Majeneza ya kisiasa yasiyo na watu na hatma ya Taifa

Majeneza ya kisiasa yasiyo na watu na hatma ya Taifa

Nimesoma andiko lako lote neno kwa neno na mstari kwa mstari.lakini napingana na Baadhi ya maneno yako ambayo yanaharibu kabisa andiko lako zima.

Unaposema kuchagua na kuangalia aina ya Damu za kumwagwa unakuwa unamaanisha nini? Je Damu zipi zinatakiwa na kustahili kumwagwa na zipi hazistahili?

Nani anayepima ,kuthibitisha ,kuidhinisha na kutoa ruhusa ya kuwa Damu hii imwagwe na ya huyu isimwagwe au imwagwe kidogo?

Huyo mtu anatumia kigezo kipi kutoa idhinisho juu ya Damu ipi imwagwe na ipi isimwagwe? Huo mfumo wa kumwaga Damu za watu unasimamiwa na nani? Kwa sheria zipi? Kwa katiba ipi? Kwa mahakama ipi? Na kwa mamlaka ipi?

Kwanini kama mtu kafanya kosa asipelekwe tu mahakamani ili mahakama iamue? Kwanini Damu zingine zimwagwe kifichoni bila kufikishwa mahakamani na watu kusikiliza mwenendo mzima wa kesi na ushahidi wake?

Kwanini usingetoa ushauri wa kuwa hakuna anayestahili kumwaga Damu ya mtu yeyote yule wala kukatisha uhai wa yeyote yule na wala haitakiwi vitendo hivyo kufanyika hapa Nchini?

Kwanini unaziweka Damu za watanzania katika madaraja? Kwamba huyu Damu yake inastahili kumwagwa kutokana na makosa haya na huyu haitakiwi kumwagwa? Vipi kama mtoa idhini,ruhusa na mamlaka akatoa na kuruhusu kumwagwa kwa Damu ya mtu fulani kwa chuki zake tu binafsi au kwa kulinda cheo chake? Nani atarudisha uhai wa huyu aliyeonewa? Maana kama ni mahakamani kuna kukata rufaa na hatimaye mtu kupata haki yake.

Ningependa kukwambia na kukushauri kuwa usiweke Damu za watanzania katika madaraja wala usiwe mtoa hukumu ya kuwa huyu anatakiwa kuuwawa na huyu hastahili. Ni lazima tuseme kuwa hakuna mwenye haki ya kutoa wala kukatisha uhai wa mtanzania yeyote yule bila kujali itikadi za kisiasa au sababu ya aina yoyote ile. Ni lazima utawala wa sheria uzingatiwe na siyo watu kujichukulia sheria mkononi.

Kama mtu ana kosa la aina yoyote ile basi afikishwe mahakamani na ushahidi utolewe juu ya makosa ya mhusika na uamuzi ufanyike.haki itendeke na ionekane imetendeka.

Ni lazma tukatae Damu ya mtu yeyote yule kumwagwa.iwe ni ya kijana au mzee au mwanamke au mwanaume au Raia wa kawaida au Albino au vyovyote vile ni lazima tusema HAPANA kumwaga Damu katika ardhi yetu. Tusipande laana katika ardhi yetu na kuleta mikosi na nukusi hapa Nchini.

Mwisho naomba upitie maandiko yako yote ya siku za nyuma uone ulichokuwa ukiandika siku za nyuma na uone kama ulikuwa sahihi na vipi watu wanakuchukuliaje kwa sasa hasa unapotoa andiko kama hili.

Naweka kalamu yangu chini .nitakuja kushusha hoja zingine hapa .ngoja kidogo.
Akikujibu ni TAG.
 
Nimesoma andiko lako lote neno kwa neno na mstari kwa mstari.lakini napingana na Baadhi ya maneno yako ambayo yanaharibu kabisa andiko lako zima.

Unaposema kuchagua na kuangalia aina ya Damu za kumwagwa unakuwa unamaanisha nini? Je Damu zipi zinatakiwa na kustahili kumwagwa na zipi hazistahili?

Nani anayepima ,kuthibitisha ,kuidhinisha na kutoa ruhusa ya kuwa Damu hii imwagwe na ya huyu isimwagwe au imwagwe kidogo?

Huyo mtu anatumia kigezo kipi kutoa idhinisho juu ya Damu ipi imwagwe na ipi isimwagwe? Huo mfumo wa kumwaga Damu za watu unasimamiwa na nani? Kwa sheria zipi? Kwa katiba ipi? Kwa mahakama ipi? Na kwa mamlaka ipi?

Kwanini kama mtu kafanya kosa asipelekwe tu mahakamani ili mahakama iamue? Kwanini Damu zingine zimwagwe kifichoni bila kufikishwa mahakamani na watu kusikiliza mwenendo mzima wa kesi na ushahidi wake?

Kwanini usingetoa ushauri wa kuwa hakuna anayestahili kumwaga Damu ya mtu yeyote yule wala kukatisha uhai wa yeyote yule na wala haitakiwi vitendo hivyo kufanyika hapa Nchini?

Kwanini unaziweka Damu za watanzania katika madaraja? Kwamba huyu Damu yake inastahili kumwagwa kutokana na makosa haya na huyu haitakiwi kumwagwa? Vipi kama mtoa idhini,ruhusa na mamlaka akatoa na kuruhusu kumwagwa kwa Damu ya mtu fulani kwa chuki zake tu binafsi au kwa kulinda cheo chake? Nani atarudisha uhai wa huyu aliyeonewa? Maana kama ni mahakamani kuna kukata rufaa na hatimaye mtu kupata haki yake.

Ningependa kukwambia na kukushauri kuwa usiweke Damu za watanzania katika madaraja wala usiwe mtoa hukumu ya kuwa huyu anatakiwa kuuwawa na huyu hastahili. Ni lazima tuseme kuwa hakuna mwenye haki ya kutoa wala kukatisha uhai wa mtanzania yeyote yule bila kujali itikadi za kisiasa au sababu ya aina yoyote ile. Ni lazima utawala wa sheria uzingatiwe na siyo watu kujichukulia sheria mkononi.

Kama mtu ana kosa la aina yoyote ile basi afikishwe mahakamani na ushahidi utolewe juu ya makosa ya mhusika na uamuzi ufanyike.haki itendeke na ionekane imetendeka.

Ni lazma tukatae Damu ya mtu yeyote yule kumwagwa.iwe ni ya kijana au mzee au mwanamke au mwanaume au Raia wa kawaida au Albino au vyovyote vile ni lazima tusema HAPANA kumwaga Damu katika ardhi yetu. Tusipande laana katika ardhi yetu na kuleta mikosi na nukusi hapa Nchini.

Mwisho naomba upitie maandiko yako yote ya siku za nyuma uone ulichokuwa ukiandika siku za nyuma na uone kama ulikuwa sahihi na vipi watu wanakuchukuliaje kwa sasa hasa unapotoa andiko kama hili.

Naweka kalamu yangu chini .nitakuja kushusha hoja zingine hapa .ngoja kidogo.
Tunaomba maneno Kama haya umufikishie Mwenyekiti wako wa CHAMA!Tunaomba umfikishie ujumbe huu DAB kule Arusha.Tunaomba umufikishia Waziri asiye na wizara .Tunaomba na wewe uliyesehemu ya team ya taifa ya kumwaga Damu uanze kuomba toba ili laana isije kutafutana Baba ,mama ,watoto na ndugu zako wote
 
Lakini embu tutafakari inakuwaje siasa zetu za ndani zina leta machungu, visasi na hata mageneza yasio na watu yes majeneza yasio na watu ambayo watu wao wataomboleza mpaka Yesu arudi.
Hapa kidogo unakuja kuja
 
Kwanini unaziweka Damu za watanzania katika madaraja? Kwamba huyu Damu yake inastahili kumwagwa kutokana na makosa haya na huyu haitakiwi kumwagwa? Vipi kama mtoa idhini,ruhusa na mamlaka akatoa na kuruhusu kumwagwa kwa Damu ya mtu fulani kwa chuki zake tu binafsi au kwa kulinda cheo chake? Nani atarudisha uhai wa huyu aliyeonewa? Maana kama ni mahakamani kuna kukata rufaa na hatimaye mtu kupata haki yake.
Sasa kama unayajua haya mbona unawaunga mkono watuhumiwa? Mnafiki
 
Viongozi au tuseme watawala wetu jamani tafakarini kwa kina MAMBO yenye madhara haya ili MUNGU akupeni baraka .
Baraka gani? Kama Mungu mwenyewe ameacha yatendeke unadhani maneno yako yatawazuia kumwaga damu?
 
Kauli za kisiasa na uhaini vina mahusiano Gani?
Chura anaposema maneno kama haya"serikali haipinduliwi hivyo!!""Tutailinda katiba",nimesikiliza clip ya nchimbi na viongozi wa Chadema "

Pia Mzee msoga nae "Ili nchi itulie unapaswa kuwasikiliza wazee!!!" Sio kila mzee ni mu asisi was chama


Hizi kauli zinahalalisha kushughulikiwa watu Fulani Fulani hata kuuawa watu Fulani Fulani wanaohisiwa au kuhusika!!
 
Chura anaposema maneno kama haya"serikali haipinduliwi hivyo!!""Tutailinda katiba",nimesikiliza clip ya nchimbi na viongozi wa Chadema "

Pia Mzee msoga nae "Ili nchi itulie unapaswa kuwasikiliza wazee!!!" Sio kila mzee ni mu asisi was chama


Hizi kauli zinahalalisha kushughulikiwa watu Fulani Fulani hata kuuawa watu Fulani Fulani wanaohisiwa au kuhusika!!
Sasa kupanga mikakati ya kumtoa SSH na CCM madarakani Kwa michakato halali ya kidemokrasia iliyoruhusiwa kikatiba Kuna kosa Gani?

Viongozi wajifunze kuwa, Kwa Majeshi anaitwa Amiri jeshi mkuu,

Lakini Kwa raia, ni mwajiriwa tu ambaye anaweza kuangushwa kupitia Sanduku la kura.

BUSARA itumike kutenganisha kofia hizi na kujua kuzitumia.
 
Nimesoma andiko lako lote neno kwa neno na mstari kwa mstari.lakini napingana na Baadhi ya maneno yako ambayo yanaharibu kabisa andiko lako zima.

Unaposema kuchagua na kuangalia aina ya Damu za kumwagwa unakuwa unamaanisha nini? Je Damu zipi zinatakiwa na kustahili kumwagwa na zipi hazistahili?

Nani anayepima ,kuthibitisha ,kuidhinisha na kutoa ruhusa ya kuwa Damu hii imwagwe na ya huyu isimwagwe au imwagwe kidogo?

Huyo mtu anatumia kigezo kipi kutoa idhinisho juu ya Damu ipi imwagwe na ipi isimwagwe? Huo mfumo wa kumwaga Damu za watu unasimamiwa na nani? Kwa sheria zipi? Kwa katiba ipi? Kwa mahakama ipi? Na kwa mamlaka ipi?

Kwanini kama mtu kafanya kosa asipelekwe tu mahakamani ili mahakama iamue? Kwanini Damu zingine zimwagwe kifichoni bila kufikishwa mahakamani na watu kusikiliza mwenendo mzima wa kesi na ushahidi wake?

Kwanini usingetoa ushauri wa kuwa hakuna anayestahili kumwaga Damu ya mtu yeyote yule wala kukatisha uhai wa yeyote yule na wala haitakiwi vitendo hivyo kufanyika hapa Nchini?

Kwanini unaziweka Damu za watanzania katika madaraja? Kwamba huyu Damu yake inastahili kumwagwa kutokana na makosa haya na huyu haitakiwi kumwagwa? Vipi kama mtoa idhini,ruhusa na mamlaka akatoa na kuruhusu kumwagwa kwa Damu ya mtu fulani kwa chuki zake tu binafsi au kwa kulinda cheo chake? Nani atarudisha uhai wa huyu aliyeonewa? Maana kama ni mahakamani kuna kukata rufaa na hatimaye mtu kupata haki yake.

Ningependa kukwambia na kukushauri kuwa usiweke Damu za watanzania katika madaraja wala usiwe mtoa hukumu ya kuwa huyu anatakiwa kuuwawa na huyu hastahili. Ni lazima tuseme kuwa hakuna mwenye haki ya kutoa wala kukatisha uhai wa mtanzania yeyote yule bila kujali itikadi za kisiasa au sababu ya aina yoyote ile. Ni lazima utawala wa sheria uzingatiwe na siyo watu kujichukulia sheria mkononi.

Kama mtu ana kosa la aina yoyote ile basi afikishwe mahakamani na ushahidi utolewe juu ya makosa ya mhusika na uamuzi ufanyike.haki itendeke na ionekane imetendeka.

Ni lazma tukatae Damu ya mtu yeyote yule kumwagwa.iwe ni ya kijana au mzee au mwanamke au mwanaume au Raia wa kawaida au Albino au vyovyote vile ni lazima tusema HAPANA kumwaga Damu katika ardhi yetu. Tusipande laana katika ardhi yetu na kuleta mikosi na nukusi hapa Nchini.

Mwisho naomba upitie maandiko yako yote ya siku za nyuma uone ulichokuwa ukiandika siku za nyuma na uone kama ulikuwa sahihi na vipi watu wanakuchukuliaje kwa sasa hasa unapotoa andiko kama hili.

Naweka kalamu yangu chini .nitakuja kushusha hoja zingine hapa .ngoja kidogo.
Dhima ya andiko langu nikukosoa mauwaji ya kisiasa while cc tumekubali vyama vingi.
Dhima ya pili sitaki kuingilia swala la usalama qa taifa na raia wake uhaini ni swala lakuhitaji hoja pana
 
Kwa wale ni wasomi wa Bible mtakumbuka dam ya kaini ilivyo anza kumlilia Mungu mpaka Mungu akamwambia Habili dam ya ndugu yako yanililia.

Habili alipo muuwa ndugu yake hakujuwa kile kitatokea na huwo ndio ukawa mwanzo wa dam nyingi kumwagwa.
Dam ya watu wa Taifa yaweza kugeuka nakuwa chanzo cha mtikisiko wa taifa lolote duniani.
Aliyeuliwa ni Habili, Kaini ndie muuaji.
P
 
Nawaza dk za mwisho za mzee ALI KIBAO kwavyovyote alitoa sauti ya kilio cha maumivu makali pale walipoanza kumtoboa macho angali hai na anaona. Inaumiza sana.
 
Yeremiah 17:5-
BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
 
Dhima ya andiko langu nikukosoa mauwaji ya kisiasa while cc tumekubali vyama vingi.
Dhima ya pili sitaki kuingilia swala la usalama qa taifa na raia wake uhaini ni swala lakuhitaji hoja pana
Hoja yako namba mbili sikubaliani nayo katika Nchi inayofuata mfumo wa kisheria ambapo tunategemea masuala ya Uhaini yaamuliwe na mahakama na siyo hisia za mtu na mtizamo wako.

Naomba pia ujibu post namba tatu ya mdau Tate Mkuu . jibu tupate majibu maana ipo mwanzoni kabisa na naamini umeiona.
 
Back
Top Bottom