Majeshi ya Kenya na Ethiopia yatwangana risasi huko Mayole

Majeshi ya Kenya na Ethiopia yatwangana risasi huko Mayole

Nchi gani ambayo inakubali kuanzisha redio na magazeti kwa dhana ya ukabila, mtaendelea kucharazwa viboko na kuuliwa na POLISI wenu hadi mwisho wa dunia, POLISI wanawapiga wanahabari vile wapendavyo na kuuwa watu kama wanyama, Failed state.

Sent using Jamii Forums mobile app

Idiot. We are a free country. I know the concept of freedom is foreign to you, so I understand.

Magazeti na redio za lugha za mama zimeanzishwa kuwafikia Wakenya wanaoongea hizo lugha. Habari na taarifa za kitaifa na za mtaa zinawafikia kwa lugha wanazoelewa. Muziki wa lugha wanazoelewa na kadhalika.

Nchi zote zenye uhuru wa wanahabari ziko na redio na TV za lugha mbali mbali.
South Africa utapata redio za Zulu, Xhosa, Tswana na kadhalika.
US utapata redio za Kifaransa, Kilatino, Kigerumani, Kifilipino na kadhalika.

Tanzania utapata tu redio za SiSiemu.
 
It is also good to note that The Ethiopian Government is also digging a trench along the common border with Kenya on their side.The strategy will help both countries stop Human traffickers have been exploiting the border to smuggle thousands of Ethiopians to South Africa .
Tanzania ni jamvi lao wanapita sana
 
Idiot. We are a free country. I know the concept of freedom is foreign to you, so I understand.

Magazeti na redio za lugha za mama zimeanzishwa kuwafikia Wakenya wanaoongea hizo lugha. Habari na taarifa za kitaifa na za mtaa zinawafikia kwa lugha wanazoelewa. Muziki wa lugha wanazoelewa na kadhalika.

Nchi zote zenye uhuru wa wanahabari ziko na redio na TV za lugha mbali mbali.
South Africa utapata redio za Zulu, Xhosa, Tswana na kadhalika.
US utapata redio za Kifaransa, Kilatino, Kigerumani, Kifilipino na kadhalika.

Tanzania utapata tu redio za SiSiemu.
Haujadanganya buda keep on telling the truth.
 
Back
Top Bottom