawaoafanya mnatoka roho kama vile chadema ni adui.Stupid, eti haitokaa, wewe unadharau taifa kisa chama, ukae ukijua chadema sijui ukiwa nyinyi ni scrapper, yaani ni gari ambalo halitakuja kutembea tena milele na milele, amina.
Acheni kujidanganya wakuu,magaidi wapo na wanakwenda itawala dunia.Kama ilivyo majambazi,wakishakuwa huru na kujita kwamba wanapora matajiri ili kuwaokoa masikini.Msioiba mataitwa majambazi wakati mnapigana nao.Stupid world imefanya makosa kuonekana ni ukombozi.Wao ndio gaidi namba moja! Cha ajabu hawajioni, wanaona wengine.
Hizo akili ni za stori ambazo tunaita too good to be true. Nchi ipi sasa ambayo ccm hawana uwezo wa kuvuruga chochote chema kilichoanza?Vijana wapumbavu ni laana kwa taifa.Siku tukifikia hatua hii ya kufia nchi na siyo vyama tutakuwa tumeshinda tayari..
The the,wamebaki watu cheap sana. Wasioweza deliver ndio maana wanapewa pipi na juice. Ndio watuwakilishe kwa Trump?
Sasa si useme ni kipi hasa? Wabongo bana bila ww kuambiwa na huyo waziri pengine mpaka sasa ungekuwa mstari wa mbele kupinga muungano.They were frustrated because of their inability to control Nyerere.........
Ndugu nilibahatika kukaa na kupiga stori na waziri wa ulinzi wa zamani enzi za Nyerere kuhusu muungano na kwa nini tuliungana akiainisha sababu kubwa,basi tangu siku hiyo ninamshangaa sana mtu anaepinga hii union badala ya kupendekeza kipi kiboreshwe.
Wengi wetu wanamihemko ya kisiasa thats why they dont see the bigger picture.
Nnamashaka na motorcoordination yako.Sasa si useme ni kipi hasa? Wabongo bana bila ww kuambiwa na huyo waziri pengine mpaka sasa ungekuwa mstari wa mbele kupinga muungano.
Sasa umejua ila hutaki kusema tukueleweje?
Jinga sana ww.
Acha blah blah! Ni kipi alichokuambia huyo waziri mpaka ww kuunga mkono uwepo wa muungano?Nnamashaka na motorcoordination yako.
Nikitoka kiwandani nikiwa mtaani huwezi kujua nilichokifanya.