Majasusi wa Urusi (FSB) wambaini m-Ukraine aliyetega bomu Urusi na kumuua binti mwandishi wa habari (Darya Dugina)

Majasusi wa Urusi (FSB) wambaini m-Ukraine aliyetega bomu Urusi na kumuua binti mwandishi wa habari (Darya Dugina)

Urusi imewanywa wanajeshi 200 wa Ukraine kwenye shambulio la stesheni ya treni. Hizi ndio habari tulizozimiss kitambo.

SmartSelect_20220825-154548_Chrome.jpg
 
Nani kasema ameyumba kana sio maadui zaje?.we adui yako anaweza kukusemea vizuri
Hata ungeandika kwa herufi ndogo ungeeleweka tu Mkuu [emoji3].Hizo ni propaganda za Ki Comunist siku zote ndiyo maana hata N.Korea utaoneshwa watu wake wana maisha mazuri zaidi kuliko S.Korea wakati ki uhalisia ni Maskini wa kutupwa katika ukanda huo.Unasema Russia kila kitu anajitengenezea mwenyewe na hana shida,kama ni hivyo mbona kapigwa sanctions na ameyumba ki uchumi vibaya sana.
 
URUSI NDO TAIFA AMBALO KILA KITU UNACHOKIJUA WEWE KWA HAPA DUNIANI WANAJITENGENEZEA WENYEWE.WANANCHI WAKE UWEZI UKASIKIA WANAOMBA OMBA KAMA MATAIFA MENGINE,DUNIANI UKIWA NA (GESI,MAFUTA,MADINI NA CHAKULA) UWEZI UKAWA NA SHIDA.WE USHANGAI WATU WANACHANGISHANA KWA AJILI YA KUMCHANGIA ILA YEYE WALA HANA WASIWASI ANAZIDI KUONGEZA KIPIGO

Wachache watakuelewa mkuu, media za magharibi zimefankiwa sana kuwachota akili baadhi ya watu hapa Duniani, mara nyingi wanarudia rudia ngojera za CNN,BBC,VoA nk - inashangaza sana sana.
 
Back
Top Bottom