Hujajibu swali, wamelaaniwa na nani...???Mbinu zao zinajulikana sana.Na si Gaza na Palestina pekee.Na mwaka huu ni mwendelezo tu.
Wanafanya tangu Iraq,Syria,Timbuktu na hata Tanzania.Na kila penye vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu swali, wamelaaniwa na nani...???Mbinu zao zinajulikana sana.Na si Gaza na Palestina pekee.Na mwaka huu ni mwendelezo tu.
Wanafanya tangu Iraq,Syria,Timbuktu na hata Tanzania.Na kila penye vita
Allah akikulaani unakuwa Kama Israel, akikubariki unakuwa kama Hamas, houth, Afghanistan, somalia n.kHujajibu swali, wamelaaniwa na nani...???
Jumla ya majengo yanayozidi 100 yamebomolewa katika eneo la Gaza. Mojawapo lina umri wa zaidi ya miaka 1500 kabla Mtume Muhammad s.a.w hajazaliwa.
Imeelezwa ubomoaji huo umepoteza historia muhimu kwa wapalestina na dunia yote kwa jumla.
Kwa mujibu wa wasimamizi na wanahistoria wa kipalestina majengo hayo yote yameorodheshwa na UNESCO kama ni urithi wa dunia na yamechorwa na kuwekewa alama maalum kuyatambulisha yalipo.Kwa hali hiyo kupigwa na kubomolewa kwake ni kitendo cha makusudi kinachofanywa na Israel.
Wanahistoria hao wamesema uhalifu wa namna hiyo si mara ya mwanzo kufanywa na Israel. Mwaka 1948 misikiti mingi na majengo ya kihistoria na kitamaduni yaliybomolewa wakati wa uundwaji wa taifa haramu la Israel.
Huyo allah ni mungu wa waarabu ahusiki na taifa teule la Israel.Allah akikulaani unakuwa Kama Israel, akikubariki unakuwa kama Hamas, houth, Afghanistan, somalia n.k
🤣Maficho yote ya magaidi ni lazima yateketezwe, this time hakuna jiwe litakalosalia.