ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Nyie chekeni kwa sababu mna afya saa hiiKabisa na marketing pia, imagine unaenda na mgonjwa wako accidentally macho yamekutana na jeneza Zuri mpaka mwenyewe umelitamani, 😀 , M.Mungu atuepushie tu.
Ila wauza dawa wanaambiwa wasiweke maduka karibu na majengo ya serikali yanayotoa huduma za afyaWauza majeneza wameona waweke huduma karibu na wateja wao wakuu
Tuliza mshono watu wapigwe helaHabari wanaJamiiForums. Kwanza nimshukuru Mungu kwa uzima tulionao. Pili nishukuru kwa jukwaa hili ambalo linatupa fursa ya kutema nyongo zetu kwa usalama.
Kwa yeyote kati yetu ambaye ameshawahi kufika hospitali ya Mkoa wa Dar es Salaam (Hospitali ya Rufaa) atakubaliana na mimi kwamba kuna majeneza yanauzwa getini pale. Yaani kabla hujaingia hospitalini unakaribishwa na majeneza yakiuzwa kushoto na kulia mwa barabara. Jambo hili linaleta ukakasi kwelikweli kwa wagonjwa. Yaani linamnyong'onyesha mgonjwa anayeenda kupambania afya yake, kwamba asipotoboa jeneza linamhusu.
Mimi nadhani wauza majeneza wangetafuta sehemu nyingine angalau iliyojificha na siyo pale. Siamini kama ndio utaratibu wa hospitali kubwa za serikali. Kwa muono wangu mimi siyo sawa, na ninaomba mamlaka husika zichukue hatua haraka kurekebisha hili.
Jambo la pili tunaomba Serikali inunue jenereta kubackup umeme unapokatika kwenye hospitali kubwa. Amana kwa mfano, umeme ukikatika na huduma zote zinasimama mpaka urudi. Si sawa kwa hospitali ya Rufaa kukosa jenereta.
NB: Nimetumia Hospitali ya Amana kama kielelezo hai. Kama kuna Hospitali zingine zenye mazingira kama haya na zenyewe ziangaliwe.
Ahsante.
Wanachukulia poa ila kiukweli kila mmoja hapo nafsi yake inamsuta mkuuNyie chekeni kwa sababu mna afya saa hii
Kwa hiyo wateja huambiwa karibu TENA!?Wauza majeneza wameona waweke huduma karibu na wateja wao wakuu
Mbaya zaidi ukute ni biashara ya daktari unaenda kukutana naye mnafanya bagain uko uko🥴🥴🤣🤣Habari wanaJamiiForums. Kwanza nimshukuru Mungu kwa uzima tulionao. Pili nishukuru kwa jukwaa hili ambalo linatupa fursa ya kutema nyongo zetu kwa usalama.
Kwa yeyote kati yetu ambaye ameshawahi kufika hospitali ya Mkoa wa Dar es Salaam (Hospitali ya Rufaa) atakubaliana na mimi kwamba kuna majeneza yanauzwa getini pale. Yaani kabla hujaingia hospitalini unakaribishwa na majeneza yakiuzwa kushoto na kulia mwa barabara. Jambo hili linaleta ukakasi kwelikweli kwa wagonjwa. Yaani linamnyong'onyesha mgonjwa anayeenda kupambania afya yake, kwamba asipotoboa jeneza linamhusu.
Mimi nadhani wauza majeneza wangetafuta sehemu nyingine angalau iliyojificha na siyo pale. Siamini kama ndio utaratibu wa hospitali kubwa za serikali. Kwa muono wangu mimi siyo sawa, na ninaomba mamlaka husika zichukue hatua haraka kurekebisha hili.
Jambo la pili tunaomba Serikali inunue jenereta kubackup umeme unapokatika kwenye hospitali kubwa. Amana kwa mfano, umeme ukikatika na huduma zote zinasimama mpaka urudi. Si sawa kwa hospitali ya Rufaa kukosa jenereta.
NB: Nimetumia Hospitali ya Amana kama kielelezo hai. Kama kuna Hospitali zingine zenye mazingira kama haya na zenyewe ziangaliwe.
Ahsante.
Mbona kkoo mifuko ya kubebea bidhaa iko hapohapo dukani?Mkuu uko sahihi!
Yaani mgonjwa akiyaona anakuwa na wasi wasi kwamba huenda anaenda kukata roho!
Wayaweke mbali kabisa.
Bado hujashirikisha ubongoBiashara yoyote inalenga potential customers hiyo ndo sehemu sahihi ya hiyo display ya biashara, huwezi kupeleka biashara ya vipuri vya magari karibu na hospitali sio mahara pake au upeleke jeneza jaribu na bar au guest house.
Hujayaona pale Muhimbili?na sasa ni kama fasheni kila hospitali hapa nchini utakutana na mageneza mlangoni.Habari wanaJamiiForums. Kwanza nimshukuru Mungu kwa uzima tulionao. Pili nishukuru kwa jukwaa hili ambalo linatupa fursa ya kutema nyongo zetu kwa usalama.
Kwa yeyote kati yetu ambaye ameshawahi kufika hospitali ya Mkoa wa Dar es Salaam (Hospitali ya Rufaa) atakubaliana na mimi kwamba kuna majeneza yanauzwa getini pale. Yaani kabla hujaingia hospitalini unakaribishwa na majeneza yakiuzwa kushoto na kulia mwa barabara. Jambo hili linaleta ukakasi kwelikweli kwa wagonjwa. Yaani linamnyong'onyesha mgonjwa anayeenda kupambania afya yake, kwamba asipotoboa jeneza linamhusu.
Mimi nadhani wauza majeneza wangetafuta sehemu nyingine angalau iliyojificha na siyo pale. Siamini kama ndio utaratibu wa hospitali kubwa za serikali. Kwa muono wangu mimi siyo sawa, na ninaomba mamlaka husika zichukue hatua haraka kurekebisha hili.
Jambo la pili tunaomba Serikali inunue jenereta kubackup umeme unapokatika kwenye hospitali kubwa. Amana kwa mfano, umeme ukikatika na huduma zote zinasimama mpaka urudi. Si sawa kwa hospitali ya Rufaa kukosa jenereta.
NB: Nimetumia Hospitali ya Amana kama kielelezo hai. Kama kuna Hospitali zingine zenye mazingira kama haya na zenyewe ziangaliwe.
Ahsante.
Yaani umesema kweli kabisa. Mimi nikipita pale hufumba macho. Inatia simanzi kwa mgonjwa inaleta hofu na mshituko. Wahusika toeni maelekezo kwa wauzaji wasi display namna ilivyo sasa.Habari wanaJamiiForums. Kwanza nimshukuru Mungu kwa uzima tulionao. Pili nishukuru kwa jukwaa hili ambalo linatupa fursa ya kutema nyongo zetu kwa usalama.
Kwa yeyote kati yetu ambaye ameshawahi kufika hospitali ya Mkoa wa Dar es Salaam (Hospitali ya Rufaa) atakubaliana na mimi kwamba kuna majeneza yanauzwa getini pale. Yaani kabla hujaingia hospitalini unakaribishwa na majeneza yakiuzwa kushoto na kulia mwa barabara. Jambo hili linaleta ukakasi kwelikweli kwa wagonjwa. Yaani linamnyong'onyesha mgonjwa anayeenda kupambania afya yake, kwamba asipotoboa jeneza linamhusu.
Mimi nadhani wauza majeneza wangetafuta sehemu nyingine angalau iliyojificha na siyo pale. Siamini kama ndio utaratibu wa hospitali kubwa za serikali. Kwa muono wangu mimi siyo sawa, na ninaomba mamlaka husika zichukue hatua haraka kurekebisha hili.
Jambo la pili tunaomba Serikali inunue jenereta kubackup umeme unapokatika kwenye hospitali kubwa. Amana kwa mfano, umeme ukikatika na huduma zote zinasimama mpaka urudi. Si sawa kwa hospitali ya Rufaa kukosa jenereta.
NB: Nimetumia Hospitali ya Amana kama kielelezo hai. Kama kuna Hospitali zingine zenye mazingira kama haya na zenyewe ziangaliwe.
Ahsante.
2090 nyie wote mtakua RIP kasoro mimisadly 2090 humu patakua na comments, reply na avatar za marehemu kibao
dah hakuna kitu kibaya kama kifo nachukia sana kifo mimi
Inawezekana😂CEO wa jf atakua mjukuu wa melo
Hii iko waziHata ww unaweza kuwa mteja wao saa yyte
Sina uhakika mkuu kwenye majenezaKwa hiyo wateja huambiwa karibu TENA!?
Kumbe hawaruhusiwiIla wauza dawa wanaambiwa wasiweke maduka karibu na majengo ya serikali yanayotoa huduma za afya