Majeshi ya nchi nyingine za kizalendo yaungane na JWTZ kuzuia vibaraka wa Wazungu M23 wasiuteke Mji wa Goma

Mkuu kesho ukiwa manamba huko Rwanda unachuma kahawa usilalamike
 
Kama kagame ndie anae husika inabidi apumzishwe yeye kwanza ndio mengine yafuate. Ni kutumia kanuni ya kwenye biblia. Piga mchungaji ili kondoo waatawanyike
 
Hiyo habari ya MONUSCO hapana Kwa sababu wamekuwepo hapo hakuna Cha maana wamefanya
Umoja wa afrika na nchi zake waache kuutegemea umoja wa mataifa kwa mambo yanayogusa maslahi ya Africa. Umoja wa mataifa haukuundwa kwa lengo la kutetea maslahi ya Africa. Africa ndiyo inapaswa kuwa front kutetea maslahi yake. Lakini pia kuwe na faida katika kuteteana. Siyo kupigana kwa ajili ya nchi Fulani, halafu zikija deal viongozi wanakimbilia kwa wachina au wazungu kufunga mikataba
 
Waigawie Rwanda tu hicho kisehemu ili amani irejee. DRC ni kubwa mno na imejaa misitu na Wakongoman wameshindwa kuitawala ipasavyo. Kuna ubaya gani kumgawia mwenzie kaeneo ili naye aongeze kidogo ka nchi kake ambako ni kadogo mno?
 
Kuna nchi afrika ambayo sio chawa wa mabeberu?

M23 wachukue goma na miji mingine,wajitangazie nchi mpya ya kivu.

Drc kongo ni failed state acha wenye nguvu waigawane.
Zitaibuka nchi nyingi nyingi, wanaweza kuyengana zaidi ya kuungana.
 
Mimi nionavyo ili amani iwepo hapo congo Kuna mawili, ama congo yote ipinduliwe ingozwe na M23,ama mamlaka zikubali kufanya mazungumzo na hao waasi.
 
Wezi wa hizo rasilimali ndio wenye soko pia, hata kama hao m23 wasipokuwepo watakuja wengine. Huyo Tshekedi alikuja moto hushangai amepoa kwa nini kashausoma mchezo nae anaucheza. Wewe unaedai kwa nini Tanzania tuu jitathmini sababu yeye pia anacheza part yake. Nyerere peke yake aliekataa kuchimba hizo mnazoita rasilimali mpaka tutakapokuwa tayari aliona mbali sema ndio hivo wakati ukuta.
 
Kama kagame ndie anae husika inabidi apumzishwe yeye kwanza ndio mengine yafuate. Ni kutumia kanuni ya kwenye biblia. Piga mchungaji ili kondoo waatawanyike
Zakaria 13:7
 
Kuna nchi afrika ambayo sio chawa wa mabeberu?

M23 wachukue goma na miji mingine,wajitangazie nchi mpya ya kivu.

Drc kongo ni failed state acha wenye nguvu waigawane.
Kibaraka mmoja wao Kenya kapeleka majeshi Haiti kwasababu mabeberu wamemtaka afanye hivyo. Kwenye nchi ya watu weusi na kupewa vihela vya chai wakati wao mabeberu waliipiga Libya,Iraq na Syria na kuiba rasilimali zao.

Sasa kwanini Kenya isipeleke jeshi Congo kama kweli anataka Amani tena kwa jirani yake. Lakini kama unavyosema anasubiri mabeberu wampe amri na ahadi ya hela ya chai.
 
Tatizo sio kagame pekee yeye ni moja ya tatizo, hata serikali yenyewe ni tatizo pia, haiko stable pia East Africa nayo ni tatizo vilevile beberu amefanikiwa kuivuruga system kingine jiografia ya DRC pamoja na mali walizonazo ni ngumu kujilinda na fisi beberu. Huu mgogoro DRC atumie akili sana kuusolve.

Kwa mawazo yangu mjumbe hauawi
1. Kwanza kabisa nchi ile waigawe katika zone kanda maalumu kama 5 au zaidi wherever kulingana na rasilimali zao yaani sehem ya madini flan, au sehem ya msitu fulani zile zinazoweza kuingiza kipato cha nchi
2. Waangalie ni zone gani inaingiza zaidi kuliko zote au yaani tajiri kuliko zote. Zone gani yenye vurugu je hio zone yenye vurugu iko location tofauti tofauti au iko location moja, kinachotakiwa kufanyika waasi wote wa nchi watengewe kwenye zone moja kwa namna yoyote ile hata kama hio zone ina utajiri wa nchi nzima
3.Changamoto ni kubwa sana kutokana na beberu katika kufanikisha hili lakini hapa hakuna kucheka na kima hio zone iliyotengwa serikali iiache kwa muda kwa kuweka ulinzi wa kiudhibiti kiasi kwamba waasi wahisi wameachwa kabisa lakini hizi zone zingine ziwa active sana kichumi na kimaendeleo wawekeze miundo mbinu pia sana tu.
4.Mkakati unaofuata ni kuhakikisha mji huo wana u depopulation Kwa Kwa namna yoyote ile kwa hakuna kupeleka dawa au zinaenda Kwa volume ndogo, hakuna uzalishaji wowote yaani ina kua abandoned city hakuna development yoyote iende kule na hakuna mtu kutoka kule unless akimbie nchi au awe cleared sana, watengenezewe zengwe la magonjwa bio weapons hapa ni pagumu hapa itaenda na aliyepo na asiye kuwemo kwa maslahi mapana ya nchi.
5. Zone hio population ikipungua sana wanaitisha sitisha zoezi la magonjwa hapo sasa kisha clean wanaigeuza kuwa military zone wanajeshi wa DRC n wazembe hivyo inasainiwa contract maalum na JWTZ au warusi basi hakuna zaidi ya hapo pana kuwa na kambi zaidi ya 300 na silaha za kila aina hapo beberu atasumbua mno.
6. Mwisho kabisa hakuna mtu atajenga nchi ya wakongo na wao wabadilike pia toka mioyoni mwao waache kutafuta madaraka kwaajili ya maisha yao wajihurumie na vizazi vyao wapiganie congo kweli na wajue wako vitani dunia nzima inapotolea macho wao wanaenda Ufaransa eti ndio dream yao kweli? Yaani uende nchi maskini akati utajiri unaokatika ardhi yako? Wajipamabanue waachane na kifaransa waongee kiswahili wapunguze starehe ile nchi ni tajiri dunia nzima. Waangalie ni namna gani utawanufaisha wanahitaji akili na maarifa na uzalendo wala si pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…